slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

holiganbet giriş

NervEase

https://r10.net/

hardcore porn

https://r10.net

pusulabet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

casinoroyal

pusulabet giriş

imajbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

marsbahis

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

betgar, betgar giriş

matbet, matbet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

holiganbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

betpark giriş

capitolbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

betwoon giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

perabet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

madridbet

bets10

bets10

trust score weak 3

marsbahis

bets10 giriş

slot siteleri

lunabet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

casibom

kulisbet, kulisbet giriş

marsbahis, marsbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

sloto

royalbet

marsbahis

taraftarium24

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

lunabet

galabet, galabet giriş

grandpashabet

lunabet

lunabet

betasus

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

grandpashabet

sekabet

matbet

marsbahis

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

meritking

meritking giriş

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

grandpashabet

Hacklink panel

matbet

kingroyal

kingroyal

matbet

matbet

Casibom

Featured Kitaifa

MAAFISA WA BANDARI NA VIWANJA VYA NDEGE WAHIMIZWA KUZINGATIA UKOMO WA MATUMIZI YA KEMIKALI

Written by Alex Sonna

Afisa Mfawidhi kutoka Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viatilifu Tanzania (TPHPA) Bw. Heri Mohamed akizungumza jambo wakati wa warsha ya mafunzo kwa maafisa wa Serikali waliopo katika Bandari ya Dar es Salaam na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kuhusu kuhusu udhibiti wa uingizaji wa  kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal, leo tarehe 15 Septemba, 2023  Jijini Dar Es Salaam.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Mitawi akizungumza jambo wakati wa warsha ya mafunzo kwa maafisa wa Serikali waliopo katika Bandari ya Dar es Salaam na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kuhusu udhibiti wa uingizaji wa  kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal, leo tarehe 15 Septemba, 2023  Jijini Dar Es Salaam.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Mitawi akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha ya mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji wa  kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal iliyofanyika leo tarehe 15 Septemba, 2023  Jijini Dar Es Salaam.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Mitawi akizungumza jambo na Maafisa Waandamizi kutoka Idara ya Uhamiaji, Mratibu Msaidizi wa Uhamiaji, Abel Ndijaraye na Mkaguzi wa Uhamiaji, Bi. Debora Kolongo wakati wa warsha ya mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal, leo tarehe 15 Septemba, 2023 Jijini Dar Es Salaam.

Baadhi ya washiriki wa warsha ya mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa wakati wa warsha hiyo ya Siku moja kwa Maafisa wa Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

Afisa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. George Ngosso akizungumza akiwasilisha mada wakati wa warsha ya mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal, leo tarehe 15 Septemba, 2023 Jijini Dar Es Salaam.

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

Na Mwandishi Wetu,OMR- DSM

Serikali imewataka wasimamizi wa sheria katika maeneo ya Viwanja vya Ndege na Bandarini kuendelea na usimamizi na udhibiti wa kemikali zinazodhibitiwa kwa kuzingatia ukomo wa matumizi wa kemikali hizo.

Rai hiyo imetolewa leo Ijumaa (Septemba 15, 2023) Jijini Dar es Salaam na Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Mitawi wakati akifungua warsha kwa Maafisa wa serikali waliopo katika bandari ya Dar es Salaam na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazodhibitiwa chini ya Itifaki ya Montreal.

Mitawi amesema Maafisa forodha na wasimamizi wa Sheria katika maeneo ya mipaka wana wajibu mkubwa wa kusimamia uingizaji wa bidhaa mbalimbali zinazoingizwa nchini zikiwemo kemikali ambazo zimekuwa zikileta madhara mbalimbali katika jamii yakiwemo magonjwa ya saratani ya ngozi, upungufu wa kinga dhidi ya maradhi na kujikunja kwa ngozi.

“Warsha hii ni muhimu kwenu na hii ni kutokana na majukumu yenu ya kila siku…. Naamini mtajenga uelewa mkubwa zaidi katika masuala ya Tabaka la Ozoni na hatimaye kuwa mabalozi wa kueneza elimu ya Ozoni kwa wengine ili sote kwa pamoja tuongeze juhudi za kuhifadhi Tabaka la Ozoni” amesema Mitawi.

Mitawi amesema Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na wadau imeendelea kutoa elimu kwa jamii kuepuka matumizi ya vifaa na kemikali ambazo zinasababisha madhara kwa afya ya binadamu na mazingira ikiwemo athari za mabadiliko ya tabianchi.

Kwa mujibu wa Mitawi amesema Maafisa wa Serikali na wasimamizi wa Sheria waliopo maeneo ya mipaka ni wadau muhimu katika udhibiti wa uingizaji wa bidhaa na kemikali zenye ukomo wa matumizi katika jamii na hivyo wana nafasi kubwa ya kuelimisha wananchi aina ya vifaa vinavyopaswa kutumika.

“Sote ni mashahidi…kuhusu athari za kiafya matumizi ya vifaa vyenye kemikali..Tumeshuhudia Serikali imekuwa ikitumia kiasi kikubwa cha fedha za matibabu kwa wagonjwa wa saratani na pia kumekuwepo na kiwango kikubwa cha joto siku hadi siku” amesema Mitawi.

Akifafanua zaidi Mitawi amesema nchi nyingi duniani kwa sasa zimeshuhudia athari za mabadiliko ya tabia ikiwemo hali ya ukame hatua inayosababisha hali ya ukosefu wa chakula katika maeneo mbalimbali Duniani, hivyo Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imeendelea kuchukua hatua mahsusi kuhakikisha jamii ya Watanzania inabaki salama.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi Kemilembe Mutasa amesema katika kuelekea Siku ya Tabaka la Hifadhi ya Ozoni Tanzania imeendelea kupata mafanikio makubwa katika udhibiti wa kemikali zinazoharibu Tabaka la Ozoni.

“Tanzania sio mzalishaji wa kemikali hizi…Tumekuwa tukipokea kutoka nchi ya nchi..Tumeandaa kanuni, sera, sheria na miongozo mbalimbali katika…Tumekuwa na mfululizo wa mafunzo haya kwa watendaji wa Serikali kuwakumbusha wajibu wao katika maeneo yote ya udhibiti wa kemikali hizi” amesema Kemilembe.

Tarehe 16 Septemba kila mwaka, Tanzania huungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni . Kauli mbiu ya Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni mwaka 2023 ni “Hifadhi ya tabaka la ozoni na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi”

About the author

Alex Sonna