slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

casibom giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

jojobet giriş

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

casibom

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

celtabet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

betixir

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

safirbet

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

meritking

jojobet

trust score weak 3

jojobet

bets10 giriş

slot siteleri

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

timebet

matbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

radissonbet

sekabet

grandpashabet

matbet

jetbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

queenbet

jojobet

jojobet mobil giriş

Jojobet

Featured Kimataifa

WAZIRI MKENDA ATANGAZA WASHINDI 47 WALIOCHAPISHA TAFITI ZAO KATIKA MAJARIDA YENYE HADHI YA JUU KIMATAIFA

Written by Alex Sonna

 

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda, akizungumza na waandishi wa habari wakati akitangaza washindi  wa Tuzo ya watafiti wanaochapisha matokeo ya tafiti zao katika majarida yenye hadhi ya juu kimataifa hafla iliyofanyika leo  Septemba 16,2023 jijini Dodoma.

 

SEHEMU ya Washiriki wakimsikiliza Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda,  wakati akitangaza washindi  wa Tuzo ya watafiti wanaochapisha matokeo ya tafiti zao katika majarida yenye hadhi ya juu kimataifa hafla iliyofanyika leo  Septemba 16,2023 jijini Dodoma.

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. James Mdoe,akizungumza wakati wa kutangazwa kwa washindi  wa Tuzo ya watafiti wanaochapisha matokeo ya tafiti zao katika majarida yenye hadhi ya juu kimataifa hafla iliyofanyika leo  Septemba 16,2023 jijini Dodoma.

MWENYEKITI wa Kamati ya tuzo ya watafiti wanaochapisha tafiti zao katika Majarida yenye hadhi ya Juu Kimataifa,akitoa Tathmini ya Machapisho kwa ajili ya utoaji Tuzo kwa Watafiti wanaochapisha matokeo ya tafiti  zao katika majarida yenye hadhi ya juu Kimataifa hafla iliyofanyika leo Septemba 16,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwatangaza washindi  wa Tuzo ya watafiti wanaochapisha matokeo ya tafiti zao katika majarida yenye hadhi ya juu kimataifa hafla iliyofanyika leo  Septemba 16,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetanga jumla ya washindi watafiti 47 kutoka taasisi za elimu ya juu za umma na binafsi  wametunukiwa tuzo kwa kuchapisha tafiti zao katika majarida yenye hadhi ya juu kimataifa ili kuchochea utafiti wa kisayansi nchini.

Akitangaza  leo Septemba 16,2023 jijini Dodoma Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda,amesema  chapisho lililofikia vigezo linapata Sh.Milioni 50 ikiwa ni motisha kwa watafiti kuwekeza kwenye sayansi na teknolojia.

“Hawa watagawana fedha iliyotengwa Sh.Milioni 500 kwa vigezo husika, tunataka wahadhiri wetu wafanye utafiti utakaosaidia kwa maendeleo ya taifa,”amesema Prof.Mkenda 

Ameongeza kuwa “Sisi tuna haja ya kuwawezesha wanasayansi wetu katika utafiti kutatua matatizo yetu, tunachokifanya ni kidogo lakini kinatuma salamu, tunataka mtafiti aweze kuchuma maisha yake kutokana na utafiti.”

Waziri Mkenda amesema fedha walizopata zitachagiza kujikita kwenye utafiti wenye tija kwa taifa na kujikwamua kiuchumi.

“Tunataka wajikite kwenye utafiti na si kukimbilia kufuga kuku, kufungua baa ili kupata fedha tunataka waende kwenye majarida hayo ili utafiti wao ujiuze na utawezesha wao kujikwamua kiuchumi,”amesema Prof.Mkenda

Katika hatua nyingine, Waziri Mkenda alizindua dirisha dogo la kuwasilisha machapisho hayo yaliyochapishwa ndani ya kipindi cha mwezi Julai mosi 2022 hadi Mei 31, 2023 ambapo mwisho wa kuwasilisha ni Oktoba 31, 2023.

Amesema  katika tuzo hizo yameongezwa maeneo mengine ambayo ni sayansi ya mifugo na kilimo, uhandisi na Tehama.  

Aidha Waziri Mkenda amesema wizara hiyo inapima matokeo ya watafiti wa ndani kulingana na kazi zao zinazo chapishwa katika majarida makubwa ulimwenguni.

“Ili uwe Mkubwa lazima upimwe ama ushindanishwe na Watu wa kubwa ndio maana tumewapima watafiti wetu Kwa kuangalia machapisho yao yaliyochapishwa katika majarida makubwa ulimwenguni,”amesema Mkenda

Baadhi ya washindi katika Tuzo hizo ni Prof.Herzon Nonga kutoka Taasisi ya Sokoine University of Agriculture,Prof.Abel Makubi kutoka Taasisi ya Muhimbili University Of Health and Allied,Prof.Reginald Kavishe kutoka Taasisi ya Kilimanjaro Christian Medical University College,Dk.Franco Peniel Mbise Taasisi ya University Of Dodoma.

Awali Mwenyekiti wa Kamati ya Tathmini ya Machapisho kwa ajili ya utoaji tuzo kwa watafiti wanaochapisha matokeo ya utafiti wao kwenye majarida yenye hadhi ya juu kimataifa, Prof.Yunus Mgaya, amesema machapisho 82 yaliokelewa na kamati hiyo kutoka kwa watafiti wa taasisi za elimu ya juu za umma na binafsi kwenye maeneo ya afya, sayansi shirikishi, sayansi asilia na hisabati.

“Baada ya mchakato kukamilika machapisho 20 ambayo kati yake 10 ni mkondo wa sayansi asilia na hisabati na 10 kutoka mkondo wa afya ya sayansi tiba yamekidhi vigezo vya kupata tuzo,”amesma Prof.Mgaya

Amefafanya kuwa  ndani ya machapisho hayo kuna watanzania 47 ambao wamekidhi kupata tuzo hizi zinazogharimu Sh.Milioni 500 .

Hata hivyo ameeleza kuwa  serikali katika mwaka wa fedha 2022/23 ilitangaza kuwa machapisho yaliyofanywa na watanzani na kuchapishwa kwenye majarida ya kimataifa ya kiwango cha juu itatoa Sh.Milioni 50 kwa kila chapisho.

A”Machi 26 mwaka huu lilifunguliwa dirisha la kuwasilisha machapisho hayo na kufungwa Mei 31, mwaka huu.”amesema

About the author

Alex Sonna