slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

madridbet giriş

NervEase

hacker google hacked

hardcore porn

hardcore anal porn

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

betgit

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

betoffice

coinbar

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

marsbahis

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

tümbet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

elexbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

jojobet

celtabet

holiganbet giriş

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

holiganbet

jojobet

grandpashabet

1win

ibizabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

gameofbet

Hacklink panel

mislibet giriş

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

roketbet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

Featured Kitaifa

MAADHIMISHO SIKU YA SHUKRANI KWA MLIPAKODI SHINYANGA YAFANYIKA

Written by Alex Sonna
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi Mkoa wa Shinyanga

 

Matembezi ya hisani na walipakodi, watumishi wa TRA pamoja na wanafunzi wa Klabu za Kodi kutoka shule na vyuo mbalimbali.
 

 

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Shinyanga imeadhimisha Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi ikiongozwa na kauli mbiu ‘Kodi yetu, Maendeleo Yetu, Tuwajibike’ huku ikijivunia kukusanya shilingi Bilioni 32.8 (32,878,016,785.23/= sawa na ufanisi wa asilimia 83.21 ya lengo la kukusanya shilingi Bilioni 39.5 kwa mwaka wa fedha 2022/2023.
 
 
Maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi yamefanyika leo Alhamisi Novemba 30,2023 katika viwanja vya Zimamoto Mjini Shinyanga yakitanguliwa na matembezi ya hisani ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme.

 
 
Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo, Makamu Mkurugenzi wa Fedha wa TRA Bi. Anna Mndeme amesema lengo la maadhimisho ya Wiki ya Shukrani kwa mlipakodi ni kuwatambua na kuwashukuru walipakodi wote kwa mchango wao katika taifa bila kujali ukubwa au udogo wao.
 
 
“Katika wiki hii tumetoa elimu ya mlipakodi, kutoa misaada mbalimbali kama vile Tanki la kuhifadhia maji katika Hospitali ya Wilaya ya Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Kishapu na chakula kwenye makazi ya wazee na wasiojiweza Kolandoto na kuwatunuku vyeti na zawadi walipakodi na wadau wengine ambao kwa namna moja au nyingine wamekuwa na mchango mkubwa zaidi katika kusaidia na kuwezesha shughuli za usimamizi wa kodi”,ameeleza.
Makamu Mkurugenzi wa Fedha wa TRA Bi. Anna Mndeme akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi Mkoa wa Shinyanga
 
“Kwa mwaka wa fedha 2023/2024 TRA Mkoa wa Shinyanga ina lengo la kukusanya shilingi Bilioni 12.5 na tumeuanza mwaka kwa mafanikio ya kuridhisha kwani katika robo ya kwanza (Julai – Septemba 2023), tumefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 3.1 sawa na ufanisi wa asilimia 123.05 ya lengo la kukusanya shilingi 3,066,100,000/=”,amesema Mndeme.
 
 
Aidha ametoa rai kwa walipakodi kuendelea na kuongeza uhiari na utayari katika kutimiza wajibu wao kisheria kujisajili kama walipakodi kwa wale ambao bado hawajasajiliwa, kuwasilisha ritani za kodi kwa usahihi pamoja na kulipa kodi kwa wakati ili kujenga taifa linalojitegemea.
 
Hata hivyo Mndeme amesema bado kuna changamoto ya baadhi ya wafanyabiashara kutotumia mashine za kielektroniki za kutolea risiti (EFD) hivyo akatoa wito kwa kila mmoja kuwajibika kwa kutoa risiti sahihi ya EFD anapouza au kudai risiti sahihi ya EFD anaponunua bidhaa za huduma mahali popote nchini.
 
 
Katika hatua nyingine amesema TRA itaendeleza jitihada za utatuzi wa migogoro na mashauri ya kodi nje ya mahakama kwa njia ya maridhiano ya kisheria ili kuimarisha Imani ya walipakodi na kutoa muda wa kutosha kujikita katika shughuli za kibiashara badala ya kuendesha mashauri ya kodi.
 
