slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bos

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

salfk

NervEase

https://r10.net/

https://blog.r10.net

https://r10.net

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

imajbet

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

holiganbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

imajbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

rsedf

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

gobahis, gobahis giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

goldenbahis

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

skamn

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

holiganbet giriş

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

lunabet

artemisbet

kavbet

kavbet

imajbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

kavbet giriş

imajbet

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

goldenbahis giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

adljojobet

bets10 giriş

tempobet

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet giriş

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

matbet, matbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

goldenbahis

Goldenbahis

tempobet giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

Marsbahis

holiganbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler 2026

deneme bonusu 2026

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

deneme bonusu

sekabet

pusulabet

grandpashabet

marsbahis

jojobet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

pasacasino

pokerklas

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU  ATAKA MAGARI MABOVU YALIYOEGESWA KWA MUDA MREFU MPAKA IFIKAPO AGOSTI 3O YAWE YAMETENGENEZWA

Written by Alex Sonna

WAZIRI  Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa,akizungumza  leo Agosti 7,2023 jijini Dodoma wakati akikabidhi magari 30 na vifaa vya ofisi za mikoa za Idara ya Kazi na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa Sherehe za Sikukuu ya Wafanyakazi (Meimosi), iliyofanyika mkoani Morogoro, Mei mwaka huu.

WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi magari 30 na vifaa vya ofisi za mikoa za Idara ya Kazi na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa Sherehe za Sikukuu ya Wafanyakazi (Meimosi), iliyofanyika mkoani Morogoro, Mei mwaka huu.

RAIS  wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Bw. Tumaini Nyamuhokya ,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi magari 30 na vifaa vya ofisi za mikoa za Idara ya Kazi na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa Sherehe za Sikukuu ya Wafanyakazi (Meimosi), iliyofanyika mkoani Morogoro, Mei mwaka huu.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri  Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (hayupo pichani) akizungumza wakati akikabidhi magari 30 na vifaa vya ofisi za mikoa za Idara ya Kazi na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa Sherehe za Sikukuu ya Wafanyakazi (Meimosi), iliyofanyika mkoani Morogoro, Mei mwaka huu.

WAZIRI  Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa,akikata utepe wakati  akikabidhi magari 30 na vifaa vya ofisi za mikoa za Idara ya Kazi na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa Sherehe za Sikukuu ya Wafanyakazi (Meimosi), iliyofanyika mkoani Morogoro, Mei mwaka huu hafla iliyofanyika leo Agosti 7,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI  Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa,akiwasha gari  mara baada ya kukabidhi  magari 30 na vifaa vya ofisi za mikoa za Idara ya Kazi na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa Sherehe za Sikukuu ya Wafanyakazi (Meimosi), iliyofanyika mkoani Morogoro, Mei mwaka huu hafla iliyofanyika leo Agosti 7,2023 jijini Dodoma.

SEHEMU ya Magari 30 na vifaa vya ofisi za mikoa za Idara ya Kazi na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) vilivyokabidhiwa leo Agosti 7,2023 jijini Dodoma.

KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi,akitoa neno la shukrani mara baada ya Waziri  Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa,kukabidhi  Magari 30 na vifaa vya ofisi za mikoa za Idara ya Kazi na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa Sherehe za Sikukuu ya Wafanyakazi (Meimosi), iliyofanyika mkoani Morogoro, Mei mwaka huu.

WAZIRI  Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhi  magari 30 na vifaa vya ofisi za mikoa za Idara ya Kazi na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa Sherehe za Sikukuu ya Wafanyakazi (Meimosi), iliyofanyika mkoani Morogoro, Mei mwaka huu.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI  Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa,ameuagiza Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kuhakikisha ifikapo Agosti 30 mwaka huu magari yote mabovu ya serikali yaliyoegeshwa kwa muda mrefu katika karakana za wakala huo yatengenezwe na taarifa ya matengenezo hayo apatiwe.

Waziri Mkuu Majaliwa ametoa  maagizo hayo  leo Agosti 7,2023 jijini Dodoma wakati akikabidhi magari 30 na vifaa vya ofisi za mikoa za Idara ya Kazi na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), ikiwa ni utekelezaji wa ahadi ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoitoa wakati wa Sherehe za Sikukuu ya Wafanyakazi (Meimosi), iliyofanyika mkoani Morogoro, Mei mwaka huu.

Aidha amewataka kuongeza weledi katika utendajikazi wake kwa kuzingatia mpango maalum wa matengenezo wa magari ya umma.

