Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

bets10

dinamobet giriş

ultrabet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

casibom

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

casibom

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Hacking Forum

Featured Kitaifa

TAKRIBANI WAGONJWA 96 WAPATIWA MATIBABU NA CT- SCAN MKOANI RUKWA.

Written by Alex Sonna

Naibu katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe amesema serikali kupitia wizara ya afya imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa wa vifaa tiba vya kidigitali ili kuwezesha na kurahisisha upatikanaji wa huduma bora kwa wananchi.

Ameyasema hayo tarehe 8 Februari, 2024 wakati wa ziara yake ya kikazi yenye lengo la kukagua utoaji wa huduma za Afya katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sumbawanga na Kituo cha Afya Mazwi katika Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.

Dkt. Magembe amesema kwa mara ya kwanza mkoani humu Serikali imeweza kununua mashine mpya ya kisasa CT-scan na tangu kufungwa kwa mashine hiyo mwezi Desemba 2022 hadi leo imeweza kuhudumia wagonjwa takribani 96.

“Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa ya ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa ili watanzania wapate huduma bora, kwa mara ya kwanza katika historia ya mkoa huu ameweza kununua mashine mpya ya kidigitali ya CT- Scan ambayo imeanza kuwahudumia wagonjwa mbalimbali kama vile wahanga wa ajali, wenye matatizo ya Uti wa Mgongo, kiharusi na magonjwa mengine ya viungo vya ndani hadi kufika leo wamefika takribani wagonjwa 96” Amesema Dkt. Magembe.

Amesema kuwa Kwa sasa Hospitali hiyo inawapiga picha wa 4 ila bado hakuna msomaji na hivyo picha hizi zinatumwa kidigitali kwenda Hospitali ya Kanda Mbeya na majibu yanarudi ndani ya masaa 2 hadi 6, jambo ambalo limewezeshwa na uamuzi wa Mhe Rais Dkt Samia baada ya kununua mashine za kidigitali kama sehemu ya mkakati mmoja wapo wa kukabiliana na upungufu wa watumishi nchini.

“Sasa hivi duniani unaweza kufanyiwa hadi upasuji na bingwa au bobezi aliyepo nchi nyingine wakati mgonjwa yupo nchi nyingine, mgonjwa anakuwa kwenye kitanda cha upasuaji unaendelea na wataalamu wawili wanawasiliana bila shida yoyote, hii ndio sayansi katika tiba kwa kutumia mifumo ya TEHAMA (Telemedicine) ambapo kwa hapa nchini tumepiga hatua kwa kuwa na hospitali 16 zenye aina hii ya mtandao.” Amesema

Pia Dkt. Magembe alipata wasaa wa kutembelea na kuzungumza na wagonjwa waliokuja kupata huduma hospitalini hapo na kuwapa elimu juu ya faida za kujiunga na mfuko wa taifa wa Bima kwa wote na kuwaeleza njia wanazoweza kutumia ili kuwawezesha kutoa changamoto au mrejesho kwa Hospitali au vituo vya afya wanapoona hawaridhiki na huduma zinazotolewa

Kwa upande mwingine Dkt. Magembe aliwasisitiza watumishi kuwapa wagonjwa taarifa zote ikiwemo kuwaonyesha namba za simu zilizobandikwa kwenye na kujitambulisha kwa wagonjwa kabla ya kuanza kuwahudumia na kuwaambia wagonjwa taarifa muhimu zinazohusu matibabu yao ikiwemo vipimo, dawa wanazopewa na zinafanya kazi gani.

Akitoa taarifa, Mteknolojia wa Mionzi Bi. Lutfia Mohmoud Khamis alimuonyesha Naibu Katibu Mkuu Data base yenye wagonjwa 96 ambao wameshapatiwa huduma, ambapo kabla ya mashine hii wagonjwa walikuwa wanaenda Hospitali ya Kanda Mbeya yenye umbali wa kilometa 340 kupata huduma hii na kumshukuru Mhe Rais Dkt Samiah Suluhu Hassan kwa mashine hii ambayo imeleta mapinduzi makubwa kwenye tiba

“Wakati nahamia hapa palikuwa na Xray moja tena ya ki-analojia na imechoka, leo siamini Rukwa kuna CT-scan, X-ray mbili za kidijitali yaani nafurahia kazi yangu nimshukuru sana Rais Dkt Samia uwekezaji huu mkubwa alioufanya katika hospitali yetu”. Amesema Bi Lutfia.

About the author

Alex Sonna