marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

imajbet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

Marsbahis

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

deneme bonusu

holiganbet

holiganbet

deneme bonus veren siteler

holiganbet

deneme bonusu

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

supertotobet giriş

ultrabet

pusulabet

grandpashabet giriş

jojobet

casibom

marsbahis

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

vaycasino

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

kralbet

imajbet

jojobet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

zirvebet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

ligobet giriş

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

milanobet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

romabet

kralbet

ligobet

bets10 güncel giriş adresi

bets10

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

casibom

Featured Kitaifa

WAZIRI SIMBACHAWENE ATAKA WAAJIRI NCHINI KUSIMAMIA MAADILI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI WA UMMA

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,akizungumza wakati akifungua  kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene  amewataka waajiri nchini kuhakikisha wanasimamia na kuimarisha uzingatiaji wa maadili ya viongozi wa umma na watumishi wa Umma.

Hayo  ameyasema hayo leo Septemba 21,2023 jijini Dodoma wakati akifungua  kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora Waziri Simbachawene amesema Ofisi yake itaendelea kushirikiana na Mamlaka simamizi za maadili ya kitaaluma kutoa ushauri wa kitaalamu pale itakapohitajika

“Kikao hiki cha wadau katika usimamizi wa maadili ni kikao muhimu kinachosaidia nchi katika kuimarisha usimamizi wa rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma. Hivyo, nichukue fursa hii kuwataka waajiri nchini kuhakikisha wanasimamia na kuimarisha uzingatiaji wa Maadili ya Viongozi wa Umma na Watumishi wa Umma,”amesema Waziri Simbachawene.

Pia,Wadau wa Maadili ikiwemo Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma kuendelea kushirikiana na OR- MUUUB kujenga uelewa wa Miongozo mipya ya usimamizi wa maadili kwa watumishi iliyotolewa na ofisi hii.

“Mamlaka za nidhamu kuendelea kufuatilia na kuchukua kwa wakati hatua stahiki dhidi ya vitendo vya ukiukwaji wa Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma,”amesema Waziri Simbachawene.

Vilevile,kufanya tathmini ya utekelezaji wa Maazimio na Mpango Kazi wa Kikao kilichopita ili kubaini mafanikio na changamoto zilijitokeza katika utekelezaji wa maazimio hayo na kuja na mapendekezo ambayo yatasaidia Serikali kuimarisha uadilifu katika Utumishi wa Umma.

“Kuhimiza matumizi ya Serikali Mtandao ambayo imeonesha mafanikio makubwa katika kudhibiti vitendo vya uvunjifu wa Maadili katika Utumishi wa Umma,”amesema Waziri Simbachawene.

Waziri Simbachawene amesema  malengo mahsusi ya kikao kazi hicho  ni kubadilishana uzoefu na taarifa zinazojumuisha mafanikio na changamoto za usimamizi wa maadili katika Utumishi wa Umma.

Pia,kubuni na kuweka mikakati ya kuimarisha Maadili ya Utumishi wa Umma na kitaaluma kama sehemu ya kutatua changamoto.

“Natoa rai kwenu, kwamba mikakati hiyo iandaliwe kwa lengo la kukuza Uwajibikaji na Usikivu wa Umma kama moja ya msingi wa Utawala Bora.

Amesema wajibu wa kusimamia Maadili ya Watumishi wa Umma na Utawala Bora katika Utumishi wa Umma ni suala mtambuka ambalo liko chini ya Ofisi ya Rais,Utumishi na Utawala Bora kwa kusaidiana na Taasisi Simamizi za Maadili na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma.

“Hivyo, kwa kuzingatia dhamana mliyopewa katika kusimamia Maadili, mnapaswa kuendelea kushirikiana na kuwekeza katika mikakati ambayo itachangia kukuza Uwajibikaji na Usikivu wa watoa huduma kwa wananchi hususani katika maeneo yanayoigusa jamii moja kwa moja au kulalamikiwa mara kwa mara,”amesema Waziri Simbachawene.

Ameyataja maeneo hayo ni pamoja na sekta ya afya, elimu, ujenzi, ardhi, manunuzi na ugavi.  

Amesema Azma ya Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuona  Utumishi wa Umma wenye usikivu na uwajibikaji wa hiari kwa ustawi kwa wananchi wa Tanzania.

“Hivyo, ili kuendana na maono hayo ya Mhe. Rais, Ofisi yangu imekuwa ikitumia njia mbalimbali ikiwemo kuweka mifumo ya uwajibikaji na kuzishirikisha Taasisi Simamizi za Maadili na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma katika ukuzaji na ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Maadili katika Utumishi wa Umma.

Amesema ushirikiano huo, unaiwezesha Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kufahamu hali halisi ya uadilifu katika Utumishi wa Umma na kuchukua hatua stahiki.

Amesema Matarajio hayo yatafikiwa iwapo  ushikiano  utatafsiriwa kwa kuandaa, kuhuisha na kutoa Miongozo mbalimbali ya kusimamia Uadilifu katika Utumishi wa Umma.

Pia,kujenga uelewa wa miongozo hiyo kwa umma; na kufanya ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Maadili kwa mujibu wa miongozo.

“Na kama mnavyofahamu hivi karibuni ofisi yangu ilihuisha Kanuni za Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma za mwaka 2005 na Mwongozo wa Ushughulikiaji wa Malalamiko ya Wananchi wa mwaka 2012.

Amesema ili kutokomeza malalamiko ambayo yanaelekezwa katika Taasisi za Umma,  Taasisi Simamizi za  Maadili na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma wanapaswa kufanyia kazi maeneo mawili.

Ameyataja maeneo hayo ni kutoa elimu kwa wanataaluma ili wazingatie miiko ya taaluma zao na  mafunzo ya Maadili kwa watumishi wa umma ili wazingatie Sheria, Kanuni na Taratibu zinazosimamia Maadili ya utendaji kazi na yale ya kitaaluma.

Pia, kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Sheria, Kanuni na Taratibu ambapo Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma zinapaswa kusimamia na kuchukua hatua stahiki kwa wakati kwa wale wanaokiuka Maadili ya taaluma zao.

Vilevile, kushughulikia kwa wakati malalamiko yanayotokana na Uvunjifu wa Maadili kwa lengo la kuendelea kujenga imani kwa wananchi na kuongeza uwajibikaji na usikivu.

Kwa upande wa Taasisi Simamizi za Maadili na Utawala Bora, wanatakiwa  kufuatilia uzingatiaji wa Maadili ya Viongozi na Watumishi kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu zinazoongoza taasisi.

Kwa upande wake Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Menejmenti ya utumishi wa umma na utawala bora,Bw. Xavier Daudi,amesema lengo la kikao hicho ni kubadilishana uzoefu na kuweza kushirikiana ili kuweza  kufahamu changamoto walizonazo na kama ni mafanikio na masuala mapya yanayojitiokeza katika utumishi wa umma lakini lengo letu ni kurudisha maadili tunayotarajia katika utumishi wa umma.

”Kikao hiki tutapokea mada mbalimbali hivyo naamini mada zitakazowasilishwa sio tu zitaleta chachu katika majadiliano lakini pia zitasaidia kuleta suluhisho na kupata ufumbuzi wa changamoto mbalimbali za maadili zinazotukabili.”amesema Bw.Daudi

 

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,akizungumza wakati akifungua  kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Menejmenti ya utumishi wa umma na utawala bora,Bw. Xavier Daudi,akielezea lengo la kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene (hayupo pichani) wakati akifungua  kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,akiwakabidhi Viongozi mbalimbali Kitabu cha Kanuni za Maadili mara baada ya kufungua  kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua   kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna