Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

timebet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

matbet

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

nerobet

betcup

casinofast giris

matbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

tarafbet

meritbet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

ultrabet

mavibet

mavibet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

matbet giriş

betlike giriş

mavibet giriş

matbet güncel giriş

mavibet

mavibet

matbet giriş

matbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

Featured Kitaifa

MAKONDA AKABIDHIWA OFISI,ATUMA SALAM KWA MAWAZIRI NA WAKUU WA MIKOA

Written by mzalendo

Na Sophia Kingimali

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema Chama hakitasita kuwachukulia hatua mawaziri, Wakuu wa Mikoa pamoja na watendaji watakaoshindwa kufanya majukumu yao.

Makonda ameyasema hayo Leo octoba 26 mara baada ya kukabidhiwa Ofisi na kuzungumza na wananchi waliofika kumlaki katika ofisi ndogo za Chama, Lumumba jijini Dar es Salaam.

“Naomba kutuma salamu kwa Mawaziri wote, Wakuu wa Mikoa, watendaji wote pale patakapobainika hawajafanya kazi yao kikamilifu chama hakitasita kuchukua hatua, bahati nzuri tunafahamiana,”amesema.
 
Amesema hatakua tayari kuwa Msemaji wa chama ambacho kimepewa dhamana na wananchi na wanaomsaidia Mwenyekiti wa Chama wanaoshindwa kutekeleza asimame hadharani kusema uongo.
 
“Kila kiongozi wa Serikali atabeba msalama wake mwenyewe, sijahifadhiwa miaka mitatu na miezi mitatu kusema uongo, sijateuliwa na CCM kusema uongo na kiapo chetu kipo wazi fitina, uongo uzushi si sehemu ya CCM,”amesema.
 
Amesema haki huinua taifa, chama kimepewa dhamana na wananchi na chama kuunda serikali hivyo kiongozi yeyote atakayebainika na chama kujiridhisha, kitachukua hatua bila kusubiri.
 
“Taifa hili halina upinzani haina chama cha upinzani, bali ina watoa taarifa waliojikusanya katika jina la vyama.
 
“Ukimuona Tundu Lisu anaongea sio Chama ni mtu tu anatoa taarifa na wakati mwingine taarifa anayoweza kuitoa inawezekana ikatoka kwenye chanzo ambayo si cha ukweli au si cha uhakika,”amesema.
 
Amesema kutokana na kuwa ni mtoa taarifa kazi ya Chama, kusikiliza taarifa zao na kushughulika aliyesababisha taarifa kutoka na kwamba watazifanyia kazi taarifa hizo kwasababu ni chachu ya ujenzi wa maendeleo katika taifa.
 
“Mbowe karuka akasema ya kusema, juzi nimemuona Songwe hana helkopta naomba nawaelekeza wanaoshughulika na vibali mbowe apewe vibali aruke na helkopta na kama hana mafuta, nimezungumza na Samia amesema atamchangia.
 
“Akiruka angani tutamfuata, atapigwa kila kona kwasababu moja tu hoja na uwezo na utekelezaji wa chama cha mapinduzi hauna shaka kama kuna mtu anamcheleweshea mbowe kibali, cha kutumia helkopta nikiwa Msemaji apewe kibali,”amesema.
 
Makonda ameliomba Jeshi la Polisi kutoa vibali vya mikutano wawaachie mikutano ya hadhara na kwamba wasihangaike nao kwasababu safu ya Rais Samia miekamilika.
 
“Rais Samia ameendelea kutoa elimu bure, kujenga barabara, afya, viwanja vya ndege kuthamini na kulinda utu wa mtanzania hatuna sababu ya kutegemea polisi, au kuhusu polisi ndiyo msaada wa CCM hoja tunazo,”amesema.
 
Ameongeza kuwa “Taifa linajengwa na upendo, ukiwa unampenda ndugu yako hutamsema na kumsingizia, ukimpenda mwanachama mwenzako hutamfanyia hila, niwaombe wanachama wa CCM tukajenge upendo katikati yetu,”Makonda.
 
Amesema iwe jua au mvua Chama cha Mapinduzi ndiyo baba lao ambapo akiwa msemaji kwa Chama cha pili kwa ukubwa duniani, Sauti ya wanyonge itasikika.

“Dkt Samia ana R zake nne moja anazungumzia mariodhiano, tangu niteuliwe nimepata nafasi ya kupita kwenye mitandao kusoma baadhi ya maoni ya watu wengi wakihamaki….wanaohamaki wengi wao wanawaza tu Makonda atakwenda kulipa kisasi, wanawaza makonda atakwenda kufanya nini na wengine wakiwataja watu wengine , usiyemtaka kaja, wengine wanasema tumejifunza nini kwenye jambo la Makonda. 
 
“Naomba niseme, mimi sina kisasi kwa mtu yeyote na asiwepo mtu yeyote yule akafikiri lengo langu ni kumkandamiza wakati huu nitajitutumua nitaonesha mabavu dhidi ya wale waliofikiri wamenitenda mabaya la hasha,”amesema.
 
Amesema wanaohisi kwamba kuna jambo halikuwa sawa anaelewa Mungu aliwatumia kumsaidia kumjua Mungu zaidi, kumfanya kuwa mnyenyekevu na kumuandaa kwa kazi kubwa zaidi.
 
“Msiwe na hofu kwangu ninyi wote ni watumishi wa Mungu, Naomba ushirikiano wenu, umoja wen una wala Dkt Samia hajaniteua kuja kuhangaika na mambo ya Makonda  ameniteua kuhangaika na itikadi uenezi wa CCM,”amesema Makonda.
 
Amesema Kamati Kuu haijakaa kwenye kikao kumtafuta mtu wa kulipa kisasi bali kumtafuta mtu wa kujenga nguvu na kujenga Imani ya Watanzania kwenye chama cha mapinduzi.
Makonda amesema CCM ni sikio na sauti ya wananchi ambapo kazi yake kubwa ni kusikiliza kwa niaba ya serikali na kusema kwa niaba ya wananchi pindi wanapokuwa na matatizo na kuyasema kwa serikali.
 
Awali Makonda amesema anatarajia kupata taarifa sahihi ili iweze kufanya kazi ya kumsaidia Katibu, Makamu, na Mwenyekiti wa Chama ili kuimarisha na kukijenga chama.
 
Akizungumza kabla ya kumkabidhi ofisi, aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Sophia Mjema amesema anamkabidhi ofisi ili aendelee na kuhakikisha CCM inakwenda kushinda.
 
Mjema ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais Idara ya wanawake na makundi maalum, amesema CCM inamtegemea na kwamba ndiyo moyo ya Chama hicho.     

About the author

mzalendo