slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

jojobet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

sekabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

jojobet giriş

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

madridbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

meritking giriş

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

celtabet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet giriş

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

meritking

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

tipobet giriş

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

timebet

Piabet

tipobet

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

vdcasino

sekabet

grandpashabet

matbet

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

betpark mobil giriş

queenbet

Featured Kitaifa

MTATURU ATAJA MAMBO MANNE YALIYOMO KWENYE MISWADA YA SHERIA ZA UCHAGUZI

Written by mzalendo

 

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akichangia Miswada ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023,Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023 na Muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa mwaka 2023 bungeni jijini Dodoma.

Na.Mwandishi Wetu-DODOMA

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameeleza mambo manne yaliyopendekezwa kwenye
miswada mitatu ya Sheria zinazodhamira kuleta mageuzi kwenye uchaguzi na kisiasa ikiwemo uwepo wa kamati ya usaili inayoongozwa na Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jaji Mkuu wa Zanzibar.

Miswada hiyo ni Sheria ya Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023,Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa Mwaka 2023 na Muswada wa Sheria ya marekebisho ya Sheria za Vyama vya Siasa wa mwaka 2023.

Akichangia miswada hiyo Januari 30,2024,bungeni Jijini Dodoma,Mtaturu amesema eneo la Tume Huru ya Uchaguzi lilikuwa linapigiwa kelele na wadau wengi na Rais Samia Suluhu Hassan ameliona hilo na kuridhia mabadiliko hayo.

“Ni Marais wachache wenye nguvu ambao wanaweza kukubali baadhi ya mambo yake yafanywe na watu wengine,Mhe.Rais wetu amekubali kwamba kuwe na Kamati ya Usaili ambayo itamsaidia kuwachuja watu,kamati ambayo imebeba watu waaminifu wa level ya juu kabisa ambao wataenda kufanya kazi hiyo kwa niaba ya Mh Rais.”

“Kamati hii ya Usaili ambayo imetajwa tusipoiamini tutamuamini nani, maana yake ni kwamba tutakapokuwa tumekubali Sheria hii tutakuwa tumekubali Kamati hii ya Usaili itakayomsaidia sana Mh Rais kuondoa maneno ambayo yamekuwepo kwamba amekuwa akiteua peke yake,jambo ambalo sio kweli kwak uwa Rais ni taasisi lakini sasa amekubali,hivyo Kamati itateua au kupendekeza majina matatu na yatapelekwa kwa Rais,”amesema.

Jambo la pili alilochangia ni kuhusu sifa za viongozi wa Kamati ya Usaili ambao kupitia Sheria hiyo wanatakiwa kuwa majaji na kusisitiza kuwa Sheria hiyo ikipitishwa watakuwa na Tume Bora ya Uchaguzi ambayo itaenda kuwa na jibu la manung’uniko yaliyoliyokuwepo siku za nyuma.

Mtaturu ametaja jambo la tatu ni kuhusu wagombea kupita bila ya kupingwa ambapo mwanzoni kulikuwa na kelele lakini kupitia sheria hiyo kelele hizo zimesikilizwa.

“Viongozi wengi wameeleza kuwa haiwezekani kukawa na mgombea mmoja akapita bila ya kupingwa hivyo kupitia hii sheria akitokea mgombea mmoja lazima apigiwe kura ya ndio ama hapana ili kuamua ama kubariki kuwa huyu sasa amechaguliwa kwa kupiga kura,”amesema.

Amesema hatua hiyo itaondoa hofu ile iliyokuwepo mwanzoni kwamba watu wanapitishwa tu ili waende wakawe viongozi bila ya kuwa na ruhusa kutoka kwa wananchi.

Jambo la nne ni kuhusu Usawa wa Kijinsia ambalo limezingatiwa katika Sheria ili kuondoa manyanyaso yaliyokuwepo katika baadhi ya meneo.

“Baadhi ya wanawake wazuri katika maeneo fulani fulani lakini wameshindwa kuchaguliwa kwa sababu tu ni wanawake,lakini kumekuwa na mfumo dume katika maeneo ya jamii yetu ambayo hayaamini katika mwanamke kuwa kiongozi kwa hiyo kupitia Sheria hii itavilazimisha vyama vya siasa kuweka wagombea ambao ni wanawake au kama walivyosema wengine hata wanaume ambao hawakubaliki,”.amesema Mtaturu.

Amewaomba watanzania kuiunga mkono serikali na kuipitisha miswada hiyo ambayo itaimarisha demokrasia nchini.

About the author

mzalendo