marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

sekabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

milanobet

restbet

imajbet

perabet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

betcup

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

pokerklas giriş

kingroyal

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

lunabet

lunabet giriş

Featured Kitaifa

MKOA WA SIMIYU KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA AMREF TANZANIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VVU/UKIMWI

Written by Alex Sonna
Wakili Mwanahamisi Kawega, akimwakilisha Katibu Tawala Mkoa Simiyu, Bi Prisca Kayombo, Wakati wa Mkutano wa tathimini wa robo ya kwanza ya mwaka wa mradi wa Afya Thabiti, Mradi huo unaofadhiliwa na PEPFAR kupitia CDC Tanzania na kutekelezwa na Amref Tanzania kwa kushirikiana na CIHEB Tanzania, TCDC Tanzania na timu za afya za mikoa na halmashauri (R/CHMT) katika mkoa ya Simiyu unalenga kuimarisha utoaji wa huduma na matibabu ya kufubaza VVU katika Kliniki za VVU/UKIMWI za serikali na za hospitali teule ili kuongeza kasi ya kufikia malengo ya 95-95-95 ya kudhibiti janga la UKIMWI nchini.
Ernest Kisandu, Mwakilishi kutoka Ofisi va Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wakati Mkutano wa tathimini wa robo ya kwanza ya mwaka wa mradi wa Afya Thabiti.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt. Boniface Maro (aliyesimama) wakati wa Mkutano wa tathimini wa robo ya kwanza ya mwaka wa mradi wa Afya Thabiti. Mradi huo unaofadhiliwa na PEPFAR kupitia CDC Tanzania na kutekelezwa na Amref Tanzania kwa kushirikiana na CIHEB Tanzania, TCDC Tanzania na timu za afya za mikoa na halmashauri (R/CHMT) katika mkoa ya Simiyu unalenga kuimarisha utoaji wa huduma na matibabu ya kufubaza VVU katika Kliniki za VVU/UKIMWI za serikali na za hospitali teule ili kuongeza kasi ya kufikia malengo ya 95-95-95 ya kudhibiti janga la UKIMWI nchini.
Dkt Rita Mutayoba, Mkurugenzi wa kiufundi wa Mradi wa Afya Thabiti, Amref Tanzania
Picha ya Pamoja wakati Mkutano wa tathimini wa robo ya kwanza ya mwaka wa mradi wa Afya Thabiti.
 
Simiyu, Tanzania – Februari 07-08, 2024
 
Shirika la Amref Health Africa, Tanzania kwa kushirikiana na Uongozi na timu za Afya za mkoa na halmashauri za Simiyu imefanya Mkutano wa tathimini wa robo ya kwanza ya mwaka wa mradi wa Afya Thabiti, mkutano huo wenye lengo la Kupokea taarifa ya utendaji wa kipindi cha robo mwaka wa kwanza (October-December 2023) wa mradi na Kujadili mafanikio, changamoto na mafunzo yaliyopatikana wakati wa utekelezaji wa mradi wa Afya Thabiti wenye lengo la kutoa huduma za VVU/UKIMWI katika mkoa wa Simiyu na Mara.
 
 
Mradi huo unaofadhiliwa na PEPFAR kupitia CDC Tanzania na kutekelezwa na Amref Tanzania kwa kushirikiana na CIHEB Tanzania, TCDC Tanzania na timu za afya za mikoa na halmashauri (R/CHMT) katika mkoa ya Simiyu unalenga kuimarisha utoaji wa huduma na matibabu ya kufubaza VVU katika Kliniki za VVU/UKIMWI za serikali na za hospitali teule ili kuongeza kasi ya kufikia malengo ya 95-95-95 ya kudhibiti janga la UKIMWI nchini.
 
Mkutano huo uliohudhuriwa na viongozi kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa ana Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na ulifunguliwa na Mkuu wa Kitengo cha Sheria Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Wakili Mwanahamisi Kawega, akimwakilisha Katibu Tawala Mkoa Simiyu, Bi Prisca Kayombo.
 
Akizungumza na washiriki Wakili Kawega alisema, “Mkoa wa Simiyu umefanikiwa kufikia malengo matatu muhimu ya kimataifa ya 95:95:95 katika mapambano dhidi ya maambukizi mapya ya VVU. Lengo la kwanza la 95, ni kuhakikisha wananchi wenye maambukizi ya VVU wanatambua hali zao limefikiwa kwa asilimia 100.4%, ikilinganishwa na lengo la asilimia 95%. Lengo la pili la 95, kuwapa dawa wenye VVU limefikiwa kwa asilimia 96.7%, na lengo la tatu (95) la kuwahimiza watu hao kutumia dawa ili kufubaza virusi vya UKIMWI limefikiwa kwa asilimia 97.4%, ikilinganishwa na lengo la asilimia 95%”.
 
 
Hata hivyo, kuna kundi la vijana na watoto kuanzia umri wa miaka 0-24, ambalo bado halijafikia viwango vya kutambua hali zao za VVU na kutumia dawa. Ni muhimu kutoka na maadhimio ya jinsi ya kufikia kundi hili na kuwahimiza kutumia dawa”. Aliongeza Wakili Kawega.
 
Akizungumza na washiriki, Wakili Kawega alisema, “Ni muhimu kutambua kwamba huu ni mradi muhimu na fursa kubwa, na hivyo basi ni wakati wa kutumia vyema mradi huu ili kuhakikisha kuwa wananchi wengi zaidi wanafikiwa na kupata huduma zinazostahili”.
 
 
Ernest Kisandu, Mwakilishi kutoka Ofisi va Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) alisema Wizara itaendelea kutoa ushirkiano kwa Wadau mbalimbali wa kupambana na VVU na UKIMWI Nchini kusudi malengo mahusi ya kutokomeza VVU vaweze kutimia.
 
 
Kwa upande wake, Dkt. Rita Mutayoba, Mkurugenzi wa kiufundi wa Mradi wa Afya Thabiti, Amref Tanzania alisema “Ushirikiano na uongozi kutoka katika utekelezaji wa mradi wa Afya Kamilifu uliomalizika Septemba 2023, umetuwezesha kufanikisha malengo tuliyokuwa nayo. Tunashukuru sana timu nzima ya mkoa na halmashauri kwa usimamizi wao madhubuti kuratibu huduma za VVU/UKIMWI mkoa wa Simiyu.
 
 
Ameongeza kwa ushirikiano na timu za afya za wilaya kwa pamoja tulifanya zoezi la kuthibitisha ama kusajili wateja wote kwa alama ya kidole kwa wale wote ambao wanapokea huduma za VVU katika vituo vyetu yaani zoezi la Bio-metric, “Tumeweza kufikia asilimia 92 ya malengo yetu na tunatarajia kufikia asilimia 100 kabisa. Lengo letu ni kuhakikisha tunawafikia walengwa wote na kuwapatia huduma sahihi”, alisema Dr Rita Mutayoba, Mkurugenzi wa Kiufundi, Mradi wa Afya Thabiti.
 
 
Amref Tanzania itaendelea kufanya kazi kwa ukaribu na wizara zote, mashirika ya serikali, wafadhili, mashirika ya kijamii (CBOs), mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs), sekta binafsi, na wanajamii. Katika kuchangia upatikanaji sawa na endelevu wa huduma bora za afya ya msingi (PHC) na hatimaye kuchangia katika kufanikisha huduma ya afya kwa wote (UHC) nchini Tanzania.

About the author

Alex Sonna