slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

betgar, betgar giriş

betorbet, betorbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

holiganbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

meritbet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

perabet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

madridbet

holiganbet giriş

jojobet giriş

trust score weak 3

marsbahis

bets10 giriş

slot siteleri

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

kulisbet, kulisbet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

royalbet

Goldenbahis

taraftarium24

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

marsbahis

vdcasino

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

Featured Kitaifa

MAKONDA AKABIDHIWA OFISI,ATUMA SALAM KWA MAWAZIRI NA WAKUU WA MIKOA

Written by mzalendo

Na Sophia Kingimali

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema Chama hakitasita kuwachukulia hatua mawaziri, Wakuu wa Mikoa pamoja na watendaji watakaoshindwa kufanya majukumu yao.

Makonda ameyasema hayo Leo octoba 26 mara baada ya kukabidhiwa Ofisi na kuzungumza na wananchi waliofika kumlaki katika ofisi ndogo za Chama, Lumumba jijini Dar es Salaam.

“Naomba kutuma salamu kwa Mawaziri wote, Wakuu wa Mikoa, watendaji wote pale patakapobainika hawajafanya kazi yao kikamilifu chama hakitasita kuchukua hatua, bahati nzuri tunafahamiana,”amesema.
 
Amesema hatakua tayari kuwa Msemaji wa chama ambacho kimepewa dhamana na wananchi na wanaomsaidia Mwenyekiti wa Chama wanaoshindwa kutekeleza asimame hadharani kusema uongo.
 
“Kila kiongozi wa Serikali atabeba msalama wake mwenyewe, sijahifadhiwa miaka mitatu na miezi mitatu kusema uongo, sijateuliwa na CCM kusema uongo na kiapo chetu kipo wazi fitina, uongo uzushi si sehemu ya CCM,”amesema.
 
Amesema haki huinua taifa, chama kimepewa dhamana na wananchi na chama kuunda serikali hivyo kiongozi yeyote atakayebainika na chama kujiridhisha, kitachukua hatua bila kusubiri.
 
“Taifa hili halina upinzani haina chama cha upinzani, bali ina watoa taarifa waliojikusanya katika jina la vyama.
 
“Ukimuona Tundu Lisu anaongea sio Chama ni mtu tu anatoa taarifa na wakati mwingine taarifa anayoweza kuitoa inawezekana ikatoka kwenye chanzo ambayo si cha ukweli au si cha uhakika,”amesema.
 
Amesema kutokana na kuwa ni mtoa taarifa kazi ya Chama, kusikiliza taarifa zao na kushughulika aliyesababisha taarifa kutoka na kwamba watazifanyia kazi taarifa hizo kwasababu ni chachu ya ujenzi wa maendeleo katika taifa.
 
“Mbowe karuka akasema ya kusema, juzi nimemuona Songwe hana helkopta naomba nawaelekeza wanaoshughulika na vibali mbowe apewe vibali aruke na helkopta na kama hana mafuta, nimezungumza na Samia amesema atamchangia.
 
“Akiruka angani tutamfuata, atapigwa kila kona kwasababu moja tu hoja na uwezo na utekelezaji wa chama cha mapinduzi hauna shaka kama kuna mtu anamcheleweshea mbowe kibali, cha kutumia helkopta nikiwa Msemaji apewe kibali,”amesema.
 
Makonda ameliomba Jeshi la Polisi kutoa vibali vya mikutano wawaachie mikutano ya hadhara na kwamba wasihangaike nao kwasababu safu ya Rais Samia miekamilika.
 
“Rais Samia ameendelea kutoa elimu bure, kujenga barabara, afya, viwanja vya ndege kuthamini na kulinda utu wa mtanzania hatuna sababu ya kutegemea polisi, au kuhusu polisi ndiyo msaada wa CCM hoja tunazo,”amesema.
 
Ameongeza kuwa “Taifa linajengwa na upendo, ukiwa unampenda ndugu yako hutamsema na kumsingizia, ukimpenda mwanachama mwenzako hutamfanyia hila, niwaombe wanachama wa CCM tukajenge upendo katikati yetu,”Makonda.
 
Amesema iwe jua au mvua Chama cha Mapinduzi ndiyo baba lao ambapo akiwa msemaji kwa Chama cha pili kwa ukubwa duniani, Sauti ya wanyonge itasikika.

“Dkt Samia ana R zake nne moja anazungumzia mariodhiano, tangu niteuliwe nimepata nafasi ya kupita kwenye mitandao kusoma baadhi ya maoni ya watu wengi wakihamaki….wanaohamaki wengi wao wanawaza tu Makonda atakwenda kulipa kisasi, wanawaza makonda atakwenda kufanya nini na wengine wakiwataja watu wengine , usiyemtaka kaja, wengine wanasema tumejifunza nini kwenye jambo la Makonda. 
 
“Naomba niseme, mimi sina kisasi kwa mtu yeyote na asiwepo mtu yeyote yule akafikiri lengo langu ni kumkandamiza wakati huu nitajitutumua nitaonesha mabavu dhidi ya wale waliofikiri wamenitenda mabaya la hasha,”amesema.
 
Amesema wanaohisi kwamba kuna jambo halikuwa sawa anaelewa Mungu aliwatumia kumsaidia kumjua Mungu zaidi, kumfanya kuwa mnyenyekevu na kumuandaa kwa kazi kubwa zaidi.
 
“Msiwe na hofu kwangu ninyi wote ni watumishi wa Mungu, Naomba ushirikiano wenu, umoja wen una wala Dkt Samia hajaniteua kuja kuhangaika na mambo ya Makonda  ameniteua kuhangaika na itikadi uenezi wa CCM,”amesema Makonda.
 
Amesema Kamati Kuu haijakaa kwenye kikao kumtafuta mtu wa kulipa kisasi bali kumtafuta mtu wa kujenga nguvu na kujenga Imani ya Watanzania kwenye chama cha mapinduzi.
Makonda amesema CCM ni sikio na sauti ya wananchi ambapo kazi yake kubwa ni kusikiliza kwa niaba ya serikali na kusema kwa niaba ya wananchi pindi wanapokuwa na matatizo na kuyasema kwa serikali.
 
Awali Makonda amesema anatarajia kupata taarifa sahihi ili iweze kufanya kazi ya kumsaidia Katibu, Makamu, na Mwenyekiti wa Chama ili kuimarisha na kukijenga chama.
 
Akizungumza kabla ya kumkabidhi ofisi, aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Sophia Mjema amesema anamkabidhi ofisi ili aendelee na kuhakikisha CCM inakwenda kushinda.
 
Mjema ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais Idara ya wanawake na makundi maalum, amesema CCM inamtegemea na kwamba ndiyo moyo ya Chama hicho.     

About the author

mzalendo