Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

deneme bonusu

bahiscom

betgit

betgaranti

grandpashabet

grandpashabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

lordcasino

marsbahis

luxbet

gobahis

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

millibahis

realbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

norabahis

luxbet

betnis

betnis

parmabet

betplay

Hacklink panel

pokerklas

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

rekorbet giriş

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

netbahis

meybet giriş

netbahis

betra

primebahis

tümbet

tümbet giriş

betzula

betzula giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betzula

betzula giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

betpark

casibom giriş

meritbet

meritbet giriş

uyuşturucu satın al

xxxx

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

netbahis giriş

prensbet

lordcasino giriş

ganobet

gobahis giriş

orisbet giriş

kareasbet

orisbet

millibahis

betnis giriş

orisbet giriş

parmabet giriş

kareasbet

maritbet

kareasbet giriş

gobahis giriş

prensbet giriş

aresbet giriş

vaycasino

prensbet

orisbet

luxbet giriş

meybet

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

norabahis giriş

ganobet

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

rekorbet

goldenbahis

goldenbahis

perabet, perabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

cratosroyalbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

Grandpashabet

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

betsat güncel giriş

jojobet

amgbahis

casibom

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

ibizabet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

mislibet giriş

betnis

norabahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet

cratosroyalbet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

casibom

betsat

monobahis

deneme bonusu

deneme bonusu

tipobet

bets10

sekabet güncel giriş

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

grandpashabet

jojobet

jojobet

nerobet

goldenbahis

jojobet

Hacklink panel

tümbet

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

taksimbet

Featured Kitaifa

SERIKALI YA ZANZIBAR YAPOKEA MITUNGI YA GESI YA ORYX 1000 KWA AJILI YA WANAWAKE WAJASIRIAMALI

Written by mzalendo
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
 
KAMPUNI ya gesi ya Orxy imetekeleza maombi ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa kupeleka mitungi ya gesi 2000 ambayo itagawiwa kwa wananchi wajasiriamali wanawake kwa lengo la kuwezesha kiuchumi sambamba na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa kutumia nishati safi ya kupikia.
 
Akizungumza wakati wa Oryx ikibidhi mitungi 1000 kwa ajili ya wajasiriamali wa visiwani Unguja ,Zanzibar Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mudrik Ramadhan Soraga amesema anamshukuru na kumpongeza Rais Dk.Mwinyi kwa kutoa mapendekezo mahususi kwa kampuni ya Oryx gas kuhusu suala nzima la kuwapa nyezo safi na salama wajasriamali wanaofanya shughuli za mama upishi
 
“Naomba mfahamu Rais alielekeza hili jambo katika dhana nzima ya kuweka urahisi kwa mjasiriamali mwanamke anapofanya shughuli zake katika jiko basi oryx gasi wasaidie katika kutoa nishati safi
 
“Kwa hiyo tumpongeze Rais Dk.Mwinyi kwanza kwa kuja na mawazo hayo lakini kuthubutu kutoa maelekezo kwa Oryx na leo hii tunakutana hapa kutoa mitungi ya gesi ambapo leo tukabidhi mitungi 1000 kwa wajasiriamali wa Unguja na wiki chache zijazo itakabidhi mitungi mingine 1000 kwa wajasiriamali wa wa Pemba.”
 
Akieleza zaidi amesema wanawashukuru Oryx wamekuwa wadau muhimu katika sekta ya nishati ndani ya visiwa vya Zanzibar hususan katika kufanikisha ajenda ya kutumia nishati mbadala katika utekelezaji wa shughuli zao za kila siku katika majumba yao.
 
Ameongeza Oryx kwa kipindi cha muda mfupi wamekuwa na kampeni endelevu ya kuhakikisha matumizi ya gesi safi na salama yanapewa kipaumbele sambamba na kumuunga mkono Rais Dk.Mwinyi katika malengo yake ambayo amekusudia ya kuifanya Zanzibar kuwa ni sehemu inayotumia gesi katika shughuli zake zote za kiuchumi .
 
