marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

cashwin

palacebet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

teosbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

artemisbet

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet güncel giriş

holiganbet giriş

Nitric Boost

bahiscasino giriş

Featured Kitaifa

WAZEE WAKUMBUSHWA JUKUMU LA KUKEMEA MMOMONYOKO WA MAADILI NCHINI

Written by mzalendo

Na Said Said, WMJJWM- Dodoma.

Baraza la Taifa la Wazee limeaswa kushirikiana na Serikali pamoja na wadau mbalimbali katika kurekebisha na kusimamia maadili mema ya Taifa.

Rai hiyo imetolewa Oktoba 04, 2023 na Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Tulo Masanja alipomwakilisha Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima, kwenye ufunguzi wa kikao cha siku mbili cha Baraza la Wazee la Taifa kililofanyika jijini Dodoma.

Kamishna Masanja amesema kuwa Serikali inawathamini wazee na itaendelea kupokea ushauri wao wa busara kwa ustawi na maendeleo ya nchi.

“Niombe sana Baraza hili lichukue nafasi yake kama washauri wa jamii kwa kukemea yale yote yanayosababisha ukatili, unyanyasaji, unyanyapaa, mauaji pamoja na mmomonyoko wa maadili katika jamii” amesema Kamishna Masanja.

Kamishna Masanja amelitaka Baraza hilo kuendelea kufanya kazi kwa kushirikana na wadau wengine wanaoweza kutekeleza afua mbalimbali za wazee kwani Baraza hilo limeundwa kwa mujibu wa sheria hivyo ni vema taasisi nyingine zote kuhakikisha zinatumia mifumo iliyopo kwa maslahi ya Taifa.

Kwa upande wake Mtakwimu Mkuu wa Serikali Albina Chuwa amesema kuwa Baraza la Wazee la Taifa ni hazina ya msingi na ni tunu ya Taifa kwa hivyo wanayo kila sababu ya kutekeleza kila afua zitakazolisaidia taifa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Baraza hilo David Sendo amesema kuwa Baraza hilo litahakikisha linasimamia na kutekeleza maazimio ya kikao hicho ikiwa ni pamoja na kufutilia afua mbalimbali za kukabiliana na changamoto zinazohusu kundi la wazee nchini.

“Shabaha yetu ni kufuatilia kikamilifu na kusimamia upitishwaji wa Sera mpya ya Wazee nchini ambayo kwa muda mrefu sasa imekuwa katika mchakato bila mafanikio kwani sisi wazee tunahitaji huduma Bora za Afya na mazingira wezeshi kwa wazee kushughulikiwa ipasanyo” amesema Sendo.

          

About the author

mzalendo