Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

UTIAJI SAINI MoU YA KUENDESHA MAFUNZO YA GROUND HANDLING KIST.

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karumé (KIST), Dk.Mahmoud Abdulwahab Alawi (kulia),  akitia saini MoU ya kuendesha mafunzo ya  Huduma za Viwanja vya Ndege (Ground Handling), (kushoto) ni Bw. Hassan S . Ngozi, Mtaalamu wa  mafunzo ya huduma ya Viwanja vya Ndege (Ground Handling, (katikati) ni Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bw. Khamis Abdullah Said, akishuhudia hafla hiyo iliyofanyika Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrissa Muslim Hijja Bweni Zanzibar.

Baadhi ya Viongozi na washiriki walioshuhudia hafla ya utiaji saini MoU ya kuendesha mafunzo ya huduma za Viwanja vya Ndege (Ground Handling), baina ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karumé (KIST) na Mtaalamu wa mafunzo hayo, Bw.Hassan S  Ngozi hafla iliyofanyika Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrissa Muslim Hijja Bweni Zanzibar.

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bw. Khamis Abdullah Said (katikati) akiwa katika Picha ya pamoja na Viongozi mbali mbali wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karumé (KIST), Pamoja na waalikwa kutoka Taasisi mbali mbali baada ya hafla ya utiaji saini MoU ya kuendesha mafunzo ya huduma za Viwanja vya Ndege (Ground Handling), baina ya Taasisi ya Karume na Mtaalamu wa kutoa mafunzo hayo Bw. Hassan S . Ngozi.

 PICHA NA MARYAM KIDIKO- KIST.

Na Issa Mzee KIST.

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imesema inaunga mkono mpango ulioandaliwa na Taasisi ya  Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST) katika utowaji wa mafunzo ya huduma za Viwanja vya ndege .

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Khamis Abdalla Said, alisema hayo alipokuwa katika hafla ya utiaji saini makubaliano ya utowaji wa mafunzo hayo kwa Taasisi ya Karume  na wataalamu wa huduma za ndege katika viwanja vya ndege, hafla ilifanyika Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrissa Muslim Hijja Bweni Zanzibar.

Alisema hatua hiyo inakwenda sambamba na dhamira ya Serikali juu ya kuimarisha usafiri wa anga hapa nchini.

Aidha alisema  kuwepo kwa mafunzo hayo itachochea kupatikana wafanyakazi wa kutosha wenye utaalamu wa kutoa huduma kwa kiwango kinachohitajika. 

Katibu huyo alifahamisha kuwa vijana wengi wanamaliza elimu zao na kubakia mitaani kufanya mambo yasiostahiki hivyo kutolea kwa mafunzo hayo itakuwa chachu ya kutimiza ndoto zao na kuipunguzia mzigo Serikali.

“Hakuna sababu kwa huduma hizo kufanywa na wageni ukizingatia hapa nchini kuna vijana wengi hawana ajira hivyo kupitia fursa hiyo itakuwa chachu ya kuwasaidia vijana kupata nafasi hizo na kujikwamua kiuchumi,”alisema.

Hata hivyo Alisema Zanzibar inaendelea kujenga miundombinu na kujenga viwanja vya ndege Unguja na Pemba hatua ambayo itasaidia kuongeza idadi kubwa ya ndege kutoka nchi mbalimbali kufanya safari zake hapa nchini, hatua ambayo itatanua wigo na kuongeza fursa za ajira katika eneo hilo.

Vile vile alisema kutokana na hali hiyo KIST inajukumu la kuhakikisha wanaandaa wataalamu wataokuwa na uweledi ambao wataweza kufanya kazi hizo ndani na nje ya nchi. 

Hivyo kawataka vijana kutumia fursa ya mafunzo inayotolewa na Taasisi hiyo ili kupata taaluma na ujuzi katika soko la ajira katika Sekta hiyo.

Pia alitumia fursa hiyo kuzitaka kampuni za ndege ziliyopo ndani na nje kuunga mkono jitihada za Serikali ya Zanzibar na kuwapa fursa za ajira vijana watakaosoma katika kozi hizo ili kwenda kufanya kazi katika Sekta hizo.

Sambamba na hayo alitumia fursa hiyo kuishukuru mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania kwa kuruhusu masomo hayo kufundishwa katika Taasisi ya karume.

Mkuu wa Taasisi ya  Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST),  Dk Mahmoud Abdulwahab Alawi, alisema wamesaini makubaliano hayo kwaajili ya kuendesha kozi tofauti za utowaji wa huduma kwa kazi mbalimbali zinazofanyika katika viwanja vya ndege.

Alisema hatua hiyo itasaidia kuwajengea uwezo wazawa kufanya kazi hizo kutokana na kuwepo idadi kubwa ya viwanja vya ndege na makampuni mbalimbali kufanya safari zake hapa nchini.

Mkuu wa Idara ya Uhandisi wa Mitambo na Usafiri wa Anga kutoka Taasisi ya Karume Bw, Ali Hamad Mkali alisema lengo la makubaliano hayo ni kuanzisha mafunzo ya muda mfupi ndani ya Taasisi hiyo kwa lengo la kuwaandaa vijana ili kuingia katika soko la ajira kupitia eneo hilo la utowaji wa huduma katika viwanja vya ndege.

Nae mtaalamu wa mafunzo hayo Bw. Hassan S. Ngozi alisema watowa huduma za ndege wanahitajika kuwa na taaluma na uelewa ili kuepusha athari mbalimbali zinazoweza kujitokeza.

Mafunzo hayo ya muda mfupi yatashirikisha kozi mbalimbali ikiwemo usafirishaji wa mizigo, abiria, uangalizi wa mashine za kusafirishia mizigo na mengineyo.

About the author

Alex Sonna