”TEMESA,hadi Agosti 30 mwaka huu Mnapaswa kutengeneza magari yote ya serikali yaliyoegeshwa katika karakana zenu kwa muda mrefu kisha taarifa hiyo nikabidhiwe pia nataka muongeza weledi katika utendaji kazi wenu kwa kuzingatia mpango maalum wa matengenezo wa magari ya umma.”amesema Waziri Mkuu

Aidha, aamesema kwa magari ambayo yametumika muda mrefu na matengenezo yake yanatumia gharama kubwa, uwekwe mpango maalum wa kuwakopesha watumishi wa umma kwa kuzingatia sheria, badala ya kuendelea kuegeshwa katika ofisi za halmashauri au karakana za TEMESA.

“Kila idara inapaswa kusimamia matumizi ya magari na kuyatunza ili yaweze kudumu kwa muda mrefu. Magari ya serikali yanapaswa kutumika kwa shughuli za umma, sio binafsi na wapewe madereva wenye uweledi,” amefafanua

 katika magari hayo ambayo OSHA imekabidhiwa magari 13, anatarajia wakala huo utaongeza kaguzi katika maeneo ya kazi ili kuendelea kusimamia mazingira bora ya wafanyakazi katika maeneo yao ya kazi.

Pia, kwa Ofisi za Mikoa Idara ya Kazi ambazo zimepatiwa magari 17, ametoa wito kwamba yatumike kwa shughuli za kulinda haki na kuimarisha ushirikiano baina ya mfanyakazi, mwajiri, vyama vya wafanyakazi.

Amesema magari na vifaa hivyo vimetolewa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya Rais Dk. Samia ambaye aliridhia kutoa fedha za ndani kununua vitendeakazi hivyo, baada ya Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUTCA) Tuamaini Nyamhoka, kueleza kwamba baadhi ya taasisi za serikali zinazoshughulika na masuala ya wafanyakazi zina vitendea kazi vichache.

Aidha Waziri Mkuu Majaliwa amewaagiza Maofisa Masuuli na wanaosimamia usalama kuwafuatilia na kuwachukulia hatua madereva wa serikali wanaoiba mafuta kwenye magari kwani vitendo hivyo ni sawa na uhujumu uchumi wa nchi.

“Natoa maagizo kwa madereva wote wa serikali wazingatie sheria za nchi ikiwemo usalama barabarani. Kuendesha magari ya serikali sio kigezo cha kuvunja sheria. Pia, maofisa masuuli na maofisa usalama fuatilieni kisha mchukue hatua kwa madereva wa serikali wanaodanganya umbali wa safari na kuiba mafuta,” amesema

Waziri Mkuu amesema kuwa wizi wa mafuta katika magari ya serikali ni sawa na vitendo vya uhujumu uchumi, hivyo madereva watakaobaini kufanya vitendo hivyo wachukuliwe hatua.

Awali, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, amesema ofisi yake itahakikisha inasimamia magari na vifaa hivyo ili vilete tija

”Vitendea kazi hivyo ni muhimu kwani Serikali ya Rais Dk. Samia imedhamiria kwa kutekeleza mikakati ya kuimarisha uwekezaji na kuboresha mazingira ya wafanyakazi.”amesema Prof.Ndalichako

Pia, amesema  serikali inaendelea kuimarisha nguvu kazi kupitia programu ya kitaifa ya kukuza ujuzi inayotolewa kwa watumishi wa umma na sekta binafsi.

Kwa upande wake, Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Bw. Tumaini Nyamuhokya amesema kuwa anamshukuru Rais Dkt. Samia kwa kutekeleza maombi yao kwa haraka.

“Wakati wa sherehe za Mei Mosi, 2023 tuliiomba Serikali ikumbuke taasisi zake za mikoani. Tulimuomba Mheshimiwa Rais kwa sababu tunaona hali halisi huku mikoani. Hatukutegemea kama utekelezaji ungekuwa wa haraka hivi, tunamshukuru sana. Tunatumaini hayo magari yataongeza ajira kwa madereva 30.”

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Chama cha Waajiri (ATE), Meneja wa Kanda ya Kati Dodoma, Bw. Selestine Leonard amewataka  waajiri na wafanyakazi waendelee kuzingatia usalama wa mahali pa kazi.

“Niwasihi waendelee kuzingatia uadilifu na hasa kujali muda wa kazi. Pia wajiepushe na vitendo vya rushwa mahali pa kazi. Sisi ATE tutaendelea kushirikiana nao,” amesema 

About the author

Alex Sonna