Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

rekabet

matbet

maxwin, maxwin giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

betper

holiganbet

casinofast giris

mavibet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Jojobet

Jojobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

lisanslı casino siteleri

jojobet

holiganbet

holiganbet

betpark

maxwin

jojobet

jojobet

ultrabet giriş

lunabet

artemisbet giriş

setrabet

jojobet güncel

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

holiganbet

holiganbet giriş

mavibet giriş

piabellacasino

holiganbet giriş

holiganbet

mavibet giriş

artemisbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

pusulabet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

maxwin giriş

betpark giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

betkolik

goldenbahis

casibom

goldenbahis

casibom

kalebet

berlinbet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

luxbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

imajbet

royalbet

İmajbet

betface

betface

piabellacasino

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pokerklas

betsat

betpark giriş

vdcasino

jojobet

casibom

betsat

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

Featured Kitaifa

WAZIRI SIMBACHAWENE AWASIHI WANANCHI KUTUNZA MIRADI INAYOTEKELEZWA NA SERIKALI KATIKA MAENEO MBALIMBAL

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na watumishi wa Kituo cha Afya cha Nyabilezi na wananchi wa Kijiji cha Nyabilezi Kata ya Bukome, Halmashauri ya Wilaya ya Chato mkoani Geita wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani Geita.

Sehemu ya watumishi wa Kituo cha Afya cha Nyabilezi na wananchi wa Kijiji cha Nyabilezi, Kata ya Bukome, Halmashauri ya Wilaya ya Chato wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene alipokuwa akizungumza nao wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani Geita.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akisisitiza jambo kwa watumishi wa Kituo cha Afya cha Nyabilezi na wananchi wa Kijiji cha Nyabilezi Kata ya Bukome, Halmashauri ya Wilaya ya Chato mkoani Geita wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani Geita.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akikagua mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya cha Nyabilezi, kilichopo katika Kijiji cha Nyabilezi, Kata ya Bukome, Halmashauri ya Wilaya ya Chato kilichofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) chini ya Mpango wa OPEC awamu ya nne wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani Geita.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akipata maelezo toka kwa Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Dkt. Eugene Rutayisire kuhusu Kituo cha Afya cha Nyabilezi, kilichopo katika Kijiji cha Nyabilezi, Kata ya Bukome, Halmashauri ya Wilaya ya Chato kilichofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) chini ya Mpango wa OPEC awamu ya nne wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani Geita.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akimsikiliza mlengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Kijiji cha Nyabilezi, Kata ya Bukome, Halmashauri ya Wilaya ya Chato alipokuwa akitoa ushuhuda wa namna alivyonufaika na TASAF wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani Geita.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene (pichani katikati) akielekea kukagua mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari Mkungo, Kata ya Bukome, Halmashauri ya Wilaya ya Chato ulifadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) chini ya Mpango wa OPEC awamu ya nne wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani Geita.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akitoa maelekezo kwa Watendaji na Viongozi wa TASAF na wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato baada ya kukagua mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari Mkungo, Kata ya Bukome, Halmashauri ya Wilaya ya Chato ulifadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) chini ya Mpango wa OPEC awamu ya nne wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF mkoani Geita.

Pichani ni mradi wa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) la Zahanati ya Ishololo, Kata ya Lyambamgongo, Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe mkoani Geita lililofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) chini ya Mpango wa OPEC awamu ya nne.

Pichani ni mradi wa ujenzi wa jengo la darasa la shule ya Msingi Ihulike Kata ya Ushirombo, Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe mkoani Geita lililofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) chini ya Mpango wa OPEC awamu ya nne.

Na. Rainer Budodi-Geita

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amewasihi wananchi kuthamini na kutunza miradi inayotekelezwa na Serikali ikiwemo ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika maeneo yao kwa kuwa ina lengo la kuondoa umaskini katika jamii.

Mhe. Simbachawene ameyasema hayo alipokuwa akizungumza kwa nyakati tofauti na wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini na Wananchi kwa ujumla katika Halmashauri za Wilaya ya Geita, Chato na Bukombe Mkoa wa Geita.


“Nimetembelea na kukagua miradi iliyopangwa, kwa ujumla nimefurahi sana kwa utekelezaji mzuri mathalani shule na vituo vya afya vimejengwa kwa viwango vizuri. Hivyo, nitoe rai kwa halmashauri zote nchini na wananchi kuhakikisha miradi hiyo inatunzwa kwa kuwa ni sehemu ya chaguo na vipaumbele vya wananchi wenyewe katika maeneo yao” amesema Mhe. Simbachawene.

Aidha, Mhe. Simbachawene ameongeza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa moyo mmoja ametoa fedha nyingi kupitia mpango huo ili ziwafike wanufaika na wananchi kwa jumla kupitia miradi hiyo ambayo ni chachu ya maendeleo. Hivyo, ameomba wananchi kuendelea kumuombea ili aendelee kuwa na moyo wa huruma na unyenyekevu kwa maendeleao ya wananchi wake.

“Umaskini si kukosa fedha tu, unaweza pia kuwa ni ukosefu wa elimu na afya bora. Kwa kuwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni mtu wa maono amegusa sehemu hizo na kuhakikisha shule nzuri na vituo vya afya kama vilivyojengwa mkoani Geita kupitia Mradi huo vinakamilika haraka na kuanza kutumika” amesema Mhe. Simbachawene.

Vilevile, Mhe. Simbachawene amewasisitiza Waratibu wa TASAF katika Mkoa wa Geita kuhakikisha shule na vituo vya afya vinavyojengwa kupitia Mradi huo wa TASAF vinawekewa miundombinu ya maji na umeme na kuweka madawati ili madarasa hayo yaanze kutumika.

Waziri Simbachawene amehitimisha ziara yake ya kikazi ya siku tatu iliyolenga kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi wa umma mkoani Geita na kusikiliza changamoto zinazowakabili ili kuzitatua na kukagua miradi inayotekelezwa na TASAF katika Halmashauri za Geita, Chato na Bukombe katika Mkoa huo.

About the author

Alex Sonna