Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

betplay

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

Featured Kitaifa

ASILIMIA 11 YA AKINA MAMA NCHINI HUJIFUNGUA KABLA YA WAKATI KILA MWAKA

Written by mzalendo

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Dkt. Alphonce Chandika,akifafanua jambo kwa  waandishi wa habari na akina Mama waliohudhuria maadhimisho siku ya Kimataifa ya Mtoto Njiti ambayo huadhimishwa kila ifikapo tarehe 17 ya kila mwaka Duniani kote.

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Dkt. Alphonce Chandika,akizungumza na waandishi wa habari na akina Mama  leo Novemba 17,2023 jijini Dodoma waliohudhuria maadhimisho siku ya Kimataifa ya Mtoto Njiti ambayo huadhimishwa kila ifikapo tarehe 17 ya kila mwaka Duniani kote.

   

Sehemu ya Waandishi wa habari na Wakina Mama wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Dkt. Alphonce Chandika,wakati wa  maadhimisho siku ya Kimataifa ya Mtoto Njiti ambayo huadhimishwa kila ifikapo tarehe 17 ya kila mwaka Duniani kote.

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya watoto Benjamin Mkapa (BMH),Dkt Julieth Kabengula,akielezea sababu za wanawake kujifungua wataoto kabla ya wakati wa  maadhimisho siku ya Kimataifa ya Mtoto Njiti ambayo huadhimishwa kila ifikapo tarehe 17 ya kila mwaka Duniani kote.

Wakinamama ambao wamejifungia Watoto kabla ya siku kutimia (Njiti),wakitoa shukrani kwa   Madaktari kutoka BMH pamoja na Serikali kuendelea kuboresha huduma za afya katika hospitali.

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Dkt. Alphonce Chandika,akiwa katika Picha na Akina Mama wakati wa maadhimisho siku ya Kimataifa ya Mtoto Njiti ambayo huadhimishwa kila ifikapo tarehe 17 ya kila mwaka Duniani kote

Na.Alex Sonna-DODOMA

KILA ifikapo tarehe 17 ya kila mwaka Duniani kote huadhimisha siku ya Kimataifa ya Mtoto Njiti ambapo imeelezwa asilimia  11 akina Mama milioni mbili hapa nchini hujifungua watoto kabla ya wakati kwa mwaka.

Hayo yameelezwa leo Novemba 17,2023 jijini Dodoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Dkt. Alphonce Chandika wakati wa maadhimisho siku hiyo yaliyobeba kauli mbiu isemayo Vitendo Vidogo,Matokeo Makubwa.

Amesema sababu kubwa ni kutokana na lishe duni wanayopata wajawazito pamoja na kuwepo kwa ugonjwa wa Kisukari,Pressure na maradhi mengine.

”Kila mwaka takribani kinamama milioni mbili nchini hujifungua na kati yao laki mbili na ishirini asilimia 11% ya kinamama hao hujifungua kabla ya wakati (premature delivery).”amesema Dkt. Chandika

Amesema kuwa  zaidi 95% ya watoto hao waliendelea vizuri na kuruhusiwa kutoka hospitali kurudi nyumbani wakiwa na afya njema kama tunavyoona baadhi ya wazazi walioshiriki nasi.

“Niwataarifu kuwa  kati ya watoto 103 watoto walioruhusiwa katika hospital ya Benjamini mkapa ni 98 watoto hawa walizaliwa na umri wa wiki 26 na 27 kitaalamu mimba inayozaliwa wiki 28 inaangaliwa kama abortion, lakini sasa tunaona wanapona na kukua kama Watoto wengine,”.

Amesema kuwa Hospitali ya Benjamin Mkapa imeendelea kutoa huduma kwa watoto wachanga wakiwemo watoto waliozaliwa kabla ya wakati, idadi hii imeendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka ambapo mwaka 2021 tulihudumia watoto 25 waliozaliwa kabla ya wakati na 2023 watoto 108.

Katika hatua nyingine Dkt  Chandika amesema  wagonjwa ambao wamepata matibabu ya Moyo kwa njia ya kufungua kifua na kutokufungua wameruhusiwa na wanaendelea vizuri.

”BMH  inaendelea kutoa matibabu ya Moyo kwa wagonjwa huku akiwasisitiza jamii iendelee kujitokeza kupata matibabu ya ugonjwa wa Moyo katika hospital hiyo.”amesema

Kwa upande wake Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya watoto Benjamin Mkapa (BMH),Dkt Julieth Kabengula ametoa ushauri kwa jamii hususani wanawake kuandaa mwili kupokea mabadiliko ya ujauzito ili kuepuka kuzaa kabla ya wakati kutokana na changamoto mbalimbali.

“Tunaomba watu wajenge utaratibu wa kuandaa mwili kabla ya kupokea jambo ambalo litawasaidia kujua maradhi waliokuwa kabla ya kushika mimba,”amesema  Dkt Kabengula.

Nao wakinamama ambao wamejifungia Watoto kabla ya siku kutimia (Njiti),wamewashukuru   Madaktari kutoka BMH Hospital huku akiitaka jamii pale wanapoona wana matatizo kipindi cha ujauzito waende kwa wataalam kupata matibabu ili kujifungua salama.

Hospitali ya Benjamini Mpaka tangu kuanzishwa kwake imeendelea kutoa huduma mbalimbali ikiwemo kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa utumbo nje ambapo mpaka sasa watoto watano kati ya 15 waliowahi kulazwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu wameruhusiwa na kurudi nyumbani.

Siku ya watoto waliozaliwa kabla ya wakati ilianzishwa kwa nia ya kuelimisha kuhusu kujifungua watoto ambao bado hawajakomaa.

About the author

mzalendo