Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

gameofbet

matbet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

jojobet

Featured Kitaifa

DAKTARI ATAJA MBINU YA KULINDA MACHO KWA WANAOTUMIA ‘KOMPYUTA’ MUDA MREFU

Written by Alex Sonna

 

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando, Dk Fabian Massaga akizungumza na wananchi (hawapo pichani) waliofika katika maadhimisho ya Siku ya macho Duniani yaliyofanyika kikanda katika Hospitali ya Bugando jijini Mwanza.
Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando, Dk Fabian Massaga akizungumza na wananchi (hawapo pichani) waliofika katika maadhimisho ya Siku ya macho Duniani yaliyofanyika kikanda katika Hospitali ya Bugando jijini Mwanza.
Mkuu wa Idara ya Macho Bugando, Dk Christopher Mwanansao akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Macho duniani yaliyofanyika kikanda katika viwanja vya hospitali ya Bugando jijini Mwanza.
Mkuu wa Idara ya Macho Bugando, Dk Christopher Mwanansao akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Macho duniani yaliyofanyika kikanda katika viwanja vya hospitali ya Bugando jijini Mwanza.

 

**

Mwanza. Maendeleo ya Sayansi na Teknolojia yamechangia ongezeko la watu wanaotegemea vifaa ikiwemo Kompyuta na Simu katika shughuli za uzalishaji.

Kutokana na matumizi ya kupindukia ya vifaa hivyo, baadhi ya watumiaji wamejikuta wakipata madhara ikiwemo kupata maradhi ya macho huku wengine wakipata upofu kutokana na macho kuathirika kwa muda mrefu.

 

Kutokana na uwepo wa changamoto hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando, Dk Fabian Massaga ametaja mbinu ya ’20-20-20′ kuwa inaweza kutumika kulinda afya ya macho kwa wanaotumia vifaa ikiwemo simu na Kompyuta kwa muda mrefu.

 

Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya macho duniani iliyofanyika leo Bugando, Dk Massaga ametoa tafsiri ya mbinu hiyo kuwa ni mtumiaji wa Kompyuta kufuata sheria ya 20-20-20 ambayo inamtaka mlengwa kila baada ya dakika 20 kutazama umbali wa futi 20 kwa sekunde 20.

 

“Kufanya hivyo kwa kujirudia rudia kunawezesha mishipa ya macho ipumzike na kurejea katika hali yake ya asili. Lakini usipofanya hivyo unajitengenezea uwezekano mkubwa wa kuugua macho yako,” amesema Dk Massaga.

 

Katika hatua nyingine Dk Massaga ametaja visababishi 10 vinavyochangia maradhi ya macho ikiwemo uvutaji sigara na matumizi ya kompyuta bila tahadhari.

Sababu nyingine ni matumizi ya vipodozi vilivyoisha muda wake, miwani ya kusomea bila kushauriwa ama kuthibitishwa na watalaam, kutokula chakula bora kinachosaidia kurutubisha afya ya macho, kutofanya mazoezi na kutobadilisha blashi za kusafishia uso.

Pia kutokuwa na utamaduni wa kupima macho na watoto kutopata muda wa kucheza nje kuwasaidia kuona mbali na badala yake kushinda ndani wakichezea simu za wazazi wao na kutazama runinga.

“Wananchi chukueni tahahari mbalimbali za kukinga macho yasiathiriwe hasa mnapokuwa kwenye shughuli za uzalishaji viwandani, migodini, kilimo, uvuvi, maofisini na uchomeleaji vyuma kwani zimekuwa na madhara ya moja kwa moja kwenye afya ya macho,” amesisitiza.

“Hata watoto wadogo waruhusiwe kushiriki michezo ya nje kunawapa nafasi ya kuona mbali na siyo karibu tu, vaeni miwani ya kukinga miale ya jua na wanaohitaji miwani ya kusomea na kutembelea wavae iliyopimwa na wataalam na kuthibitishwa,” amesema Dk Masanga na kuongeza;

“Wanaotumia vipodozi angalieni muda wake wa matumizi na kumbuka kubadilisha brashi kila mara, tufanye mazoezi kupunguza uwezekano wa kupata magonjwa yanayoweza kuathiri macho, tule mlo kamili wenye kurutubisha afya ya macho, usivute sigara kwani tafiti zinaonyesha sigara huchangia kuleta magonjwa mbalimbali yakiwamo ya macho, na pima macho yako mara kwa mara hata kama unaona hayana tatizo,”

Awali, akiwasilisha taarifa ya ukubwa wa tatizo la macho hospitalini hapo, Mkuu wa Idara ya Macho Bugando, Dk Christopher Mwanansao, amesema watu 2,500 hutibiwa matatizo ya macho hospitalini hapo kila mwezi

Amesema kupitia wiki ya maadhimisho hayo wamewafanyia upasuaji wagonjwa 32 wenye tatizo la mtoto wa jicho, kutoa ushauri, elimu na vipimo vya shinikizo la macho, miwani ya kusomea na kuwatembelea wafanyakazi katika migodi ya uchimbaji madini mkoani Geita.

“Tumewatembelea na wafanyakazi wa viwanda vya vinywaji Mwanza na Shinyanga. Mnapopata changamoto yoyote ya macho msijitibu nyumbani, fikeni hospitalini mara moja kupata huduma za kitaalam kuliko kukimbilia kwenye maduka ya dawa ambako huwa hawapati huduma sahihi,” amesema

Kwa upande wake Mkazi wa Bariadi mkoani Simiyu, Suzana Steven, amesema amefika hospitali hapo kupata huduma ya uchunguzi baada ya kusumbuliwa na tatizo la huoni hafifu kwa miaka mitatu baada ya kufanya kazi ya katibu muhtasi, huku akishauri wananchi kufuata elimu inayotolewa na wataalam hao kuepuka changamoto za kupata upofu.

 

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando, Dk Fabian Massaga (suti nyeusi) akisalimiana na wananchi waliofika katika maadhimisho ya Kimataifa ya Siku ya macho duniani yaliyofanyika hospitalini hapo leo Oktoba 12,2023. Aliyesimama kulia ni Mkuu wa Idara ya Macho Bugando, Dk Christopher Mwanansao.
Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando, Dk Fabian Massaga (suti nyeusi) akisalimiana na wananchi waliofika katika maadhimisho ya Kimataifa ya Siku ya macho duniani yaliyofanyika hospitalini hapo leo Oktoba 12,2023. Aliyesimama kulia ni Mkuu wa Idara ya Macho Bugando, Dk Christopher Mwanansao.
Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando, Dk Fabian Massaga (suti nyeusi katikati) akipiga picha ya pamoja na wafanyakazi wa Bugando na watumishi wa Idara ya Macho Bugando baada ya maadhimisho ya Siku ya Macho yaliyofanyika kikanda katika viwanja vya hospitali hiyo.

About the author

Alex Sonna