Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

ramadabet

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

WATAALAM WA AFYA NGAZI YA MSINGI WAKUMBUSHWA UWAJIBIKAJI KAZINI

Written by Alex Sonna

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe,akizungumza wakati  wa Mkutano wa Mwaka wa Waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za Afya ngazi ya msingi nchini unaenda sambamba na kauli mbiu isemayo “Uwajibikaji ni Nguzo Muhimu katika utoaji wa huduma Bora za Afya ya Msingi” unaofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

 

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Mhe Dkt Festo Dugange, akizungumza na Waganga Wafawidhi wakati  akifungua  Mkutano wa Mwaka wa Waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za Afya ngazi ya msingi nchini unaenda sambamba na kauli mbiu isemayo “Uwajibikaji ni Nguzo Muhimu katika utoaji wa huduma Bora za Afya ya Msingi” unaofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulikia Afya Ofisi ya Rais-TAMISEMI,Dkt.Wilson Mahera, akizungumza na Waganga Wafawidhi wakati  akifungua  Mkutano wa Mwaka wa Waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za Afya ngazi ya msingi nchini unaenda sambamba na kauli mbiu isemayo “Uwajibikaji ni Nguzo Muhimu katika utoaji wa huduma Bora za Afya ya Msingi” unaofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

MGANGA Mkuu (RMO) wa Mkoa wa Dodoma Dk. Best Magoma,akizungumza wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za Afya ngazi ya msingi nchini unaenda sambamba na kauli mbiu isemayo “Uwajibikaji ni Nguzo Muhimu katika utoaji wa huduma Bora za Afya ya Msingi” unaofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

SEHEMU ya Washiriki wakimsikiliza Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Mhe Dkt Festo Dugange (hayupo pichani), akizungumza wakati  akifungua  Mkutano wa Mwaka wa Waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za Afya ngazi ya msingi nchini unaenda sambamba na kauli mbiu isemayo “Uwajibikaji ni Nguzo Muhimu katika utoaji wa huduma Bora za Afya ya Msingi” unaofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

MWENYEKITI  wa Waganga wafawidhi wa vituo vya huduma za afya Msingi Tanzania bara you Dkt. Florence Hilari,akizungumza kwa niaba yao wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za Afya ngazi ya msingi nchini unaenda sambamba na kauli mbiu isemayo “Uwajibikaji ni Nguzo Muhimu katika utoaji wa huduma Bora za Afya ya Msingi” unaofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

Na WAF – Dodoma

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe amewataka Madaktari, Wauguzi, Wataalamu wa maabara na Wataalamu wote wa afya kuwa na utaratibu wa kupita maeneo ya huduma kuangalia wananchi wanavyopata huduma ikiwemo kuangalia muda wanaokaa na kusubiri kupata huduma badala ya kukaa ofisini.

Dkt. Magembe ametoa maelekezo hayo leo Jijini Dodoma wakati akizungumza na Waganga wafawidhi kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa kwanza wa mwaka kwa waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za Afya ya msingi nchini.

“Nasisitiza daktari, muuguzi, mtaalamu wa maabara na wengine wote piteni mawodini na kufungua majalada ya wagonjwa kuona huduma gani wagonjwa wamepatiwa tangu wamefika hospitali, je wanapata dawa na vipimo vilivyoandikwa, watumishi wapo na kama wanawajibika”. Amesisitiza Dkt. Magembe.

Ameongeza kwa kusema kuwa watumishi wasijifungie maofisini tu, bali watumie ujuzi wao kama viongozi wa vituo kuhakikisha wanatoa Huduma bora kwa wananchi ili kuleta thamani ya uwekezaji wa Rais Samia Suluhu Hassan katika sekta ya afya nchini.

“Kama wananchi watafika mahali hawaoni tofauti ya ukiwepo na usiwepo basi wewe kitaaluma ni mfu maana taaluma yako haigusi maisha ya watu”. Amesema Dkt. Magembe.
Hata hivyo amewataka waganga hao kuimarisha ushirikiano wao na watumishi wanao waongoza ili kuleta ubora wa huduma katika kuwahudumia wananchi.

Aidha, Mkutano huo ulenga kuboresha uwajibikaji katika kutoa huduma bora za Afya ya msingi kwa Watanzania ili kila mwananchi anufaike na uwekezaji uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika Sekta ya Afya nchini.

Mkutano huo umebebwa na kaulimbiu “Uwajibikaji ni nguzo muhimu katika utoaji wa huduma bora za Afya ya msingi”.

About the author

Alex Sonna