Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

betsat

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

MADEREVA WASHAURIWA KUPATA MAFUNZO YA UDEREVA

Written by Alex Sonna

 

Na Okuly Julius-Dodoma
 

MKUU wa chuo cha mafunzo ya udereva cha Wide Institute of Driving jijini Dodoma, Faustine Matina ameishauri serikali kuweka mikakati ya kukomesha ajali nchini ikiwemo mafunzo maalum ya mara kwa mara kwa madereva wa serikali ambao wamekuwa wakilalamikiwa kutozingatia sheria za usalama barabarani.

 
 
Matina, amesema hayo Leo Agosti 19,2023 jijini Dodoma, wakati wa mafunzo kwa madereva wa malori wasiokuwa na vyeti vya udereva ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Jeshi la Polisi.
 
 
Mapema mwaka huu waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Hamad Yusuf Masauni, alitoa maagizo kwa jeshi la polisi kufanya ukaguzi wa leseni za madereva wa malori na mabasi ili kukomesha ajali zilitokea mfululizo katika maeneo mbalimbali nchini.
 
 
Masauni, aliagiza madereva wote ambao wanaleseni lazima wawe na vyeti vya mafunzo ya udereva kutoka vyuo vinavyotambulika na atakaye kosa sifa hatua zichukuliwe.
 
 
“Kazi ya vyuo vya udereva ni kuhahakikisha kuwa tunaandaa madereva bora ili kukabiliana na tatizo la ajali za barabarani kutokana na uzembe hapa leo tunao madereva wa malori ambao wanaleseni lakini hawana mafunzo ya udereva tunawafunisha sheria za usalama barabarani, utii wa sheria bila shurti kuwa watiifu wanapokuwa njiani na vyombo vya moto”amesema Matina
 
 
Aidha, amesema pamoja na serikali kutoa maagizo hayo utaratibu huo unapaswa kuwa endelevu ili kusaidia madereva wote ambao wanaendesha vyombo vya moto bila kuwa na mafunzo.
 
 
“Tunaomba hili liwe endelevu ili madereva wote wapate mafunzo na kukomesha ajali zinazotokea kwa makosa ya kibinadamu lakini pia serikali iandae program maalum kwa ajili ya madereva wa serikali ambao wamekuwa wakilalamikiwa namna wanavyoendesha vyombo vyao hawazingatii sheria za usalama barabarani”amesema Matina
 
 
Amesema madereva ni binadamu ambao wanahitaji kupata muda wa mafunzo ya kukumbushwa wajibu wao mara kwa mara kwakuwa mambo mengi yanabadilika kila siku hivyo serikali inapaswa kuzingatia ushauri huo kwa ajili ya kukomesha ajali.
 
 
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Umoja wa madereva Tipa Dodoma (UMATIDO) Praygod Malle,alikishukuru chuo hicho kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani kwa kutoa mafunzo hayo.
 
 
“Tunaishukuru serikali yetu kwa kutoa maagizo ambayo yamewezesha leo madereva kupata mafunzo ambayo yatakwenda kupunguza tatizo la ajali nchini ambazo nyingi zimekuwa zikitokea kwa makosa ya kibinadamu”amesema Malle
 
 
Hata hivyo, ametoa wito kwa madereva wote ambao wanaendesha vyombo vya moto bila kuwa na mafunzo kuchangamkia fursa hiyo ili kuepuka kusumbuliwa na mamlaka katika oparesheni mbalimbali za ukaguzi wa leseni.

 

About the author

Alex Sonna