marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sakarya escort

izmit escort

matbet

vdcasino

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

mavibet giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

betixir giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

galabet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Deneme Bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

sahabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

betplay

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

norabahis

galabet

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

tophillbet

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU AAGIZA WANANCHI WAHAMASISHWE KUTUMIA HUDUMA RASMI ZA FEDHA.

Written by mzalendo
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb), akihutubia wananchi wa Arusha, waliohudhuria ufunguzi wa Maadhimisho ya Tatu ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yenye kaulimbiu “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Uchumi”, yanayofanyika katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Maonesho hayo yanawakutanisha Taasisi ndogo za Fedha, Benki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pamoja na wajasiriamali kutoka mkoa wa Arusha.
Na. Farida Ramadhani na Joseph Mahumi, WF, Arusha
 
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Fedha kuandaa mpango maalum wa kutoa elimu na hamasa kwa Watanzania ili kila mmoja ajenge tabia ya kutumia huduma rasmi za fedha.
 
Alitoa agizo hilo jijini Arusha wakati akizindua Maadhimisho ya Tatu ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayoendelea katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid jijini humo, yenye kaulimbiu ya “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Uchumi”.
 
Alisema huduma hizo zinatambulika kisheria na zitawawezesha wananchi kuepuka madhara mbalimbali ya kutumia huduma ambazo sio rasmi ikiwemo kupoteza fedha kwa kudhulumiwa. 
Mhe. Majaliwa pia aliiagiza Wizara hiyo kushirikiana na watoa huduma za fedha kuhakikisha wanaweka mfumo endelevu wa kutoa elimu ya fedha kwa wananchi katika maeneo ya mijini na vijijini. 
 
Alisema elimu hiyo itolewe kwa lugha rahisi inayoeleweka kwa wananchi huku akisisitiza elimu hiyo iangalie yale mambo muhimu ambayo wananchi wanaweza kuyatekeleza. 
 
“Sio tu kutumia maadhimisho haya ambayo yanadumu kwa wiki moja kutoa elimu, inabidi tuwe na mfumo endelevu wa kutoa elimu kwa wananchi, mijini na vijijini. Mtumie matangazo mbalimbali lakini sasa hivi kuna vyombo vingi vya habari na mitandao ya kijamii”, alisema Mhe. Majaliwa.
 
Pia aliitaka Wizara hiyo kuongeza juhudi za kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kudai risiti wanapofanya manunuzi ya bidhaa na huduma mbalimbali.
 
Alisema kila wananchi wanapofanya manunuzi fedha wanayolipia kuna kiasi kinaingia Serikalini hivyo kuchangia katika Pato la Taifa.
 
“Usipodai risiti maana yake fedha hizo hupeleki Serikalini kutunisha mfuko wetu unamuachia mfanyabiashara na wewe unaefanya biashara kuwa mzalendo toa risiti hata kama mtu kasahau mkumbushe kama wafanyabiashara”, alisisitiza.
 
Mhe. Majaliwa pia aliiagiza Wizara hiyo kuwasimamia watoa huduma za fedha nchini kwa kuhakikisha wanapunguza gharama za upatikanaji wa huduma hizo ikiwemo riba na ada ili kuwawezesha wananchi kupata huduma hizo rasmi.
 
Aliitaka Wizara hiyo kuimarisha mifumo ya kuwalinda watumiaji wa huduma za fedha ili baadhi ya watoa huduma wasio waadilifu wasitumie changamoto ya uelewa mdogo wa baadhi ya wananchi kuhusu masuala ya fedha na kuwadhulumu.
 
Aidha, aliiagiza Ofisi ya Rais TAMISEMI kushirikiana na Wizara ya Fedha kukamilisha kwa haraka taratibu za utoaji wa mikopo ya asilimia10 ya halmashauri iliyokuwa imesitishwa.
 
Alitoa muda hadi kufikia Januari 24, 2024 taarifa zote ziwe zimewekwa kwenye mfumo ili wananchi waweze kukopeshwa katika halmashauri zote nchini.
 
“Kwa kuwa tulisitisha mwezi wa nne, naamini kila halmashauri inafedha za kutosha kwa ajili ya kuwakopesha wananchi ikiwemo wajasiriamali“, alibainisha Mhe. Majaliwa.
 
Kwa upande wake Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba alitoa rai kwa wananchi kufuata taratibu wakati wa kutoa na kupokea huduma mbalimbali za fedha ili kuwawezesha kujikwamua kiuchumi.
 
Aliziagiza Taasisi za Fedha hususani benki kuwaendeleza wateja wao hususan wafanyabiasha na wananchi kwa ujumla pale wanapoona wanashindwa kujiendeleza na kurejesha mikopo kwa wakati.
 
“Baadhi ya Taasisi zetu zikiwemo Benki pamoja na kazi nzuri wanazofanya lakini inapofika mteja wao analegalega, lile jukumu la kulea linawatoka kabisa. Yaani unakuta mtu ameshalipa robo tatu, amekwama kulipa robo tu, au ameshalipa asilimia 80 amekwama 20, wanachukua dhamana yake yenye thamani kubwa kuliko kile kilichobakia”, alibainisha Mhe. Nchemba.
 
Alisema taasisi hizo zinatakiwa kuwawezesha wateja wao kulipa mikopo ili waendelee kupata faida.
 
Akizungumzia maadhimisho hayo, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba alisema Wizara hiyo inaratibu maadhimisho hayo kwa kushirikiana na wadau wengine wa Sekta ya Fedha wakiwemo Wizara, Idara na Wakala wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Zanzibar, Taasisi za Fedha, Asasi zisizo za Serikali na Sekta Binafsi.
 
Alisema katika maadhimisho wananchi watapata elimu ya masuala ya fedha hususani katika maeneo ya usimamizi wa fedha binafsi, uwekaji wa akiba, mikopo, uwekezaji, bima, kodi na hatifungani. 
 
Dkt. Mwamba alisema elimu hiyo inalenga kuwafikia wadau wote ikiwemo watumishi wa umma, wanafunzi, wanawake, vijana, watu wenye mahitaji maalumu, wajasiriamali, asasi za kiraia, asasi za kidini, wanahabari na wananchi wote kwa ujumla.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb), akihutubia wananchi wa Arusha, waliohudhuria ufunguzi wa Maadhimisho ya Tatu ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yenye kaulimbiu “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Uchumi”, yanayofanyika katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Maonesho hayo yanawakutanisha Taasisi ndogo za Fedha, Benki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pamoja na wajasiriamali kutoka mkoa wa Arusha.
Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza wakati  akimkaribisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb), kufungua Maadhimisho ya Tatu ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yenye kaulimbiu “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Uchumi”, yanayofanyika katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha. Maonesho hayo yanawakutanisha Taasisi ndogo za Fedha, Benki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pamoja na wajasiriamali kutoka mkoa wa Arusha.
Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, akizungumza wakati wa hafla ya ufunguzi wa Maadhimisho ya Tatu ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yenye kaulimbiu “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Uchumi”, iliyofunguliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb), katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Arusha).

About the author

mzalendo