slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

marsbahis

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

matbet

NervEase

https://r10.net/

https://blog.r10.net

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betasus

pusulabet giriş

matbet

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

matbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

casibom giriş

dlakjfol

jojobet

trust score weak 3

celtabet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

matbet, matbet giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

matbet

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

imajbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

WAZIRI SIMBACHAWENE ATAKA WAAJIRI NCHINI KUSIMAMIA MAADILI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI WA UMMA

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,akizungumza wakati akifungua  kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene  amewataka waajiri nchini kuhakikisha wanasimamia na kuimarisha uzingatiaji wa maadili ya viongozi wa umma na watumishi wa Umma.

Hayo  ameyasema hayo leo Septemba 21,2023 jijini Dodoma wakati akifungua  kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora Waziri Simbachawene amesema Ofisi yake itaendelea kushirikiana na Mamlaka simamizi za maadili ya kitaaluma kutoa ushauri wa kitaalamu pale itakapohitajika

“Kikao hiki cha wadau katika usimamizi wa maadili ni kikao muhimu kinachosaidia nchi katika kuimarisha usimamizi wa rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma. Hivyo, nichukue fursa hii kuwataka waajiri nchini kuhakikisha wanasimamia na kuimarisha uzingatiaji wa Maadili ya Viongozi wa Umma na Watumishi wa Umma,”amesema Waziri Simbachawene.

Pia,Wadau wa Maadili ikiwemo Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma kuendelea kushirikiana na OR- MUUUB kujenga uelewa wa Miongozo mipya ya usimamizi wa maadili kwa watumishi iliyotolewa na ofisi hii.

“Mamlaka za nidhamu kuendelea kufuatilia na kuchukua kwa wakati hatua stahiki dhidi ya vitendo vya ukiukwaji wa Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma,”amesema Waziri Simbachawene.

Vilevile,kufanya tathmini ya utekelezaji wa Maazimio na Mpango Kazi wa Kikao kilichopita ili kubaini mafanikio na changamoto zilijitokeza katika utekelezaji wa maazimio hayo na kuja na mapendekezo ambayo yatasaidia Serikali kuimarisha uadilifu katika Utumishi wa Umma.

“Kuhimiza matumizi ya Serikali Mtandao ambayo imeonesha mafanikio makubwa katika kudhibiti vitendo vya uvunjifu wa Maadili katika Utumishi wa Umma,”amesema Waziri Simbachawene.

Waziri Simbachawene amesema  malengo mahsusi ya kikao kazi hicho  ni kubadilishana uzoefu na taarifa zinazojumuisha mafanikio na changamoto za usimamizi wa maadili katika Utumishi wa Umma.

Pia,kubuni na kuweka mikakati ya kuimarisha Maadili ya Utumishi wa Umma na kitaaluma kama sehemu ya kutatua changamoto.

“Natoa rai kwenu, kwamba mikakati hiyo iandaliwe kwa lengo la kukuza Uwajibikaji na Usikivu wa Umma kama moja ya msingi wa Utawala Bora.

Amesema wajibu wa kusimamia Maadili ya Watumishi wa Umma na Utawala Bora katika Utumishi wa Umma ni suala mtambuka ambalo liko chini ya Ofisi ya Rais,Utumishi na Utawala Bora kwa kusaidiana na Taasisi Simamizi za Maadili na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma.

“Hivyo, kwa kuzingatia dhamana mliyopewa katika kusimamia Maadili, mnapaswa kuendelea kushirikiana na kuwekeza katika mikakati ambayo itachangia kukuza Uwajibikaji na Usikivu wa watoa huduma kwa wananchi hususani katika maeneo yanayoigusa jamii moja kwa moja au kulalamikiwa mara kwa mara,”amesema Waziri Simbachawene.

Ameyataja maeneo hayo ni pamoja na sekta ya afya, elimu, ujenzi, ardhi, manunuzi na ugavi.  

Amesema Azma ya Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuona  Utumishi wa Umma wenye usikivu na uwajibikaji wa hiari kwa ustawi kwa wananchi wa Tanzania.

“Hivyo, ili kuendana na maono hayo ya Mhe. Rais, Ofisi yangu imekuwa ikitumia njia mbalimbali ikiwemo kuweka mifumo ya uwajibikaji na kuzishirikisha Taasisi Simamizi za Maadili na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma katika ukuzaji na ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Maadili katika Utumishi wa Umma.

Amesema ushirikiano huo, unaiwezesha Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kufahamu hali halisi ya uadilifu katika Utumishi wa Umma na kuchukua hatua stahiki.

Amesema Matarajio hayo yatafikiwa iwapo  ushikiano  utatafsiriwa kwa kuandaa, kuhuisha na kutoa Miongozo mbalimbali ya kusimamia Uadilifu katika Utumishi wa Umma.

Pia,kujenga uelewa wa miongozo hiyo kwa umma; na kufanya ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Maadili kwa mujibu wa miongozo.

“Na kama mnavyofahamu hivi karibuni ofisi yangu ilihuisha Kanuni za Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma za mwaka 2005 na Mwongozo wa Ushughulikiaji wa Malalamiko ya Wananchi wa mwaka 2012.

Amesema ili kutokomeza malalamiko ambayo yanaelekezwa katika Taasisi za Umma,  Taasisi Simamizi za  Maadili na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma wanapaswa kufanyia kazi maeneo mawili.

Ameyataja maeneo hayo ni kutoa elimu kwa wanataaluma ili wazingatie miiko ya taaluma zao na  mafunzo ya Maadili kwa watumishi wa umma ili wazingatie Sheria, Kanuni na Taratibu zinazosimamia Maadili ya utendaji kazi na yale ya kitaaluma.

Pia, kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Sheria, Kanuni na Taratibu ambapo Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma zinapaswa kusimamia na kuchukua hatua stahiki kwa wakati kwa wale wanaokiuka Maadili ya taaluma zao.

Vilevile, kushughulikia kwa wakati malalamiko yanayotokana na Uvunjifu wa Maadili kwa lengo la kuendelea kujenga imani kwa wananchi na kuongeza uwajibikaji na usikivu.

Kwa upande wa Taasisi Simamizi za Maadili na Utawala Bora, wanatakiwa  kufuatilia uzingatiaji wa Maadili ya Viongozi na Watumishi kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu zinazoongoza taasisi.

Kwa upande wake Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Menejmenti ya utumishi wa umma na utawala bora,Bw. Xavier Daudi,amesema lengo la kikao hicho ni kubadilishana uzoefu na kuweza kushirikiana ili kuweza  kufahamu changamoto walizonazo na kama ni mafanikio na masuala mapya yanayojitiokeza katika utumishi wa umma lakini lengo letu ni kurudisha maadili tunayotarajia katika utumishi wa umma.

”Kikao hiki tutapokea mada mbalimbali hivyo naamini mada zitakazowasilishwa sio tu zitaleta chachu katika majadiliano lakini pia zitasaidia kuleta suluhisho na kupata ufumbuzi wa changamoto mbalimbali za maadili zinazotukabili.”amesema Bw.Daudi

 

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,akizungumza wakati akifungua  kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Menejmenti ya utumishi wa umma na utawala bora,Bw. Xavier Daudi,akielezea lengo la kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene (hayupo pichani) wakati akifungua  kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,akiwakabidhi Viongozi mbalimbali Kitabu cha Kanuni za Maadili mara baada ya kufungua  kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mhe.George Simbachawene,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua   kikao cha  kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya maadili na utawala bora kinachofanyika kwa siku mbili kuanzia leo Septemba 21 hadi 22 jijini Dodoma.

About the author

Alex Sonna