Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Kitaifa

WADAU WA KWENYE MNYORORO WA ZAO LA MIANZI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI ILI KULETA MAPINDUZI

Written by mzalendo

Na John Mapepele

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki amewataka wadau wote kwenye mnyororo zao la mianzi kushirikiana na Serikali ili kuleta mapinduzi katika kuzalisha kwa wingi hatimaye kuchangia kwenye uchumi na tabianchi huku akisisitiza kuwa tumechelewa.

Mhe. Kairuki ametoa kauli hiyo leo jijini Dar es Salaam alipoambatana na katibu Mkuu wa Wizara yake Dkt. Hassan Abbas, kwenye kikao cha ufunguzi wa Mkakati wa Mianzi pamoja na Mpango Kazi wake wa kipindi cha Mwaka 2021-2031 uliobeba Kauli mbiu ya ‘Tanzania inawekeza kwenye mianzi kwa ajili ya uhimilivu na kwa uchumi endelevu.

„Ndugu zangu mtakumbuka Tanzania ni miongoni mwa nchi wajumbe waanzilishi wa Shirika la Mianzi Duniani (INBAR) na nchi ya kwanza kabisa kutoka bara la Afrika wakati INBAR linaanzishwa mwaka mwaka 1997 leo tunapozindua mkakati huu tunatakiwa kutambua kuwa tumechelewa tunatakiwa kupiga hatua kwa wadau wote kushiriki kikaamilifu katika kutekeleza kulingana na Sheria, Kanuni na Miongozo ambayo ipo.” Amesisitiza Mhe. Kairuki

Amesema uzinduzi wa mkakati huo ni fursa adhimu kwa Sekta Binafsi, Makampuni, Mashirika na Wawekezaji kushiriki kikamilifu katika kuleta mapinduzi ya kilimo cha mianzi ili kuhakikisha Tanzania inakuwa na malighafi ya kutosha ya kuweza kuendesha viwanda vya kuchakata mianzi na huku nchi ikiuza hewa ya ukaa kwa ajili ya kuongeza pato la Taifa na mtu mmoja mmoja.

Amesema matarajio ya Serikali ni kuwa, iwapo Mpango Kazi huo utatekelezwa ipasavyo utawezesha kuendeleza uhifadhi na matumizi endelevu ya misitu ya zao la mianzi kwa maendeleo endelevu katika sekta nyingine.

Aidha, Mhe. Kairuki ameielekeza Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) kuhakikisha mbegu bora za mianzi zinapatikana kwa urahisi ili wananchi na wadau mbalimbali waweze kuzipata na kupanda pia kuwasaidia wananchi katika kuwapa elimu ya zao hilo kama wanavyofanya kwa mazao mengine ya misitu.

Pia ameiagiza Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) kufanya utafiti mara moja wa maeneo ambayo yanafaa kwa ajili ya zao ili yatumike kwa kilimo cha zao hilo.

Kwa upande wa Idara ya Misitu na Nyuki Waziri Kairuki ameiagiza kuandaa mara moja toleo jepesi la Mpango huo na kusambaza kwa wadau na wananchi ili waweze kutambua umuhimu na faida ya zao hilo tofauti na sasa ambapo mpango huo upo kwa lugha ya kiingereza.

„Ninaielekeza Taasisi ya Utafiti wa Misitu kufanya tafiti za kutambua maeneo sahihi ya kupanda aina mbalimbali za mianzi pamoja na kuiagiza Idara ya Misitu na Nyuki ifanye tafsiri ya nyaraka hizi mbili kwa lugha ya Kiswahili na kuzisambaza. Serikali itaweka mazingira wezeshi kwa wadau wote wa zao la mianzi ili kuhakikisha linaleta tija kwa Watanzania na Taifa kwa ujumla.” Ameongeza, Mhe Kairuki

Waziri Kairuki pia amekielekeza Chuo Cha Viwanda vya Misitu Moshi kwa kushirikiana na SIDO na wadau wengine washirikishwe kutafuta teknolojia za kisasa za kuchakata mazao ya mianzi ili kuyaongezea mnyororo wa thamani na kupata fedha nyingi kwa kuuza mazao hayo ndani na nje ya nchi.

Vilevile ameutaka Mfuko wa Misitu nchini kuweka vipaombele vya utekelezaji wa mpango huo kwenye bajeti zake za kila siku huku akisisitiza wadau kuendelea kumuunga mkono kwenye juhudi za uhifadhi wa mazingira hususan misitu unaolinufaisha Taifa kwa sasa na vizazi vijavyo kupitia fursa mbalimbali ikiwemo hewa ya ukaa.

“Hivyo, nitoe wito kwa Wadau wote kuendelea kuiunga mkono Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi shupavu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika juhudi zake za kuwaletea maendeleo Wananchi na kuhifadhi mazingira.”

Shirika la Mianzi Duniani (INBAR) hapa nchini Mhe. Balozi Ali Mchomo ameiomba Serikali kuendelea kutoa elimu ya zao la mianzi kwa wananchi huku akisisitiza serikali kuwahama wadau mbalimbali waweze kuwekeza katika mnyororo wa thamani wa zao hilo.

Uzinduzi huo ulihudhuriwa pia na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii ikiongozwa na Mwenyekiti wake Timotheo Mzava, viongozi wa Serikali kutoka mikoa na taasisi mbalimbali, wafadhiri pia mashirika binafsi ambapo pia Mhe. Kairuki alipata fursa ya kukagua maonesho maalum ya zao la Mianzi.

About the author

mzalendo