slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bos

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

casibom giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

jojobet giriş

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

casibom

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

celtabet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

meritking

jojobet

trust score weak 3

jojobet

bets10 giriş

slot siteleri

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

timebet

matbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

radissonbet

sekabet

grandpashabet

matbet

jetbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Featured Kitaifa

WAZIRI BITEKO ATAKA WAFANYABIASHARA WA MADINI KUREJESHA FEDHA ZA KIGENI BAADA YA MAUZO

Written by Alex Sonna

Na.Mwandishi Wetu-Dodoma

Wafanyabiashara wa Madini wametakiwa kuhakikisha wanarejesha nchini fedha za kigeni zinazotokana na mauzo ya madini nje ya nchi ili zisaidie kuimarisha uchumi wa nchi.

Hayo yamebainishwa Agosti 16, 2023 jijini Dodoma na Waziri wa Madini Dkt.Doto Biteko wakati wa kikao chake na wafanyabiashara hao kutoka nchi nzima na kuhudhuriwa na Viongozi Waandamizi wa Wizara na Taasisi zake, Mwakilishi kutoka Benki Kuu ya Tanzania na Maafisa Madini Wakazi kutoka mikoa mbalimbali nchini.

Ameongeza kwamba, Sekta ya madini nchini imetawaliwa na uwekezaji wa mitaji kutoka nje ya nchi ambapo kwa mujibu wa kifungu cha 5.1 cha Sera ya madini kinasisitiza ustawi wa masuala ya kiuchumi ikiwemo ustawi wa huduma za benki nchini ili kuleta manufaa kwa Serikali na sekta binafsi.

Amesema kutokana na kifungu hicho, wizara ingependa kuona fedha za mauzo ya madini zinarejeshwa nchini kama Sheria inavyoelekeza kupitia mifumo ya kibenki na kwa kuzingatia sheria zote za nchi na kuongeza kwamba, hayo yote yanalenga kuboresha shughuli za madini nchini kutokana na umuhimu wa Sekta hiyo kiuchumi.

Pia, Dkt. Biteko ametumia jukwaa hilo kuwapongeza wafanyabiashara hao kwa mchango wao mkubwa ulioiwezesha Sekta ya Madini kuwa kinara katika kuliingizia taifa fedha za kigeni na kueleza kuwa, mwaka 2022 madini yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 3,395.3 yaliuzwa nje ya nchi sawa na asilimia 56 ya mauzo yote ya bidhaa nje ya nchi. ‘’ Mauzo hayo ni ongezeko la asilimia 9 ikilinganishwa na mauzo ya Dola za Marekani milioni 3,116.40 mwaka 2021,’’ amesema Biteko

Vilevile, Dkt. Biteko ametambua mchango wa wafanyabiashara hao kupitia Masoko ya Madini na kusema, katika kipindi cha Mwaka wa Fedha 2022/23 Julai 2022 hadi Juni 2023, waliweza kuuza madini nje ya nchi yenye thamani ya Shilingi trilioni 2.24.

‘’Katika kipindi hicho, Serikali ilikusanya kiasi cha Shilingi bilioni 157.44 kama malipo ya mrabaha na ada ya ukaguzi, sawa na asilimia 25 ya mrabaha uliokusanywa kwa madini yote. Nachukua fursa hii kuwapongeza kwa mchango wenu huo,’’ amesema Dkt. Biteko.

Amesema pamoja na mafanikio hayo, kumekuwepo na changamoto ya baadhi ya wafanyabiashara wa madini kuuza madini yao nje ya nchi bila kurejesha fedha za mauzo kwenye benki za hapa nchini na kueleza kwamba, Mwaka wa Fedha wa 2022/23 wafanyabiashara wa madini kupitia kampuni zao walisafirisha nje ya nchi jumla ya madini yenye thamani ya Dola za Marekani 952,926,784.

Amefafanua kwamba, bado kiwango cha fedha za kigeni kinachoingia hakilingani na thamani ya madini yanayouzwa na kuwataka kutumia kikao hicho kujitathmini na kueleza wizara kuwa, inataka kuongeza mchango wa fedha za kigeni unaotokana na Sekta ya Madini.

‘’Wizara ya Madini imeandaa mpango mkakati wa kuongeza mauzo ya madini nje ya nchi. Mpango huo utahakikisha kuwa Sekta ya Madini inaendelea kuwa ni miongoni mwa Sekta zinazochangia kwa kiasi kikubwa katika kuingiza fedha za kigeni nchini. Tunataka mlete fedha za kigeni, hakuna mtu atakayechukua hela yako tunachotaka Sekta ya Madini iwezeshe kununua bidhaa nyingine muhimu, tupate fedha za kigeni za kutosha kukuza uchumi wetu,’’ amesisitiza Biteko.

Awali, akizungumza katika kikao hicho, Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali amesema kikao hicho kimelenga kujadili mwenendo mzima wa biashara ya madini.

Vilevile, amesema Wizara imepunguza idadi ya leseni za wafanyabiashara wa madini kutoka 700 hadi 150 ili kubaki na wafanyabiashara wachache wanaokidhi vigezo.

Aidha, akihitimisha kikao hicho, Katibu Mkuu ameitaja timu ya wataalamu 9 kutoka upande wa Serikali ikiwemo Wizara ya Madini, Tume ya Madini, Wizara ya Fedha, Benki Kuu Tanzania, na Chama Cha Wafanyabiashara wa Madini Tanzania (TAMIDA) na Shirikisho la Vyama Vya Wachimbaji Wadogo wa Madini Tanzania (FEMATA) kwa ajili ya kutathmini mwenendo wa biashara ya madini nje ya nchi.

Kwa upande wake, Katibu wa TAMIDA Leopold Kimaro ameishauri Serikali kuangalia masuala mbalimbali ikiwemo utoaji leseni kwa wafanyabiashara wa madini na kuongeza kwamba, chama hicho kiko tayari kushirikiana na Serikali kuhakikisha suala hilo la mwenendo wa biashara ya madini yanayouzwa nchi ya nchi linafanyiwa kazi.

About the author

Alex Sonna