Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

robinbet

timebet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

matbet

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

nerobet

deneme bonusu

casinofast giris

matbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

tarafbet

meritbet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betsat

jojobet

marsbahis

ultrabet

mavibet

mavibet

setrabet

deneme bonusu veren siteler 2026

perabet

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

matbet giriş

betlike giriş

mavibet giriş

matbet güncel giriş

mavibet

mavibet

matbet giriş

matbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

Featured Kitaifa

SHINYANGA WAADHIMISHA SIKU YA LISHE NA WIKI YA UNYONYESHAJI

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akigawa uji wenye lishe kwa watoto wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akigawa uji wenye lishe kwa watoto wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji

 

 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amewataka akina mama kuhakikisha wanawanyonyesha watoto wao mara kwa mara kadri wanavyotaka huku akisisitiza kuwa kunyonyesha maziwa ya mama pekee miezi sita ya mwanzo ya maisha ya mtoto ndiyo njia bora na salama ya kumpatia virutubisho vyote muhimu kwa ukuaji na maendeleo ya mtoto.
 
Mkuu huyo wa mkoa ametoa wito huo leo Jumamosi Agosti 5,2023 wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji yaliyofanyika katika Soko la Ndala Manispaa ya Shinyanga ambapo pia ameongoza zoezi kupima uzito na urefu sambamba na kuwapatia watoto chakula chenye lishe.
 
 
“Kama tunavyofahamu unyonyeshaji wa maziwa ya mama huchangia kwa kiasi kikubwa katika kuboresha afya, kulinda uhai na maisha ya mtoto. Wataalamu wetu wanashauri Mtoto anyonyeshwe ndani ya saa moja baada ya kuzaliwa ili kusaidia maziwa yatoke mapema lakini pia Mtoto anyonyeshwe maziwa ya mama pekee bila ya chakula na kinywaji kingine (hata maji) katika miezi sita ya mwanzo”,amesema Mhe. Mndeme.
 
 
Ameeleza kuwa maziwa ya mama yana sifa ya kipekee ya kuwa na kinga ya mwili ambayo humkinga mtoto dhidi ya magonjwa, hivyo kuchangia kupunguza vifo vya watoto chini ya umri wa miaka mitano na kujenga mahusiano mazuri kati ya mama na mtoto wake.
 
 
“Mtoto anyonye mara kwa mara kadri anavyohitaji ili maziwa yatoke kwa wingi na ya kutosha. Mnyonyeshe mtoto wako titi moja kwanza mpaka alale au aachie mwenyewe ndipo umpe titi lingine ili ashibe na asiwe analialia. Usimnyang’anye mtoto ziwa mdomoni, ziwa la mama ni hoteli ya mtoto”,amesema Mhe. Mndeme.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akiwa amembeba mtoto aliyenyonyeshwa miezi sita bila kupewa chakula kingine.
“Usimwachishe mtoto kunyonya kwa sababu ya ujauzito; endelea kumnyonyesha Mtoto mpaka mimba ifikishe miezi saba (7). Mtoto anapofikisha miezi sita (6), aanzishiwe vyakula vya nyongeza lakini aendelee kunyonyeshwa maziwa ya mama hadi atimize miaka miwili (2) au zaidi”,ameongeza Mkuu huyo wa Mkoa.
 
Amefafanua kuwa ili kufanikisha unyonyeshaji kama mkakati mojawapo wa kuboresha lishe ya watoto, jamii yetu inashauriwa kuwa baba anao wajibu wa kumpunguzia mama kazi wakati wa ujauzito na wa kunyonyesha ili kuboresha Afya ya mama na mtoto na familia imsaidie mama aweze kunyonyesha mtoto maziwa yake pekee bila hata maji kwa miezi sita ya mwanzo.
 
 
“Tunaelewa wazi kuwa pamoja na upimaji maendeleo ambayo Mkoa wetu umekuwa ukiyapata katika maeneo mbalimbali, bado utapiamlo umeendelea kuathiri jamii hususani katika nyanja za afya, elimu na uchumi; hivyo kusababisha kasi ya kupungua kwa umaskini kutoridhisha”,ameongeza.
 
Amesema lishe duni si tu inaathiri maendeleo ya mtoto lakini pia inaathiri ukuaji wake kimwili na kiakili hatimaye kuathiri mchango wake katika maendeleo ya Taifa kwa kipindi chote cha uhai wake.
 
