Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

WANAWAKE WAHIMIZWA KUJIUNGA NA SHAHADA ZA UZAMILI.

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Nelson Mandela Ya Sayansi na Teknolojia Bw. Omari Issa(aliyeshika kofia) akimtunuku Mhitimu wa Shahada ya Uzamivu katika Mahafali ya Tisa ya taasisi hiyo yaliyofanyika Agosti 31,2023 kampasi ya Tengeru Arusha.

Na Mwandishi wetu, Arusha
Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Nelson Mandela ya Sayansi na Teknolojia Bw. Omari Issa ametoa rai kwa  wanawake  kujiunga na masomo ya  Shahada  ya Umahiri na Uzamivu kwa wingi  ili kuleta uwiano wa idadi ya wahitimu Wanawake na Wanaume  kwenye fani mbalimbali .
Mkuu huyo wa Taasisi Bw. Omari ameyasema hayo Agosti 31, 2023 wakati wa mahafali ya 9 ya kutunuku Shahada ya Umahiri na Uzamivu kwa wahitimu 89 wa Taasisi hiyo.
 “Kauli mbiu yetu  ni taaluma kwa jamii na viwanda hivyo tutazidi kuongeza  ushirikiano wa karibu sana na wadau katika viwanda  ili wahitimu wetu waweze kubiasharisha  tafiti  zao ziweze kuingia sokoni na kuifikia jamii” alisema Mkuu wa Taasisi Bw. Omari Issa
Ameongeza kuwa Taasisi hiyo itaendelea kushirikiana na Serikali pamoja na wadau mbalimbali  ili tafiti zinazozalishwa na wataalamu katika taasisi hiyo ziweze kuifikia jamii na  kutatua changamoto mbalimbali.
Naye Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Bw. Sylvester kazi amewataka wahitimu hao kuendelea kuwa waadilifu kwa kufanya kazi kwa  karibu na jamii ili taaluma waliyoipata katika taasisi iweze  kuleta matokeo chanya katika kukuza uchumi wa nchi.
Kwa Upande Wake Makamu Mkuu wa Taasisi Professa Maulilio Kipanyula,  ameeleza kuwa taasisi hiyo imekuwa mstari wa mbele katika kufanya tafiti zinazoigusa jamii  moja  kwa moja.
“Taasisi yetu ina kituo cha atamizi ambacho kinafanya kazi kubwa ya  kuatamia bunifu mbalimbali ambacho pia kitasaidia katika kuatamia bunifu  kutoka katika jamii  inayotuzunguka ” alisema  Professa Maulilio Kipanyula
Katika mahafali hayo ya 9 jumla ya wahitimu 89 wametunukiwa Shahada za Umahiri na Uzamivu ,huku Shahada ya Umahiri  (Master’s Degree) wakiwa 62 na Shahada ya Uzamivu ( PhD) wakiwa 27.

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Nelson Mandela ya Sayansi na Teknolojia Professa Maulilio Kipanyula akiongea wakati wa sherehe za Mahafili ya Tisa ya taasisi hiyo yaliyofanyika Agosti 31, 2023.

Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Nelson Mandela Ya Sayansi na Teknolojia Bw. Omari Issa(aliyeshika kofia) akimtunuku Mhitimu wa Shahada ya Uzamivu katika Mahafali ya Tisa ya taasisi hiyo yaliyofanyika Agosti 31,2023 kampasi ya Tengeru Arusha.

Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi ya Afrika Ya Nelson Mandela ya Sayansi na Teknolojia Bw. Sylvester Kazi ( kwenye Podiamu) akiongea na wahitimu wakati Mahafali ya Tisa ya taasisi hiyo yaliyofanyika Agosti 31,2023 kampasi ya Tengeru Arusha, waliokaa wa kwanza kuhoto ni Mkuu wa Taasisi Bw. Omari Issa, Makamu Mkuu wa Taasisi Professa Maulilio Kipanyula ( wa pili kushoto ) na Naibu Makamu Mkuu wa Taasisi Taaluma, Utafiti na Ubunifu Professa Anthony Mshandete.

Mlau Kutoka Taasisi ya Afrika ya Nelson Mandela ya Sayansi na Teknolojia Professa Gabriel Shirima akiongoza maandamano wakati wa hafla ya Maafali ya Tisa ya Taasisi hiyo yaliyofanyika Agosti 31, 2023 kampasi ya Tengeru Arusha.

About the author

Alex Sonna