Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

SERIKALI YAFUTA KODI, TOZO NA USHURU 374 ZA WAFANYABIASHARA

Written by Alex Sonna

WAZIRI wa Viwanda na Biashara  Dkt. Ashatu Kijaji,akizungumza  wakati wa Kikao kazi na wafanyabiashara  wa jijini la  Dodoma,wajasiriamali na wafanyabiashara pamoja na majukwaa yanayojihusisha na ujasiriamali kilichofanyika jijini Dodoma.

 

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe,,akizungumza wakati wa Kikao kazi na wafanyabiashara  wa jijini la  Dodoma,wajasiriamali na wafanyabiashara pamoja na majukwaa yanayojihusisha na ujasiriamali kilichofanyika jijini Dodoma.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule,akitoa salamu za Mkoa wake wakati wa Kikao kazi cha Waziri wa Viwanda na Biashara  Dkt. Ashatu Kijaji,na wafanyabiashara  wa jijini la  Dodoma,wajasiriamali na wafanyabiashara pamoja na majukwaa yanayojihusisha na ujasiriamali kilichofanyika jijini Dodoma.

     

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri  wa Viwanda na Biashara  Dkt. Ashatu Kijaji,(hayupo pichani) akizungumza  wakati wa Kikao kazi na wafanyabiashara  wa jijini la  Dodoma,wajasiriamali na wafanyabiashara pamoja na majukwaa yanayojihusisha na ujasiriamali kilichofanyika jijini Dodoma.

    

Wafanyabiashara mbalimbali wakichangia hoja wakati wa Kikao kazi na wafanyabiashara  wa jijini la  Dodoma,wajasiriamali na wafanyabiashara pamoja na majukwaa yanayojihusisha na ujasiriamali na Waziri  wa Viwanda na Biashara  Dkt. Ashatu Kijaji.

Na.Alex Sonna-DODOMA

Serikali imeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara kwa kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wawekezaji na wafanyabiashara nchini.

Hayo yameelezwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji alipokutana wafanyabiashara pamoja na wajasiriamali wa Mkoa wa Dodoma kwa ajili ya kuwasikiliza pamoja na kutatua changamoto zinawazowakabili.

Dk. Kijaji amesema kuwa tangu kuanza kutekelezwa kwa Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara hapa nchini (Blue Print), Serikali imefanikiwa kuondoa kodi, tozo na ushuru mbalimbali 374 kati ya 380.

“Tulianza Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara mwaka 2019 na tulitamani kuondoa kodi, tozo pamoja na ushuru mbalimbali zilizokuwa zikilalamikiwa na wafanyabiashara nchini ambazo zilikuwa 380 kwa miaka Mitano.

Lakini leo tuko mwaka wa Nne tunatekeleza na tumeshaondoa kodi, tozo na ushuru 374 zimebaki Sita tuu na Serikali ya Awamu ya Sita imedhamiria kuzimaliza changamoto hizi zote lengo likiwa ni kuhakikisha mnafanya biashara katika mazingira mazuri na wawekezaji wanawekeza katika mazingira mazuri na yanayoibuka tunayabeba na kuendelea kushughulika nayo,” amesema Waziri Kijaji.

Dk. Kijaji pia ameagiza kitabu kinachoainisha kodi hizo zilizoondolewa kichapishwe ndani ya wiki moja na kifikishwe kwa Wakuu wa Mikoa ili wafanyabiashara pamoja na wajasiriamali wajue kodi zipi zilizoondolewa kupunguza migogoro kati ya wafanyabishara na serikali.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, amempongeza Waziri Kijaji kwa kukutana na kuzungumza na wafanyabiashara hao pamoja na kutatua changamoto na kero zilizokuwa kikwazo katika utekelezaji wa biashara zao.

 ”Mkoa wa Dodoma upo tayari kupokea wawekezaji na kuongeza idadi ya viwanda ili kuongeza na kukuza mapato ya Serikali na uchumi wa nchi ya Tanzania.”amesema Mhe.Senyamule

About the author

Alex Sonna