Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet

superbetin

superbetin

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

avrupabet, avrupabet giriş

gameofbet

jojobet

avrupabet

elitbahis

casival

celtabet

avrupabet

betlivo

parmabet

betnis

parmabet

betmarino

realbahis

lordcasino

lordcasino

aresbet

betra

gallerbahis

gobahis

hazbet

matbet

betra

luxbet

betmarino

celtabet

casival

luxbet

millibahis

betlivo

betcool

realbahis

gallerbahis

millibahis

gobahis

betnis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

betpas

betcup

casinofast giris

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

avrupabet giriş

kingroyal

avrupabet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

tambet

padişahbet giriş

mavibet

kavbet

setrabet

betpas

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

vipslot

vipslot

betcool

celtabet

hazbet

cratosroyalbet giriş

betlike giriş

kavbet giriş

cratosroyalbet

mavibet

mavibet

artemisbet giriş

imajbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

bets10 giriş

dinamobet giriş

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

jojobet

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

kingroyal

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

betpas

royalbet

imajbet

betface

betface

imajbet giriş

casibom

deneme bonusu

Featured Kitaifa

MAAFISA WA BANDARI NA VIWANJA VYA NDEGE WAHIMIZWA KUZINGATIA UKOMO WA MATUMIZI YA KEMIKALI

Written by Alex Sonna

Afisa Mfawidhi kutoka Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viatilifu Tanzania (TPHPA) Bw. Heri Mohamed akizungumza jambo wakati wa warsha ya mafunzo kwa maafisa wa Serikali waliopo katika Bandari ya Dar es Salaam na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kuhusu kuhusu udhibiti wa uingizaji wa  kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal, leo tarehe 15 Septemba, 2023  Jijini Dar Es Salaam.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Mitawi akizungumza jambo wakati wa warsha ya mafunzo kwa maafisa wa Serikali waliopo katika Bandari ya Dar es Salaam na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kuhusu udhibiti wa uingizaji wa  kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal, leo tarehe 15 Septemba, 2023  Jijini Dar Es Salaam.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Mitawi akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha ya mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji wa  kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal iliyofanyika leo tarehe 15 Septemba, 2023  Jijini Dar Es Salaam.

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Mitawi akizungumza jambo na Maafisa Waandamizi kutoka Idara ya Uhamiaji, Mratibu Msaidizi wa Uhamiaji, Abel Ndijaraye na Mkaguzi wa Uhamiaji, Bi. Debora Kolongo wakati wa warsha ya mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal, leo tarehe 15 Septemba, 2023 Jijini Dar Es Salaam.

Baadhi ya washiriki wa warsha ya mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa wakati wa warsha hiyo ya Siku moja kwa Maafisa wa Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).

Afisa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. George Ngosso akizungumza akiwasilisha mada wakati wa warsha ya mafunzo kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazodhibitiwa chini ya itifaki ya montreal, leo tarehe 15 Septemba, 2023 Jijini Dar Es Salaam.

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

Na Mwandishi Wetu,OMR- DSM

Serikali imewataka wasimamizi wa sheria katika maeneo ya Viwanja vya Ndege na Bandarini kuendelea na usimamizi na udhibiti wa kemikali zinazodhibitiwa kwa kuzingatia ukomo wa matumizi wa kemikali hizo.

Rai hiyo imetolewa leo Ijumaa (Septemba 15, 2023) Jijini Dar es Salaam na Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Abdallah Mitawi wakati akifungua warsha kwa Maafisa wa serikali waliopo katika bandari ya Dar es Salaam na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuhusu udhibiti wa uingizaji wa kemikali zinazodhibitiwa chini ya Itifaki ya Montreal.

Mitawi amesema Maafisa forodha na wasimamizi wa Sheria katika maeneo ya mipaka wana wajibu mkubwa wa kusimamia uingizaji wa bidhaa mbalimbali zinazoingizwa nchini zikiwemo kemikali ambazo zimekuwa zikileta madhara mbalimbali katika jamii yakiwemo magonjwa ya saratani ya ngozi, upungufu wa kinga dhidi ya maradhi na kujikunja kwa ngozi.

“Warsha hii ni muhimu kwenu na hii ni kutokana na majukumu yenu ya kila siku…. Naamini mtajenga uelewa mkubwa zaidi katika masuala ya Tabaka la Ozoni na hatimaye kuwa mabalozi wa kueneza elimu ya Ozoni kwa wengine ili sote kwa pamoja tuongeze juhudi za kuhifadhi Tabaka la Ozoni” amesema Mitawi.

Mitawi amesema Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na wadau imeendelea kutoa elimu kwa jamii kuepuka matumizi ya vifaa na kemikali ambazo zinasababisha madhara kwa afya ya binadamu na mazingira ikiwemo athari za mabadiliko ya tabianchi.

Kwa mujibu wa Mitawi amesema Maafisa wa Serikali na wasimamizi wa Sheria waliopo maeneo ya mipaka ni wadau muhimu katika udhibiti wa uingizaji wa bidhaa na kemikali zenye ukomo wa matumizi katika jamii na hivyo wana nafasi kubwa ya kuelimisha wananchi aina ya vifaa vinavyopaswa kutumika.

“Sote ni mashahidi…kuhusu athari za kiafya matumizi ya vifaa vyenye kemikali..Tumeshuhudia Serikali imekuwa ikitumia kiasi kikubwa cha fedha za matibabu kwa wagonjwa wa saratani na pia kumekuwepo na kiwango kikubwa cha joto siku hadi siku” amesema Mitawi.

Akifafanua zaidi Mitawi amesema nchi nyingi duniani kwa sasa zimeshuhudia athari za mabadiliko ya tabia ikiwemo hali ya ukame hatua inayosababisha hali ya ukosefu wa chakula katika maeneo mbalimbali Duniani, hivyo Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imeendelea kuchukua hatua mahsusi kuhakikisha jamii ya Watanzania inabaki salama.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi Kemilembe Mutasa amesema katika kuelekea Siku ya Tabaka la Hifadhi ya Ozoni Tanzania imeendelea kupata mafanikio makubwa katika udhibiti wa kemikali zinazoharibu Tabaka la Ozoni.

“Tanzania sio mzalishaji wa kemikali hizi…Tumekuwa tukipokea kutoka nchi ya nchi..Tumeandaa kanuni, sera, sheria na miongozo mbalimbali katika…Tumekuwa na mfululizo wa mafunzo haya kwa watendaji wa Serikali kuwakumbusha wajibu wao katika maeneo yote ya udhibiti wa kemikali hizi” amesema Kemilembe.

Tarehe 16 Septemba kila mwaka, Tanzania huungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni . Kauli mbiu ya Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni mwaka 2023 ni “Hifadhi ya tabaka la ozoni na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi”

About the author

Alex Sonna