Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

Hacklink panel

betturkey

nerobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

nakitbahis giriş

marsbahis

marsbahis

kendin tasarla mousepad

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

piabellacasino giriş

marsbahis

slot siteleri

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

grandpashabet giriş

betpark

betpark

vdcasino

jojobet

Jojobet

tipobet

Redwin

deneme bonusu

bahis siteleri

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

nakitbahis

Girne Escort

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Jojobet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

casibom

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

jojobet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

grandpashabet

Hacking Forum

modabet

vdcasino giriş

casibom

lunabet

Featured Kitaifa

TTCL YATANGANZA VIVUTIO VYA UTALII KIDIJITALI KATIKA MAONYESHO YA 41 YA PAPU JIJINI ARUSHA

Written by Alex Sonna
Waziri wa Mawasiliano nchini Afrika Kusini Bw. MONDLI GUNGUBELE (kushoto) akipeana mkono na Meneja wa TTCL Mkoa wa Arusha Bw. FREDRICK MLOKA (kulia) wakati alipotembelea Banda la TTCL kwenye maonesho yaliyoandaliwa na Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakati wa Kikao cha 41 cha Baraza la Umoja wa Posta Afrika kinachofanyika jijini Arusha
Naibu Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew akimwelezea Waziri wa Posta na Mawasiliano wa Liberia Bw. WORLEA SAYWAH DUWAH huduma ya Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano inayosimamiwa na kuendeshwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL
Baadhi ya wajumbe wa Mkutano wa 41wa Baraza la Umoja wa Posta Afrika (PAPU) wametembelea banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL kwenye maonesho yaliyoandaliwa na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari nakuoneshwa miundombinu ya kimkakati ya mawasiliano inayosimamiwa na shirika hilo.
Baadhi ya wajumbe wa Mkutano wa 41wa Baraza la Umoja wa Posta Afrika (PAPU) wametembelea banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL kwenye maonesho yaliyoandaliwa na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari nakuoneshwa miundombinu ya kimkakati ya mawasiliano inayosimamiwa na shirika hilo.

 

Na Mwandishi wetu Arusha
 

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL ni miongoni mwanTaasisi na Mashirika ya Umma yaliyochini ya Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari yanayoshiriki maonesho yaliyoandaliwa na Wizara hiyo wakati wa Kikao cha 41 cha Baraza la Umoja wa Posta Afrika kinachofanyika jijini Arusha.

 
 
Meneja Biashara ambaye pia ni Meneja wa Banda katika maonesho hayo yanayofanyika katika Viwanja vya Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa (AICC) Bw. Laibu Leonard amesema moja kati ya faida ya kushiriki Maonesho hayo ni kuendelea kuifungua nchi katika sekta ya utalii kwani TTCL inaonesha matukio ya moja kwa moja yanayoendelea katika mlima kilimanjaro.
 
 
Bw. Leonard amesema kupitia maonesho hayo nchi 30 kati ya nchi wanachama 45 wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU) zimenufaika na kasi ya mtandao iliyotolewa na TTCL na hivyo kuziwezesha kufanikisha matukio mbalimbali yanayohusu ajenda za Kikao hicho.
 
 
AmesemaTTCL imebeba dhamana ya kuhakikisha washiriki wote wanapata mtandao wa uhakika na kasi ili dhamira ya kikao hicho ya kufanya shughuli za Posta kufanyika kidigitali iweze kuonekana inatekelezeka.
 
 
“Shirika letu tunawaunganishia washiriki wote hapa Wireless ya bure yenye kasi ya 10G no mtandao wa uhakika na haukwamikwami na hapa pia tunaonesha Moja kwa moja matukio yanayoendelea katika mlima Kilimanjaro kwanzia mwanzo mpaka Uhuru peak” amesema Laibu
 
 
Ameongeza kuwa kupitia maonesho ya Banda la TTCL ni wazi watavutiwa na upo uwezekano kwa baadhi wakimaliza Mkutano wanaweza kwenda kutembelea mlima huo ili kujionea vivutio mbalimbali vinavyopatikana katika Hifadhi ya mlima Kilanjaro.
 
 
Aidha amesemaNa Kupitia Mkutano huu wa PAPU Shirika (TTCL ) limepata fursa ya kuonyesha huduma zake kwa wageni ambapo huduma hizo ni pamoja na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano (NICTBB) huduma za Data Center (NIDC) hivyo washiriki wameweza kupata uelewa wa namna miradi hii ya kimkakati inavyosamiwa na umuhimu wake kwa Wananchi.
 
 
Aidha, Bw. Leonard amesema kuwa maonesho haya yanafanyika kuelekea Siku ya Uzinduzi wa Jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU) utakaofanyika Septemba 2 Mwaka huu ambapo mpaka sasa TTCL wameshafikisha huduma ya Faiba katika Jengo hilo ili kuhakikisha shughuli zote za kiposta zinatekelezeka kidigitali.
 
 
Pia Leonard ameongeza kuwa Shirika hilo kama msimamizi na mwendeshaji wa miradi ya mawasiliano ya kimkakati linatekeleza majukumu yake ya kuhakikisha miundombinu ya Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano inajengwa nchini hadi nje ya mipaka ya Tanzania ili kuziwesha shughuli za Posta ndani na nje ya Afrika kufanyika vizuri.

About the author

Alex Sonna