Aidha amesema Serikali ya Awamu ya Nane imekuwa na lengo la kuhakikisha inatoa fursa mbalimbali kwa wananchi wao kuweza kumudu maisha yao kupitia uwezeshaji au kutengeneza mazingira ambayo wenyewe wanaweza kujiajiri.
 
Amefafanua kupitia mpango wa uwezeshaji wanancho kiuchumi katika kipindi cha miaka mitatu kumekuwa na mafanikio makubwa na kiasi cha Sh.bilioni 27 kimetolewa na Serikali kukopesha wananchi ambapo wajasiriamali wasiopungua 26000 wamepata mkopo.
 
“Kwa hiyo tunafarijika tunapoona wadau kama Orxy mnapojumuika kuunga mkono juhudi za Serikali kwnai bila ya mashirikiano hayo, kujitoa na kuthamini mchango wa serikali katika jambo hili hatuwezi tupambana na ukosefu wa ajira ambalo ndio adui mkubwa.”
 
Ameongeza ni vema juhudi hizo ambazo wanashirikiana na wadau wakiwemo Orxy lazima ziende na kubadilisha mtazamo wa namna tunavyofanya shughuli zao huku akisisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia inakwenda kumpunguza changamoto mtoto wa kike ambaye amekuwa akitumia muda mwingi kutafuta kuni na mkaa.
 
“Tumeamuangalia mtoto wa kike na kuona tunamuewekea mazingira mazuri ili asilazimike kwenda mbali kutafuta kuni na mkaa .Akina baba tuondokane na ile dhana kwamba mtoto wa kike ndio analazimika na kutafuta kuni.Ni lazima tuhakikishe tunawalinda watoto wetu wa kike.”
 
Amesisitiza kuwa kutumia nishati safi ya gesi sasa kutamuwezesha mtoto wa kike kujikita katika masomo na kazi nyingine za shuleni badala ya kutumia muda mwingi kutafuta kuni huku akisisitiza kuwa umefika wakati kwa wananchi kutunza mazingira kwa kutokata miti kwa ajili ya kuni na mkaa.
 
Awali Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Gas Tanzania LTD. Benoit Araman amemshukuru Rais Dkt. Mwinyi kwa kuwaalika Zanzibar ili kufikisha nishati safi ya kupikia huku akimpongeza kwa juhudi na kazi kubwa aliyoifanya kuhakikisha Zanzibar inakuwa sehemu kivutio kwa wawekezaji.
 
“Oryx ilianza kufanya biashara ya kupikia Zanzibar na Pemba mwaka 2016. Oryx Gas Zanzibar ilizinduliwa rasmi Desemba,2021. Hii ni ishara ya kwanza ya imani katika utawala wake. Tokea kipindi hicho Rais Mwiny ametupa msukumo mkubwa Oryx Gas kuendelea kuwekeza zaidi visiwani .
 
“Tumefanikiwa kuwa na mkataba wa ushirikiano kati ya Oryx Gas Zanzibar na Zanzibar Group TP ambao sasa hivi wamekua mdau wetu mwenye asilimia 30. Ushirikiano huu umefanikisha ujenzi wa terminal ya LPG ambayo itakua umekamilika kabla ya robo ya kwanza ya mwaka huu 2024.
 
“ Hili ni jukumu kuu ya Oryx Gas Zanzibar na TP kwa wananchi wa visiwa. Maono ya Rais Dk.Mwinyi pamoja na ujasiri wa Oryx Energies na mshirika wetu TP itaruhusu kufanya usambazaji wa LPG kuwa endelevu na nafuu zaidi kwa wakazi wa Zanzibar na Pemba. Pia itasaidia kuleta maendeleo bora sekta ya utalii.
 
Ameongeza Oryx inajivunia kuchangia katika maendeleo ya muda mrefu visiwani Zanzibar huku akitumia nafasi hiyo kueleza kupika kwa gesi kunasaidia kulinda mazingira na kutokomeza ukataji wa miti ili kutengeneza mkaa na kuni.
 
“Pia ina saidia kulinda afya ya wanawake ambao wanaathirika kwa moshi inayotokana na mkaa na kuni Wanawake wataweza kufanya shughuli nyingine nyingi wakipika kwa kutumia LPG maana watapika kwa haraka bila kuharibu ubora na ladha ya chakula.
 
