marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

holiganbet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

parmabet

piabellacasino

mislibet

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

imajbet giriş

imajbet güncel giriş

ngsbahis

kralbet giriş

bahiscasino

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betwoon

süperbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

meritking

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

jetbahis

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

marsbahis

nesinecasino

holiganbet

mercurecasino

casinowon

grandpashabet

padişahbet

Google Search Console giriş

Featured Kitaifa

MCHENGERWA AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI

Written by mzalendo

MWENYEKITI  wa Baraza la wafanyakazi ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe.Jaji Dk. Eliezer Feleshi (Kushoto) akimsikiliza Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe.Mohamed Mchengerwa, wakati akifungua kikao cha baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Serikali linalofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe.Mohamed Mchengerwa,akizungumza  leo Desemba 19,2023  wakati akifungua kikao cha baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu serikali linalofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

SEHEMU ya Washiriki wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe.Mohamed Mchengerwa, wakati akifungua kikao cha baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Serikali kinachofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

MWENYEKITI  wa Baraza la wafanyakazi ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe.Jaji Dk. Eliezer Feleshi ,akizungumza wakati wa  kikao cha baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Serikali kinachofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

NAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali Balozi, Prof.Kennedy Gaston,akitoa salama za Baraza wakati wa  kikao cha baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Serikali kinachofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe.Mohamed  Mchengerwa,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua kikao cha baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu Serikali linalofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe.Mohamed Mchengerwa ,amewataka  watumishi wa umma nchini kuwa wazalendo linapokuja suala linalohusu maslahi ya nchi.

Waziri Mchengerwa ameyasema hayo leo Desemba 19,2023  wakati akifungua kikao cha baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali kinachofanyika kwa siku mbili jijini Dodoma.

 

“Niwapongeze kwa kuwa wazalendo licha ya changamoto mnazokabiliwa nazo katika utumishi wenu hivi sasa watumishi wengi wa umma wamekuwa siyo wazelendo.

“Hata kama kuna jambo litatokea linalohusu kuumiza nchi wao wala haiwagusi, uzalendo ni jambo la msingi lazima kila mmoja wetu awe nalo moyoni”amesema Waziri Mchengerwa

Aidha Waziri  Mchengerwa,amemuelekeza Mwanasheria Mkuu wa serikali kukaa na ofisi yake ili kuandaa mpango kazi ambao utasaidia kupata suluhu ya kero mbalimbali.

“Tukae tuandae mpango mkakati ambao utasaidia kutatua changamoto hizi mlizosema kwani TAMISEMI ni ya wananchi hivyo lazima tuweke mazingira mazuri kwa wananchi kupata huduma hizi kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa serikali”amesema

Hata hivyo, Mhe.Mchengerwa amesema kuwa  tatizo la ukosefu wa vyombo vya usafiri ataifikisha kwa Rais Samia Suluhu Hassan ili kuona ni jinsi gani italifanyia kazi.

Awali Mwenyekiti wa baraza la wafanyakazi ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe.Jaji Dk. Eliezer Feleshi amesema ofisi yake inakabiliwa na upungufu wa watumishi 285 hali inayochangia baadhi ya shughuli kushindwa kutekelezwa kwa ufanisi.

Dk.Feleshi amesema ,mahitaji wa watumishi kwenye ofisi yake ni 477 lakini waliopo hivi sasa ni 192 hivyo kufanya upungufu kuwa ni watumishi 285 katika maeneo mbalimbali.

“Tunaishukuru serikali kwa kutoa kibali cha kuajiri watumishi 50 katika mwaka wa fedha 2022/23 ambapo 48 walikuwa mawakili na wawili ni wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)”amesema Dk. Feleshi

Aidha Dk. Feleshi ameelezea, lengo la kikao hicho cha baraza la wafanyakazi ni kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa mpango wa bajeti.

“Pia kupima mafanikio ya mpango wa bajeti, kujadili hoja mbalimbali zitazoibuliwa na wajumbe wa baraza hili na kuzitafutia ufumbuzi”amesema

About the author

mzalendo