Kwa upande wake, Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme ameipongeza TRA Mkoa wa Shinyanga kwa mwenendo mzuri wa makusanyo ya kodi hali inayoonesha ni kwa kiasi gani wanajituma katika kutekeleza majukumu yao ya kukusanya kodi lakini pia inaonesha jinsi gani walipa kodi wanatekeleza wajibu wao wa kulipa kodi kwa hiari ili kuiletea nchi maendeleo.
 
Mhita ametumia fursa hiyo kuwataka wafanyabiashara kutumia mashine za EFD ipasavyo badala ya kutoa kiwango pungufu kuliko kiwango cha pesa walichotoa kupata huduma au kununua bidhaa huku akiwataka wale wenye sifa za kununua au kutumia mashine za EFD wanunue na kuzitumia.
 
“Ili kupanua wigo wa kukusanya kodi na kuongeza mapato ya serikali, natoa wito kwa kila mwananchi atimize wajibu wake; wafanyabiashara watoe risiti na wanunuzi wadai risiti, walengwa kununua mashine za EFD na kujisajili na kupata namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) pamoja na leseni ya biashara”,amesema Mhita.

 

Mcheza ngoma za asili akicheza na nyoka kwenye maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi
 

 

“Pia wananchi watoe taarifa za wakwepa kodi kwa TRA, kuacha kushiriki biashara yoyote ya magendo, kutoa taarifa ya mabadiliko ya biashara kwa TRA,kulipa kodi kwa hiari na kwa wakati, kujenga desturi ya kuwasiliana kwa karibu na TRA kwa mfanyabiashara mmoja mmoja ili kutatua changamoto zinapojitokeza na kuwasilisha ritani za kodi kwa wakati “,ameongeza Mhita.
 
Maadhimisho ya Siku ya Mlipakodi Mkoani Shinyanga yametanguliwa na Matembezi ya hisani na walipakodi, watumishi wa TRA pamoja na wanafunzi wa Klabu za Kodi kutoka shule na vyuo mbalimbali mkoani Shinyanga.
 
 
Katika maadhimisho hayo ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi, TRA imetoa tuzo kwa walipakodi walioweza kuichangia serikali kiasi kikubwa zaidi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 ambapo Kampuni ya East African Spirit limited imetangazwa kuwa mchangiaji mkubwa wa kodi mkoani Shinyanga na kwa upande wa walipa kodi wakubwa (Large Taxpayers) pia Kampuni ya East African Spirit Limited imeibuka mshindi wa kwanza ikifuatiwa na Sakisa & CO Limited.
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita, meza kuu wakipiga picha na walipakodi waliopata tuzo na zawadi
 
Aidha Mgodi wa Almasi wa Williamson Diamonds Limited umepata tuzo ya Walipakodi wakubwa katika mikoa iliyo chini ya Idara kubwa ya walipakodi.
 
Upande wa walipakodi wa kati (Medium Taxpayers mshindi wa kwanza ni Kampuni ya Gilitu Enterprises Ltd akifuatiwa na Leonard Kasoni Manaha na I DROP (T) Limited wakati Walipakodi wadogo (small taxpayers) mshindi wa kwanza ni Ally Nassor Rashid akifuatiwa na Ally Hamad Hilal na Benno Damian Urassa.
 
Aidha kwa upande wa washindi ngazi ya wilaya washindi ni A.A Gimbi Company Limited akifuatiwa na Nkamba Company (T) Limited na African Buffalo Safari Trackers Limited.
 
Pia TRA imezitangaza taasisi zenye ushirikiano bora TRA kwa mwaka 2022/2023 ni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Ofisi ya Usalama wa Taifa, Benki ya CRDB pamoja na kituo cha matangazo Redio Faraja Fm Stereo.
 