“Tokea mwaka 2021, Oryx Gas imekua kampuni kinara na kiongozi katika kuimiza watu kupikia kwa nishati safi ya LPG. Tunajivunia kua wa kwanza kuleta nishati hii safi kwa wananchi wa Zanzibar na baada ya wiki kadha tunaeneza na Pemba pia.”
 
Hivyo amesisitiza wamekabidhi mitungi ya gesi 1000 kwa manufaa ya wananchi wa Unguja na hivi karibuni watakabidhi Pemba mtungi 1000.
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrik Ramdhan Soraga akizungumza katika hafla ya ugawaji wa mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx iliyofanyika leo Februari 12, 2024 katika viwanja vya Maisara Zanzibar.
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrik Ramdhan Soraga (katikati) akiwa pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto Zanzibar, Riziki Pembe Juma (wa kwanza kushoto) Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Oryx Gas Benoite Araman (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar Juma Burhan Juma wakimkabidhi mtungi wa gesi ya kupikia ya oryx Madina Ali Makame ambaye ni mmoja wa wajasiriamali waliokabidhiwa mitungi 1000 katika hafla iliyofanyika jana katika viwanja vya Maisara, Zanzibar.
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrik Ramdhan Soraga (katikati) akiwa pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto Zanzibar, Riziki Pembe Juma (wa kwanza kushoto) Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Oryx Gas Benoite Araman (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar Juma Burhan Juma wakimkabidhi mtungi wa gesi ya kupikia ya oryx Ipsam Juma ambaye ni mmoja wa wajasiriamali waliokabidhiwa mitungi 1000 katika hafla iliyofanyika jana katika viwanja vya Maisara, Zanzibar.
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrik Ramdhan Soraga (katikati) akiwa pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto Zanzibar, Riziki Pembe Juma (wa pili kushoto) Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Oryx Gas Benoite Araman (wa kwanza kushoto) na Mkuu wa Idara ya Mauzo wa Kampuni ya Oryx Gas Shabani Fundi (wa kwanza kulia) wakimkabidhi mtungi wa gesi ya kupikia ya oryx mmoja wa wajasiriamali waliokabidhiwa mitungi 1000 katika hafla iliyofanyika jana katika viwanja vya Maisara, Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Ajira na Uwekezaji Zanzibar Mariam Juma Sadalla akizungumza katika hafla ya ugawaji wa mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx iliyofanyika leo Februari 12, 2024 katika viwanja vya Maisara Zanzibar.
Mkurugenzi wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar Juma Burhan Juma akizungumza katika hafla ya ugawaji wa mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx iliyofanyika leo Februari 12, 2024 katika viwanja vya Maisara Zanzibar.
 
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Oryx Gas Benoite Araman akizungumza akizungumza jambo na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrik Ramdhan Soraga
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Oryx Gas Benoite Araman akizungumza katika hafla ya ugawaji wa mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx iliyofanyika leo Februari 12, 2024 katika viwanja vya Maisara Zanzibar.
Baadhi ya wajasiriamali wakiwa katika hafla ya ugawaji wa mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx iliyofanyika leo Februari 12, 2024 katika viwanja vya Maisara Zanzibar.
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrik Ramdhan Soraga akiwa pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto Zanzibar, Riziki Pembe Juma, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Oryx Gas Benoite Araman na Mkurugenzi wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar Juma Burhan Juma wakiwa kwenye picha ya pamoja na wajasiriamali waliokabidhiwa mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx Gas katika hafla ya ugawaji wa mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx iliyofanyika leo Februari 12, 2024 katika viwanja vya Maisara Zanzibar.
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrik Ramdhan Soraga akiwa pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto Zanzibar, Riziki Pembe Juma, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Oryx Gas Benoite Araman na Mkurugenzi wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar Juma Burhan Juma wakiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Kampuni ya Oryx Gas Tanzania katika hafla ya ugawaji wa mitungi ya gesi ya kupikia ya Oryx iliyofanyika leo Februari 12, 2024 katika viwanja vya Maisara Zanzibar.
 
 
(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)

About the author

mzalendo