Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

maxwin, maxwin giriş

casibom

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

zirvebet giriş

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

betmarino

lordcasino

pusulabet, pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

pasacasino

interbahis

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

grandpashabet

jojobet

holiganbet

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

betsat

jojobet

tambet

ultrabet

jojobet

piabellacasino

setrabet

pulibet

jojobet

timebet

jojobet

kulisbet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet giriş

megabahis giriş

megabahis

mavibet

piabellacasino

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

mavibet giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

meritbet

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

grandpashabet

grandpashabet

jojobet

jojobet

jojobet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

İmajbet

betface

betface

piabellacasino giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casinoroyal giriş

perabet

meritking

betpark

vdcasino

Uncategorized

WAZIRI MKENDA ATAKA  VYUO VYA ELIMU YA JUU NA KATI NCHINI KUANDAA VIJANA KUWA NA UJUZI

Written by mzalendo

 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akipata maelezo  wakati akizindua Ufadhili wa masomo kwa Wanafunzi wa Kike wanaosoma Programu za Uhandisi katika sekta ya usafirishaji na kuweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa majengo matano ya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) yanayojengwa kupitia Mradi wa Kujenga Ujuzi na Ushirikiano wa Kikanda wa Afrika Mashariki ( EASTRIP) unaofadhili na Benki ya Dunia .

………………………

Serikali imevitaka vyuo vya elimu ya juu na kati nchini kuandaa vijana kuwa na ujuzi kwa ajili ya kushiriki katika soko la ajira la ndani ya nchi na kimataifa.

Wito huo umetolewa Oktoba 28, 2023 Jijini Dar es Salaam na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda wakati akizindua Ufadhili wa masomo kwa Wanafunzi wa Kike wanaosoma Programu za Uhandisi katika sekta ya usafirishaji na kuweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa majengo matano ya Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) yanayojengwa kupitia Mradi wa Kujenga Ujuzi na Ushirikiano wa Kikanda wa Afrika Mashariki ( EASTRIP) unaofadhili na Benki ya Dunia .

Prof. Mkenda amesema kuwa tatizo la ajira ni changamoto duniani kote, hivyo njia pekee ya kuwasaidia vijana kutoka katika changamoto hiyo ni kuhakikisha elimu inayotolewa inawaandaa na kuwawezesha kuwa mahiri ili kushiriki na kutafuta ajira popote duniani.

” Tatizo la ajira ni changamoto katika dunia kwa sasa, njia pekee ni kufundisha vijana wetu kuweza kutafuta fursa za ajira duniani na tusiwaandae kwa ajili ya soko la ajira la ndani tu, tunataka tukienda Congo, Malawi, Canada, Sweden kokote dunini tuwakute vijana wa kitanzania wanafanya kazi huko” amesisitiza Prof. Mkenda

Waziri Mkenda amesisitiza kuwa ni lazima elimu inayotolewa iwe na viwango vya kimataifa na kuwataka viongozi wa taasisi za elimu kuhakikisha zinapeleka wakufunzi wengi zaidi kupata uzoefu, maarifa na stadi kutoka duniani kote ili wanaporudi waweze kutoa mafunzo bora kwa vijana.

Aidha, ameongeza kuwa sasa umefika wakati wa vyuo kuanza kutoa zaidi Stashahada na kwamba katika kuhakikisha hili linafanikiwa serikali imeanza kutoa mikopo kwa wanafunzi wanaosoma stashahada ili kuongeza idadi ya vijana wenye ujuzi na stadi zinazohitajika katika soko la ajira.

“Stashahada ni muhimu sana , hapo nyuma zilipotea kwa kuwa hakukuwa na mikopo hivyo vyuo vyote vilibadilika na kuanza kutoa shahada , sasa habari njema ni kwamba Serikali ya Awamu ya Sita imeanza kutoa mikopo kwa wanafunzi wa Stashahada ili kuwezesha vyuo vingi zaidi kutoa programu za stashahada” amesema Prof. Mkenda.

Waziri huyo amekipongeza Chuo cha NIT kwa kutoa mafunzo ya masuala ya anga ikiwemo kozi za urubani ambapo amesema itasaidia katika kuwezesha vijana wa kitanzania kupata mafunzo hayo kwa gharama nafuu kwani mafunzo hayo yanatolewa kwa gharama kubwa katika nchi nyingine hivyo inakuwa ngumu kwa kijana anayetoka katika familia isiyokuwa na uwezo kupata mafunzo hayo hata kama ana uwezo wa akili.

Mhandisi Prof. Mganilwa ameongeza kuwa mbali ya kuanzishwa kwa kituo cha Umahiri pia kimeanza kutoa Ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wa kike hasa wanaotoka katika mazingira magumu na wale wenye ufaulu wa juu katika masomo kuanzia ngazi ya stashahada hadi Uzamili.

Naye Mmoja wa wanufaika wa ufadhili huo Zawadi Kamote ameishukuru Serikali kupitia chuo hicho kwa kupata ufadhili huo na kwamba ataweka bidii ili kupata matokeo ambayo yatamwezesha kushiriki katika kujenga uchumi wa Taifa, huku akiwataka watoto wa kike kusoma kwa bidii kwani serikali inatoa fursa nyingi za kusaidia watoto wa kike kujiendeleza kiuchumi.

 

About the author

mzalendo