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi Mkoa wa Shinyanga leo Alhamisi Novemba 30,2023 katika viwanja vya Zimamoto Mjini Shinyanga. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi Mkoa wa Shinyanga leo Alhamisi Novemba 30,2023 katika viwanja vya Zimamoto Mjini Shinyanga.
Makamu Mkurugenzi wa Fedha wa TRA Bi. Anna Mndeme akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi Mkoa wa Shinyanga

Meneja wa TRA Mkoa wa Shinyanga, Faustine Cosmas Mdessa akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi Mkoa wa Shinyanga
Mwenyekiti wa TCCA Mkoa wa Shinyanga Jonathan Kifunda Manyama akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi Mkoa wa Shinyanga
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe. Elias Ramadhan Masumbuko akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi Mkoa wa Shinyanga
Wafanyakazi wa TRA Mkoa wa Shinyanga wakifuatilia matukio yaliyokuwa yanaendelea kwenye Maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi Mkoa wa Shinyanga
Afisa Huduma na Elimu Kwa Mlipa Kodi TRA Mkoa wa Shinyanga, Semeni Selemani Mbeshi akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi Mkoa wa Shinyanga
Wananchi wakifuatilia matukio kwenye maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi
Wananchi wakifuatilia matukio kwenye maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi
Mcheza ngoma za asili akicheza na nyoka kwenye maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi
Walimu wakitoa burudani kwenye maadhimisho ya Siku ya Shukrani kwa Mlipakodi
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita akikabidhi tuzo kwa walipakodi walioweza kuichangia serikali kiasi kikubwa zaidi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 ambapo Kampuni ya East African Spirit limited imetangazwa kuwa mchangiaji mkubwa wa kodi mkoani Shinyanga na kwa upande wa walipa kodi wakubwa (Large Taxpayers) pia Kampuni ya East African Spirit Limited imeibuka mshindi wa kwanza. Kulia ni Mwakilishi wa Kampuni hiyo, Gladness Gasper Kileo akipokea tuzo
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita akikabidh tuzo kwa walipakodi walioweza kuichangia serikali kiasi kikubwa zaidi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 
Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita, meza kuu wakipiga picha na walipakodi waliopata tuzo na zawadi
Wafanyakazi wa TRA wakipiga picha ya pamoja kabla Matembezi ya hisani na walipakodi, watumishi wa TRA pamoja na wanafunzi wa Klabu za Kodi kutoka shule na vyuo mbalimbali mkoani Shinyanga kutoka ofisi za TRA Mkoa wa Shinyanga hadi Viwanja vya Zimamoto Mjini Shinyanga
Makamu Mkurugenzi wa Fedha wa TRA Bi. Anna Mndeme (katikati), Meneja wa TRA Mkoa wa Shinyanga, Faustine Cosmas Mdessa (kushoto) na Meneja Msaidizi Huduma kwa Mlipa Kodi TRA Mkoa wa Shinyanga Estomih Mossi  wakiongoza Matembezi ya hisani na walipakodi, watumishi wa TRA pamoja na wanafunzi wa Klabu za Kodi kutoka shule na vyuo mbalimbali mkoani Shinyanga kutoka ofisi za TRA Mkoa wa Shinyanga hadi Viwanja vya Zimamoto Mjini Shinyanga
Matembezi ya hisani na walipakodi, watumishi wa TRA pamoja na wanafunzi wa Klabu za Kodi kutoka shule na vyuo mbalimbali yakiendelea
Matembezi ya hisani na walipakodi, watumishi wa TRA pamoja na wanafunzi wa Klabu za Kodi kutoka shule na vyuo mbalimbali yakiendelea
Matembezi ya hisani na walipakodi, watumishi wa TRA pamoja na wanafunzi wa Klabu za Kodi kutoka shule na vyuo mbalimbali yakiendelea
Matembezi ya hisani na walipakodi, watumishi wa TRA pamoja na wanafunzi wa Klabu za Kodi kutoka shule na vyuo mbalimbali yakiendelea
Matembezi ya hisani na walipakodi, watumishi wa TRA pamoja na wanafunzi wa Klabu za Kodi kutoka shule na vyuo mbalimbali yakiendelea
I

About the author

Alex Sonna