Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

timebet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

avrupabet, avrupabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

betpas

betcup

casinofast giris

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet giriş

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

radissonbet

meritbet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

ultrabet

mavibet

kavbet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

cratosroyalbet giriş

betlike giriş

kavbet giriş

cratosroyalbet

mavibet

mavibet

artemisbet giriş

imajbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

imajbet

betface

betface

imajbet giriş

Featured Kitaifa

HPSS YAKABIDHI KITUO CHA UREKEBISHAJI NA MAFUNZO YA VIFAA TIBA HOSPITALI YA TAIFA YA AFYA YA AKILI MIREMBE

Written by mzalendo

Mkurugenzi wa Mafunzo na Rasilimali watu wa Wizara ya Afya, Dkt. Saitore Laizer,akikata utepe kuashiria uzinduzi wa  kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Mafunzo na Rasilimali watu wa Wizara ya Afya, Dkt. Saitore Laizer,akizungumza  wakati wa hafla ya kupokea kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Mafunzo na Rasilimali watu wa Wizara ya Afya, Dkt. Saitore Laizer,akifafanua jambo   wakati wa hafla ya kupokea kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Mafunzo na Rasilimali watu wa Wizara ya Afya, Dkt. Saitore Laizer,akisisitiza jambo kwa watumishi wa Afya  wakati wa hafla ya kupokea kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Meneja wa Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya,Bw. Ally Kebbyakitoa taarifa ya ukarabati na uwekaji wa Vifaa,Computer na Samani za Ofisi  wakati wa hafla ya kukabidhi kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Kaimu Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Magonjwa na Vifaa Tiba Wizara ya Afya Angela Godfrey,akielezea mikakati ya Serikali katika Kuimarisha huduma za Ufundi katika Sekta ya Afya  wakati wa hafla ya kupokea kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Mkuu wa Kitengo cha Huduma ya Ufundi-MoH Mhandisi Suniva Haule,akizungumzia Muundo,Mawanda na lengo la kituo cha urekebishaji na mafunzo wakati wa hafla ya kupokea kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya Akili Mirembe Dkt. Paul Lawale,akizungumza  wakati wa hafla ya kupokea kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Mkurugenzi wa Mafunzo na Rasilimali watu wa Wizara ya Afya, Dkt. Saitore Laizer (hayupo pichani),akizungumza  wakati wa hafla ya kupokea kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Mafunzo na Rasilimali watu wa Wizara ya Afya, Dkt. Saitore Laizer,akikagua vifaa mbalimbali  wakati wa hafla ya kupokea kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Mafunzo na Rasilimali watu wa Wizara ya Afya, Dkt. Saitore Laizer,akikata utepe kuashiria uzinduzi wa  kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Mafunzo na Rasilimali watu wa Wizara ya Afya, Dkt. Saitore Laizer,akiwakatika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua  kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi hafla iliyofanyika leo Oktoba 26,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WIZARA ya Afya  imeanza  Mkakati wa kuhakikisha inaimarisha sekta ya afya kwa kuanzisha karakana maalumu ya kurekebisha vifa tiba vinavyonunuliwa na Serikali katika vituo vya afya na hospitali hapa nchini.

Hayo yamesemwa jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Mafunzo na Rasilimali watu wa Wizara ya Afya, Dkt. Saitore Laizer wakati wa hafla ya kupokea kituo cha urekebishaji (calibration) na Mafunzo ya Vifaa Tiba kilichojengwa katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe kupitia mradi wa HPSS Tuimarishe Afya unaofadhiliwa na Serikali ya Uswisi.

Dkt.Laizer amewataka wataalamu katika Hospitali hiyo kuendelea kukitunza kituo na vifaa vyake ili kutumika kwa malengo yaliyokusudiwa.

“Wizara tunawataka kuhakikisha kituo hiki kiwe kikubwa na uwezo mkubwa kuliko leo na sio kupunguza malengo yake,”amesema Dkt.Laizer

Aidha amesema kuwa watanzania wengi hawajui baadhi ya taaluma zenye mashiko ikiwamo uhandisi wa vifaa tiba ambapo kwa hapa nchini ni eneo kubwa la kipaumbele.

Dkt.Laizer ametoa wito kwa wanafunzi wanaomaliza kwenye shule za sekondari wenye sifa wachangamkie kusoma katika taaluma hii ya uhandisi vifaa tiba

“Kituo hichi bila wataalamu wa kutosha hakitafanya kazi kwa ufanisi unaotarajiwa, hivyo ufanyike utaratibu ndani ya mwezi mmoja wapatikane watu wa kuja kufundisha watumishi wengine,”amesema

Kwa upande wake Meneja wa Mradi wa HPSS Tuimarishe Afya,Bw. Ally Kebby, amesema mradi umechangia Sh.Milioni 300 kwenye uanzishaji wa kituo hicho ambapo zimetumika kwenye ujenzi, ununuzi wa vifaa na komputa ili kufanya kazi kisasa.

“Kituo hichi ni cha kipekee katika kutoa huduma za ufundi kwenye eneo la afya na kinaweza kuwa cha tatu kusini mwa Jangwa la Sahara si jambo maarufu kwenye nchi zetu kutokana na kuwa na changamoto zake katika uanzishwaji inahitaji vifaa, utaalamu lakini sisi Tanzania maono yetu yametuelekeza tuwe na kituo cha namna hii,”amesema Bw. Kebby

Hata hivyo ameongeza  kuwa miaka nane ya awali ya utekelezaji wa mradi huo walianza kwa kusaidia masuala ya menejimenti na ukarabati wa vifaa tiba kutokana na kutokuwapo na ufanisi kwenye eneo hilo.

“Watumishi waliokuwepo wakati wa kutekeleza mradi walikuwa 14 nchi nzima wa uhandisi wa vifaa tiba, tulipofika mwaka wa tisa wa utekelezaji wa mradi tulikaa na Wizara ya Afya kuainisha mahitaji ambayo yatakuwa ya msaada na uhitaji wa kituo hichi ulianishwa na tulikaa kwa pamoja na kufanya usanifu,”amesema

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Uchunguzi wa Magonjwa na Vifaa Tiba Wizara ya Afya Angela Godfrey,amesema kuwa lengo la kuanzisha karakana hiyo ni kuweka vifaa katika ubora.

About the author

mzalendo