Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

marmaris escort

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

ibizabet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pokerklas giriş

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

slot siteleri

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

Featured Kitaifa

SERIKALI YAJIPANGA KUFUFUA VIWANDA VYA KOROSHO-MAJALIWA

Written by Alex Sonna

ZAO la korosho ni miongoni mwa mazao ya kimkakati la biashara yanayotegemewa katika kukuza uchumi wa Taifa kutokana na kuliingizia Serikali fedha za kigeni.

Mbali na kutegemewa na Taifa pia ni zao kuu la biashara kwa wananchi wa mikoa ya kusini pamoja na mikoa mingine ambayo kwa sasa imeanza kulima zao hilo.

Kwa muda mrefu Tanzania imekuwa ikiuza korosho ghafi na hivyo kulikosesha Taifa baadhi ya mapato pamoja na ajira ikilinganishwa na kuuza korosho iliyobanguliwa.

Hivi karibu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alifanya ziara mkoani Mtwara pamoja na mambo mengine aliwasisitiza wakulima wajipange kuuza korosho iliyobanguliwa ili kuongeza tija.

Mheshimiwa Majaliwa alisema kuwa Serikali imedhamiria kufufua viwanda vya kubangua korosho lengo likiwa ni kuliongezea thamani zao kwa mkulima na Taifa kwa ujumla.

Alisema kitendo cha kuuza korosho ghafi kinalikosesha Taifa na wakulima mapato, hivyo inataka manufaa yote yatokanayo na zao la korosho yabaki nchini.

“Wakati wa kubadilika umefika, tutumie fursa hii kujenga viwanda vya kubangulia korosho na kuwawezesha wakulima kubangua na kuuza katika masoko ya nje na ndani.”

Waziri Mkuu alisema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anahitaji kuona Tanzania inauza korosho zilizobanguliwa nchini badala ya kuuza korosho ghafi.

“Hivyo, wakulima wa zao la korosho fanyeni kilimo cha kibiashara kwa kuacha kuuza korosho ghafi na badala yake muuze korosho zilizobanguliwa ambazo zimeongezwa thamani.“

Alisema kilo moja ya korosho iliyobanguliwa ni takribani shilingi 13,000 na ghafi ni shilingi 2,000, ukibangua kilo nne za korosho ghafi unapata kilo moja ya ya korosho iliyobanguliwa.

Alisema kitendo cha kusafirisha korosho ghafi nje ya nchi kinawakosesha baadhi ya mapato yakiwemo yatokanayo na maganda ya korosho ambayo yanatumika kutengenezea mafuta.

Aidha, Waziri Mkuu alitoa wito kwa wamiliki wa viwanda vya kubangua korosho watoe nafasi kwa wakulima kwenda kubangua korosho zao na kuwatoza gharama za ubanguaji.

“Wenye viwanda igeni mfano wa kiwanda cha kubangua korosho cha Organic Growth Limited (OGL) kilichopo Tandahimba ambacho kinaruhusu wakulima kwenda kubangua.”

Aidha, Waziri Mkuu alitumia fursa hiyo kuwaagiza watendaji wanaosimamia zao hilo wahakikishe wakulima wanapata pembejeo kulingana na mahitaji yao na kwa wakati.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa kiwanda cha OGL Aldina Fakiri alisema wamejipanga ipasavyo kuhakikisha asilimia kubwa ya korosho inauzwa ikiwa imebanguliwa.

Alisema mapato mengi yanapotea kwa kuuza korosho ghafi, ambapo alitoa mfano wa maganda ya korosho ambayo yanatumika kuzalisha mafuta kwani ukiuza ghafi huyapati.

Aldina Fakiri alisema kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kubangua tani 3,000 za korosho ikiwa ni sawa tani 720 za korosho zilizobanguliwa kwa mwaka.

Alisema kiwanda chao kitatoa fursa kwa wakulima kwenda kubangua korosho zao na kuwatoza gharama za ubanguaji. “Pia tutashirikiana nao katika kuwatafutia masoko.“

Alisema kiwanda ambacho kipo katika hatua za majaribio ujenzi wake umegharimu shilingi bilioni 3.5 kinatarajiwa kutoa ajira 200 kati yake 50 ni za kudumu na 150 zitakuwa za muda.

Kwa upande wao, wakulima wa zao la korosho waliishukuru Serikali kwa uamuzi wake huo wa kuendelea kuchochea ujenzi wa viwanda vya kubangulia korosho nchini.

Wakulima hao walisema uwepo wa viwanda utawawezesha kubangua korosho na kuziuza zikiwa zimeongezewa thamani badala ya kuuza korosho ghafi kama ilivyo sasa.

Alife Kajonje mmoja wa wakulima hao alisema ujio wa viwanda vya kubangulia korosho ni mkombozi kwa mkulima wa korosho na Taifa kwa ujumla kwani vinakwenda kuongeza thamani ya zao hilo, pia kupunguza tatizo la ajira.

About the author

Alex Sonna