marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

pusulabet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

matbet

marsbahis

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

cratosroyalbet

pokerklas

marsbahis

perabet giriş

piabet

betoffice

restbet

imajbet

safirbet

goldenbahis

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

gobahis, gobahis giriş

jojobet giriş

restbet

jojobet giriş

restbet

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

setrabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

kingroyal giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

trendbet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

meritking giriş

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

grandpashabet

casinoroyal

İkimisli

casinofast

holiganbet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

perabet giriş

mislibet

mislibet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

bets10

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis

kralbet giriş

belugabahis

สล็อตเว็บตรง

meritking

ultrabet

jojobet

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

ultrabet

mislibet

interbahis

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

Featured Kitaifa

SERIKALI YAHIMIZA JAMII KUWAKUMBUKA WAZEE UJENZI WA MAKAZI BORA

Written by Alex Sonna

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akizungumza na wananchi mara baada ya kushiriki ujenzi wa Nyumba ya Daktari katika Kijiji cha Seroneta Halmashauri ya Wilaya ya Tarime akihamasisha wananchi kujitolea katika shughuli za Maendeleo na ujenzi wa Makazi Bora wakati wa ziara yake mkoani Mara .

Na WMJJWM,  Tarime-MARA

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imeihimiza jamii kote nchini kukumbuka ujenzi wa makazi ya wazee wasiojiweza wakati huu wa mabadiliko ya sayansi na teknolojia.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis wakati akishiriki katika shughuli za maendeleo

 Wilayani Tarime mkoani Mara.

Akiwa kwenye  ujenzi wa nyumba ya daktari wa zahanati ya Kijiji cha Soroneta amesema Jamii inatakiwa kushiriki katika shughuli za maendeleo ili wawe na umiliki wa miradi hiyo hususan  suala la utunzaji ili idumu.

Mwanaidi amesema, Kampeni ya Amsha Ari ni moja ya juhudi za Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum juu ya utekelezaji wa Sera ya Maendeleo ya Jamii ya Mwaka 1996 inayohimiza Wananchi kujitolea wakati wa shughuli za maendeleo kwenye maeneo yao.

“Mimi nimekuja hapa kuamsha ari ya wananchi kuweza kujenga makazi bora na pia kusaidia watu wengi kuwa na makazi bora hasa wazee wasio na uwezo” amesisitiza Naibu Waziri Mwanaidi.

Naye Diwani wa Kata ya Nyarelo   Japheth Marwa, amesema wananchi wa kata hiyo wamekuwa na moyo na ari ya kujitolea katika shughuli za maendeleo na wataendelea kujitoa ili kufanikisha miradi mbalimbali ya huduma za jamii iweze kuwasaidia kuondokana na changamoto zinazowakabili

Kwa upande wake, Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya  Kijiji cha  Soroneta Kata ya Nyarelo Dkt. Richard Kitende ameishukuru Serikali  kwa kuunga mkono juhudi za wananchi kutekeleza miradi ya Maendeleo kwani inasaidia kuwapa moyo wa kujitoa na kusaidia upatikanaji wa huduma muhimu karibu na maeneo yao.

Akizungumzia hatua hiyo, Mbunge wa Tarime Vijijini Mwita Waitara amesema ni jambo jema viongozi kuonesha mfano kwenye masuala ya maendeleo na jamii kwani itasaidia kuwa na moyo na mwamko kwa wananchi kuchangua katika shughuli za maendeleo.

Awali, Afisa Maendeleo ya Jamii Janeth Michael alisema mradi huo umeshirikisha wananchi kwa shughuli za kuchimba msingi, kusomba mawe na kujenga boma ambapo gharama zote za nguvu ya wananchi ni shillingi Millioni 8.1 huku wakiungwa mkono na Halmashauri ya Wilaya ya Tarime iliyotoa shillingi Millioni 20 kuunga mkono juhudi za Wananchi.

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akiangalia baiskeli za watoto wenye Ulemavu zinazotumika katika Kituo cha ATFGM Masanga kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Tarime wakati wa ziara yake mkoani Mara.

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akisoma mabango ya ujumbe mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Kituo cha ATFGM Masanga kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Tarime wakati wa ziara yake mkoani Mara

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akishiriki ujenzi wa Nyumba ya Daktari katika Kijiji cha Seroneta Halmashauri ya Wilaya ya Tarime akihamasisha wananchi kujitolea katika shughuli za Maendeleo na ujenzi wa Makazi Bora wakati wa ziara yake mkoani Mara

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akizungumza na wananchi mara baada ya kushiriki ujenzi wa Nyumba ya Daktari katika Kijiji cha Seroneta Halmashauri ya Wilaya ya Tarime akihamasisha wananchi kujitolea katika shughuli za Maendeleo na ujenzi wa Makazi Bora wakati wa ziara yake mkoani Mara 

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akikabidhi meza za vyereheni vilivyotolewa na Shirika la  Care Foundation kwa Kikundi cha  wakati wa ziara yake mkoani Mara Septemba 13, 2023.

Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WMJJWM

About the author

Alex Sonna