marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

DKT.BITEKO AAGIZA MATUMIZI SAHIHI YA FEDHA ZA SERIKALI

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt.Doto Biteko akizungumza na wananchi mara baada ya kuwasili katika Jimbo la Bukombe mkoani Geita tarehe 24 Septemba, 2023 kwa ajili ya ziara ya kikazi.

Wananchi wa Jimbo la Bukombe wakimsikiliza  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt.Doto Biteko mara baada ya kuwasili katika Jimbo la Bukombe mkoani Geita tarehe 24 Septemba, 2023 kwa ajili ya ziara ya kikazi.

…….

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo
la Bukombe, Dkt. Doto Biteko ameanza ziara ya kikazi katika jimbo hilo
lililoko mkoani Geita ikiwa ni ziara ya kwanza kufanyika  kutoka
ateuliwe na kuapishwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu
Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.

Mara baada ya kuwasili katika Jimbo hilo tarehe 24 Septemba, 2023,
Dkt.Biteko alipokelewa na wananchi wa Jimbo hilo pamoja na viongozi
mbalimbali katika Wilaya Bukombe na Mkoa wa Geita.

Akizugumza  katika Mkutano wa hadhara, Dkt.Biteko amemshukuru Rais,
Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kuona kuwa anaweza kumsaidia
katika majukumu aliyokabidhiwa na kuahidi kuwa, atatekeleza majukumu
yake kwa ufanisi katika kuwatumikia wananchi ili kuitendea haki imani
iliyooneshwa kwake.

Amesema kuwa, chini ya uongozi wa Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan kila
kitu kilichopangwa kufanyika  kinaendelea kufanyika kutokana fedha
anazotoa katika  miradi ya sekta mbalimbali ikiwemo mradi wa umeme wa
Julius Nyerere (MW 2115), ujenzi wa Daraja wa Busisi, ununuzi wa
ndege, madarasa, vituo vya afya, utalii n.k.

Kutokana na hilo, Dkt. Biteko amewataka watendaji na watumishi nchini
kusimamia matumizi sahihi ya fedha za Serikali kwani fedha hizo ndizo
zinategemewa na watanzania katika kuwaletea maendeleo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, viongozi wa Mkoa wa Geita
wamemshukuru Rais,  Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini Dkt.Doto
Biteko katika nafasi hiyo kubwa na adhimu na kwamba wana imani kuwa
ataitendea haki nafasi hiyo kutokana na historia yake ya uchapakazi na
uadilifu.

Viongozi hao wakiwemo Wabunge na Wakuu wa Wilaya katika Mkoa wa Geita
wamemshukuru Rais.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa miradi
mbalimbali ikiwemo ujenzi wa barabara wilayani Chato, ujenzi wa Chuo
cha VETA wilayani Nyang’hwale na upelekaji umeme vijijini katika
vijiji vya Mkoa huo.

Kwa upande wake, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesifu juhudi
zilizofanywa na Dkt.Biteko wakati akihudumu kama Waziri wa Madini  na
kueleleza kuwa amesaidia kuinua mchango sekta ya madini katika uchumi
wa nchi na ameahidi kuwa ataendeleza misingi hiyo mizuri ikiwemo ya
kufanya utafiti wa madini katika eneo lote la nchi ili wachimbaji
wachimbe madini kwa uhakika na hivyo kuongeza mapato ya nchi.

Aidha, ameendelea kusisitiza kuwa, hatalifanyia mzaha suala la
utoroshaji wa  madini nchini na kwamba wote watakaotorosha madini
watachukuliwa hatua za kisheria kwani wanakosesha nchi mapato.

kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela amemshukuru
Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za kugharamia miradi
mbalimbali ya maendeleo na huduma za kijamii ikiwemo shule, hospitali
na umeme katika Mkoa Geita.

About the author

Alex Sonna