Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

nitrobahis

mavibet giriş

kavbet giriş

mavibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

cratosroyalbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

dinimi sitiliri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10

piabellacasino

nerobet

cratosroyalbet

nitrobahis

mavibet giriş

mavibet

Meritking

meritking

สล็อตเว็บตรง

bets10

tarafbet

jojobet

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

meritbet giriş

tipobet

kavbet

mavibet

jojobet giriş

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet telegram

marsbahis giriş

jojobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

caddebet, caddebet giriş

betgar

betsat

grandpashabet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

jojobet

casibom

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

Google

casinoroyal

primebahis

marsbahis

turkey dental implants cost

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom

casibom giriş

dental implants turkey clinics

casibom güncel giriş

betflix giriş

turkey dental implants

deneme bonusu

wbahis

imajbet

grandpashabet

jojobet

casinowon

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

meritking

meritking

marsbahis

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis

Hacklink panel

zirvebet

holiganbet

Google

meritking

holiganbet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

matbet

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

marsbahis giriş

marsbahis giriş

truvabet

mavibet

mavibet

mavibet

Bet365 Giriş

betturkey

betturkey giriş

betflix

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet

piabellacasino

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

aresbet, aresbet giriş

betebet

jojobet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

casibom güncel giriş

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

jojobet giris

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel

goldenbahis

coinbar

betcio, betcio giriş

galabet, galabet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

grandpashabet

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

starzbet

pusulabet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

Featured Kitaifa

KAGUNZE AAGIZA FEDHA WALIZOTOA WAZAZI KIMAKOSA SHULE YA WASICHANA SHINYANGA ZIRUDISHWE

Written by Alex Sonna
Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwalimu Alexius Kagunze
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwalimu Alexius Kagunze ameagiza shilingi 4,475,000/= zilizolipwa kimakosa na wazazi wa wanafunzi waliojiunga kidato cha kwanza Shule ya Sekondari ya Wasichana Shinyanga (Shinyanga Girls Secondary School) iliyopo kata ya Ndembezi zirudishwe kwa wazazi.
 

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi Januari 20,2024 Mwl. Kagunze amesema maagizo hayo ameyatoa kwa uongozi wa shule na maafisa elimu wilaya na kata kwamba wasimamie kuhakikisha fedha zote zinarejeshwa kwa wazazi.
 
 
“Nimeagiza wazazi wote ambao kimakosa walijikuta wamechukua fomu ya kujiunga kidato cha tano kwa shule za bweni badala ya fomu ya kujiunga kidato cha kwanza warejeshewe fedha zao shilingi 80,000/= (mchanganuo ni shilingi 65,000/= kwa ajii ya uendeshaji wa shule, Tahadhari 5,000, nembo ya shule 5,000/= na kitambulisho cha shule 5, 000/= tayari fedha zao jumla shilingi 4,475,000/= zimetolewa kwenye akaunti ya shule na tayari wazazi wameanza kurudishiwa fedha zao”,ameeleza Mwl. Kagunze.
 
 
“Maafisa elimu wilaya na kata wasimamie kuhakikisha kwamba fedha zote zirejeshwe kwa wazazi na risiti zote nizione na kama ni SMS za miamala ya simu nizione ili kumaliza mkanganyiko huo uliotokea. Tayari baadhi ya wazazi wamekiri kupokea fedha walizochanga ambapo kwa wale waliopo ndani ya mkoa wa Shinyanga wamefika shuleni wakachukua na wameshukuru kwa sababu kwa sasa elimu ni bure, Mhe. Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan amejenga hii shule kwa gharama ya shilingi Bilioni 4.1 na elimu ni bure kwa wanafunzi wote”,ameongeza Kagunze.
 
 
Akifafanua kuhusu mkanganyiko uliojitokeza, Mwl. Kagunze amesema umetokana na baadhi ya wazazi kuchanganya fomu ya kujiunga kidato cha tano na fomu ya kujiunga kidato cha kwanza ambapo baadhi ya waliochanganya ndiyo wale baadhi yao wakajikuta wanalipia shilingi 80,000/= ambayo inapaswa kulipwa na wazazi wa wanafunzi wa kidato cha tano ambao walishalipa mwaka 2023 na wanaendelea na masomo.
 
 

 

“Nimeona kwenye moja ya vyombo vya habari vikitangaza kwamba wazazi wamechangishwa fedha shilingi 80,000/= kwenye shule yetu ya Sekondari ya wasichana Shinyanga, katika kufuatilia hilo jambo ambalo limeenea kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii, nikafuatilia zaidi nikagundua kwamba wapo baadhi ya wazazi waliweza kulipa shilingi 80,000/= ya mchango ndani ya shule wamejikuta wakilipa kwa sababu shule hii ni mpya ilianza mwaka 13.08.2023 ambapo shule ilianza na kidato cha tano na kwa mujibu wa maelekezo walichangia shilingi 80,000/=”,ameeleza.

 

 
 
“Hiyo fomu huwekwa kwenye Tovuti za Wizara hata shuleni haipo, mtoto anapofaulu anaingia kwenye mtandao anachukua fomu anaona mahitaji yote ya shule. Sasa wazazi wa mwaka huu wa wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza kwa sababu kila mwaka fomu inaweza kuboreshwa kidogo au ikabaki ile ile ya mwaka uliopita kulingana na mahitaji yanayotakiwa iliwekwa tena fomu ya kidato cha kwanza sasa katika kuichukua hiyo fomu naona baadhi ya wazazi walichanganya kwenye fomu ya kujiunga kidato cha tano na fomu ya kujiunga kidato cha kwanza wakajikuta wanalipia shilingi 80,000/= kimakosa”,ameongeza Mwl. Kagunze.
 
 
Katika hatua nyingine amewakaribisha wanafunzi wote wa kidato cha kwanza waendelee na masomo huku akibainisha kuwa tangu shule ifunguliwe wanafunzo wote wanaendelea na masomo na hata wanafunzi waliofika bila hiyo pesa walipokelewa na wasio na sare pia wamepokelewa na wanaendelea na masomo.
 
 
Aidha amesema mpaka saa tisa alasiri Jumamosi Januari 20,2024 wanafunzi 100 wameripoti shule kati ya wanafunzi 143 waliopangwa kujiunga kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Shinyanga.
 
 
Nao baadhi ya wazazi akiwemo Hellen Andrea Luhamba aliyetumiwa fedha yake kupitia simu yake  na Ibrahim Lyanga aliyefika shuleni wamekiri kurudishiwa pesa zao baada ya kuelezwa na uongozi wa shule kwamba hakuna michango kwani elimu ni bure huku Mkuu wa shule hiyo, Nurah Kamuntu akieleza kuwa zoezi la kurejesha fedha kwa wazazi linaendelea vizuri na kila mzazi atapata pesa yake.
 

About the author

Alex Sonna