slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

casibom giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

jojobet giriş

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

casibom

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

celtabet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

betixir

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

safirbet

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

meritking

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

tipobet giriş

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

timebet

matbet

tipobet

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

radissonbet

sekabet

grandpashabet

matbet

jetbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

betist

Featured Kitaifa

WAZIRI JAFO AWAPONGEZA WABUNGE WA ZANZIBAR KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewapongeza Wabunge wa Zanzibar kwa kutumia vyema nafasi zao za uwakilishi wa majimbo yao ambapo juhudi hizo zimewezesha utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi.

Dkt. Jafo ameyasema hayo leo Agosti 24, 2023, wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kilichopokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Ofisi ya Makamu wa Rais katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa Waziri Jafo amesema juhudi kubwa zinazoendelea kufanywa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Awamu ya Nane inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Hussein Ally Mwinyi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi imetokana na mshikamano mkubwa unaofanywa na Wabunge wa Zanzibar katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kusemea na kutetea hoja mbalimbali.

“Leo hii ndani ya miaka miwili ya Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Awamu ya Nane, Mhe. Dkt. Hussein Ally Mwinyi tumeshuhudia mageuzi makubwa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi…Juhudi hizi zimetokana na ninyi Wabunge katika kujenga hoja Bungeni” amesema Dkt. Jafo.

Waziri Jafo amesema katika kipindi cha miaka miwili ya Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeendelea kupokea kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo huku akitolea mfano fedha za miradi ya UVIKO 19 ambazo zimetekeleza miradi ya sekta muhimu za kijamii kwa wananchi ikiwemo afya, elimu, maji na barabara.

Akifafanua zaidi Dkt. Jafo amesema malengo ya Viongozi Wakuu wa Serikali ni kuhakikisha miradi yote ya maendeleo inayogusa maisha ya wananchi inatekelezwa kwa kasi na viwango ili kuwaletea maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla. Kwa upande wao Wajumbe wa kamati hiyo, wameipongeza Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kuendesha na kutoa mafunzo ya Sheria ya Mfuko wa Kuchochea Maendeleo ya Jimbo ambao umeainisha wajibu na nafasi ya Wabunge na Watendaji wa Halmashauri katika kusimamia Mfuko huo.

Mjumbe wa Kamati hiyo, Mhe. Ahmed Juma Ngwali aliishukuru Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kuendesha mafunzo ya Sheria ya Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo mwezi Julai mwaka huu na sasa mafanikio ya mafunzo hayo yameanza kuzaa matunda na kuleta mabadiliko kwa wasimamizi na watendaji wa mfuko huo.

“Tunakushukuru Mhe. Waziri Jafo kwa kufanya ziara Zanzibar mwezi Julai mwaka huu na zaidi ni yale mafunzo yaliyotolewa na Ofisi yako kuhusu Sheria ya Mfuko wa Kuchochea Maendeleo ya Jimbo kwa sisi Wabunge na Watendaji wa Halmashauri kwa upande wa Zanzibar na PEMBA…Mambo sasa yamebadilika na tunakwenda vizuri” amesema Ngwali.

Aidha Ngwali amesema kabla ya mafunzo hayo, kulikuwa na mkanganyiko kuhusu usimamizi wa fedha hizo jambo lililokuwa likizua malalamiko na lawama kwa watendaji na wasimamizi kuchelewesha fedha katika majimbo na pia na Viongozi kutofahamu taratibu zinazotumika katika ugawaji, utoaji na na upatikanaji wa fedha hizo kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais.

Aidha Ngwali aliipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa kupeleka kiasi kikubwa cha fedha za miradi ya maendeleo Zanzibar na kutolea mfano fedha zilizotengwa kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa Uwanja wa Ndege Pemba na ukarabati wa ujenzi wa barabara ya Wete-ChakeChake ambapo kiasi cha TZS Trilioni 1.4 zimetengwa kutekeleza miradi hiyo.

Nae Mjumbe mwingine wa Kamati hiyo, Mhe. Abdullah Ally Mwinyi ameipongeza Ofisi ya Makamu wa Rais kwa juhudi kubwa inazoendelea kuzifanya katika kuendelea kutoa mafunzo usimamizi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo na kueleza kuwa mafunzo hayo yatawezesha kuongeza ufanisi katika usimamizi na uendeshaji wa mfuko huo ambao umekusudia kutekeleza miradi inayoibuliwa na wananchi katika Majimbo.

Mfuko wa Kuchochea Maendeleo ya Jimbo ulianzishwa kwa Sheria Namba 16 ya mwaka 2009 iliyotungwa na Bunge, ambapo Fedha za Mfuko hutolewa katika Majimbo yote ya uchaguzi Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar kwa kuzingatia vigezo maalum vilivyopitishwa kisheria. 

About the author

Alex Sonna