Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

PROGRAMU YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYABIASHARA WA NDANI YA BARRICK YAWAFIKIA WAFANYABIASHARA MKOANI MARA

Written by Alex Sonna
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mohamed Mtanda, akihutubia washiriki wakati wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Programu ya kuwajengea uwezo wafanyabiashara wa ndani (Local Business Development Programme) yaliyoandaliwa na Mgodi wa Barrick North Mara na kufanyika mjini Tarime.
Kaimu Meneja wa Idara ya Mahusiano ya Jamii wa Mgodi wa Barrick North Mara, Hermence Christopher, akiongea wakati wa mafunzo ya Programu ya kuwajengea uwezo wafanyabiashara wa ndani yaliyoandaliwa na Mgodi wa Barrick North na kufanyika mjini Tarime.
Mmoja wa washiriki kutoka kampuni ya RIN, Isaac Range, akiongea mbele ya Mkuu wa Mkoa na viongozi wengine wa Mkoa.
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mohamed Mtanda akimkabidhi Mwalimu Mwita kutoka taasisi ya Mwera Foundation kitabu chenye fursa za uwekezaji katika mkoa wa Mara.
Washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia mada mbalimbali kutoka kwa wataalamu.
Washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia mada mbalimbali kutoka kwa wataalamu.
Washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia mada mbalimbali kutoka kwa wataalamu.
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mtanda, katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo hayo
 
****
Programu ya maendeleo ya kibiashara ya Barrick, (Local Business Development Programme) inayolenga kuimarisha uwezo wa biashara za ndani ili ziweze kunufaika na fursa zilizopo kwenye sekta ya madini imewafikia wafanyabiashara mkoani Mara kupitia mafunzo maalum ya biashara ya siku mbili yaliyofanyika mjini Tarime na kufunguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Said Mohamed Mtanda.
 
Mafunzo hayo yaliyowashirikisha wafanyabiashara waliopo katika sehemu ya mnyororo wa thamani hayo yalifanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Blue Sky mjini Tarime, na yaliendeshwa na wataalamu kutoka kampuni ya ushauri wa masuala ya biashara na ujasiriamali ya Impacten.
 
Katika hotuba yake ya ufunguzi wa mafunzo, Said Mtanda, aliipongeza Kampuni ya Barrick kwa kuanzisha programu ya kuwajengea wafanyabiashara uwezo na kuongeza kuwa mafunzo hayo ni muhimu kwa kuwa yanawaongezea washiriki uelewa na yatawawezesha kuwa na vigezo vya kunufaika na fursa mbalimbali za kibiashara ndani na nje ya mgodi wa Barrick North Mara.
 
 
“Mnaoshiriki programu hii ya mafunzo muizingatie kikamilifu ili mkidhi vigezo vya kufanya kazi na mgodi huu, najua baada ya mafunzo haya mtapata fursa za kibiashara ndani na nje ya mgodi, lakini pia mtapata elimu ya kuimarisha biashara zenu,” RC Mtanda amewambia washiriki wa mafunzo hayo.
 
Aliipongeza Barrick North Mara kwa kushinda Tuzo ya Mlipakodi Bora Tanzania kwa mwaka jana, lakini pia kwa kuweza kutumia dola milioni 29 kwa ajili ya wazabuni wazawa wanaofanya biashara na mgodi huo.
 
“Lakini pia kitaifa, kwa kipindi cha robo hii ya mwaka, Barrick imetumia dola milioni 51 zilizonufaisha kampuni mbalimbali zinazofanya kazi na kampuni hiyo kwa kutoa huduma mbalimbali ikiwemo utekelezaji sera ya Uwajibikaji wa Jamii (CSR) ambapo imefanikisha miradi mbalimbali ya kijamii katika Halmashauri ya Wilaya ya Tarime ambapo mingi tayari imekamilika na na mingine inaendelea kutekelezwa”,amesema.
 
Aidha, RC Mtanda alisema Kampuni ya Barrick imeipatia Serikali ya Tanzania shilingi bilioni 70 kwa ajili ya kusaidia uboreshaji wa miundombinu ya elimu nchini, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa mabweni ya wasichana katika shule za sekondari za juu (high schools).
 
RC Mtanda ametumia nafasi hiyo pia kuwapatia wafanyabiashara wanaoshiriki mafunzo hayo zawadi ya vitabu 10 vyenye mwongozo wa fursa za uwekezaji zilizopo katika mkoa wa Mara.
 
Katika hatua nyingine, RC Mtanda amewataka wazabuni wanaofanya kazi na mgodi wa Barrick North Mara kuunga mkono juhudi za kukemea na kukomesha tatizo la makundi ya watu wanaouvamia wanaojulikana kwa jina la ‘intruders’, ili waendelee kunufaika na fursa za kibiashara kutokana na uwepo wa mgodi huo.
 
“Waelimisheni watu waache kuvamia mgodi, msikae kimya kwa sababu ninyi pia ni wanufaika. Mgodi ukifungwa kutokana na sababu za kiusalama hata hizi dola hazitawafikia,” alisema RC Mtanda, akitolea mfano dola za Marekani milioni 29 ambazo mgodi huo umelipa kwa wazabuni wazawa kwa mwaka huu wa 2023 pekee”,amesema.
 
Naye Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Kanali Michael Mntenjele akizungumza kabla ya kumkaribisha RC Mtanda, amesisitiza kuwa mafunzo hayo yatawafungulia wafanyabiashara hao milango ya kunufaika na fursa nyingi za kibiashara hata nje ya Tanzania.
 
Awali, Kaimu Meneja wa Idara ya Mahusiano ya Jamii wa Mgodi wa Barrick North Mara, Hermence Christopher, amesema mafunzo hayo yanahudhuriwa na wafanyabiashara wenye kampuni zikiwemo zinazofanya kazi na mgodi huo, na kwamba mpango huo ni mwendelezo wa jitahada zinazofanywa na kampuni kuwajengea wafanyabisahara wazawa uwezo wa kushiriki kikamilifu katika mnyororo wa uchumi wa madini.
 
“Sera ya Local Content, inatutaka kuwajengea Watanzania uwezo wa kushiriki vizuri kwenye shughuli zetu. Hivyo ili kuhakikisha kuwa wanashiriki kwenye mnyororo wa uchimbaji wa madini, tumekuja na Local Business Development Programme (Programu ya Kuendeleza Wafanyabiashara),” amesema Hermance ambaye alimwakilisha Meneja Mkuu wa mgodi huo, Apolinary Lyambiko.
 
Akiongea kwa niaba ya washiriki, Mkurugenzi wa Kampuni ya RIN, Isack Range, alishukuru kampuni kwa kuandaa mafunzo hayo na kuahidi kuwa watayazingatia kwa kuwa ni fursa muhimu kwao.
 
 “Tumefurahi sana kwa ajili ya programu hii, tunategemea mgodi utatufanyia mambo mengi mazuri,” alisisitiza.

About the author

Alex Sonna