“Utafiti wa kitaifa uliofanyika hivi karibuni, mwaka 2022, unaonesha kuwa kiwango cha Udumavu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano katika Mkoa wetu kimepungua kutoka asilimia 32.1 mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 27.5 mwaka 2022. Sababu kubwa ya utapiamlo huu kwa watoto ni ulishaji usio sahihi ambao huchangiwa na majukumu mengi yanayomkabili mama na hivyo kukosa muda wa kutosha wa kumtunza mtoto”,ameeleza.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme.
 
Amesema Serikali inatambua kuwa bado zipo changamoto nyingi katika kukabiliana na utapiamlo hapa nchini ambapo changamoto kubwa kuliko zote ni ile ya uelewa mdogo wa masuala ya lishe katika jamii ikiwemo unyonyeshaji, kuanzia ngazi ya familia hadi kwa watendaji na viongozi wa Serikali.
 
Amesema uelewa mdogo kuhusu masuala ya lishe pia umesababisha masuala ya lishe kutopewa kipaumbele katika jamii ambako ndiko waliko watoto na wanawake wengi wanaohitaji zaidi huduma bora za lishe.
 
 
“Ili kuhakikisha kuwa lishe inaendelea kuimarika katika Mkoa wetu, natoa wito kwa watendaji wa kata, vijiji na mitaa ndani ya Mkoa wa Shinyanga kuhakikisha mnasimamia na kuadhimisha Siku za Afya na Lishe za Vijiji/Mitaa kila robo mwaka (miezi 3) kwa kushirikiana na wataalamu wa afya na lishe ngazi zote ili kutoa elimu kwa wananchi wote”,amesema Mkuu wa Mkoa.
 
 
“Aidha, natoa wito kwa wananchi wote kuzingatia ushauri wa kitaalamu unaotolewa ili kuboresha lishe na afya ya mama na mtoto. Kwa kufanya hivyo kizazi chetu kitakuwa salama, na hivyo kuongeza uzalishaji”,amesema.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akigawa uji wenye lishe kwa watoto.
 
Katika hatua nyingine amesema nchi ya Tanzania imechukua hatua mbalimbali kuendeleza unyonyeshaji ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Ajira na Mahusiano kazini ya mwaka 2004 inayotambua kuwa unyonyeshaji ni haki ya mtoto na hivyo hutoa mafao mbalimbali ya uzazi ili kuwawezesha wazazi kumlea mtoto hususani kumnyonyesha ipasavyo.
 
 
Ameeleza kuwa Mama mwajiriwa anayenyonyesha hupewa ruhusa ya masaa mawili kila siku ili akamnyonyeshe mtoto wake. Pia, sheria hiyo hutoa fao la likizo ya uzazi kwa mama na baba wa mtoto. Mama anapata likizo ya siku 84 kama amejifungua mtoto mmoja na siku 100 kwa watoto zaidi ya mmoja. Sheria hii pia humpa baba likizo ya siku 5 ndani ya wiki moja aliyojifungua mama.
 
 
“Aidha sheria hiyo inakataza mama aliye ajiriwa na ambaye ananyonyesha au mjamzito kufanya kazi ngumu au za hatari kwa afya yake au ya mtoto wake. Kwa sababu hii, tunatoa wito kwa Taasisi zisizo za kiserikali, Taasisi za kijamii, kidini, jamii yenyewe na familia kwa ujumla kuwasaidia wanawake ambao hawapo kwenye ajira rasmi ili waweze kuwanyonyesha watoto wao ipasavyo”,ameongeza Mhe. Mndeme.
 
 
Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile amesema Maadhimiho ya Siku ya Lishe Mkoa Shinyanga yanalenga kuhamasisha na kutoa elimu ya lishe kwa jamii ikiwa ni mkakati wa kupunguza udumavu kwa watoto chini ya miaka 5.
 
“Maadhimisho haya yana lengo la kutoa elimu ya ulishaji wa watoto wadogo na wachanga ikiwemo kusisitiza unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee kwa miezi sita (6) ya mwanzo ya maisha ya mtoto lakini pia kuhamasisha jamaii kuzingatia Lishe bora ili kuwa na afya imara”,amesema Dkt. Ndungile.
 
 
“Leo tunaadhimisha siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga ambayo inalenga kuongeza uelewa kwa wananchi juu ya Lishe tukiongozwa na kauli mbiu “Saidia unyonyeshaji, wezesha wazazi kulea watoto na kufanya kazi zao kila siku”. Lakini pia tunaadhimisha Wiki ya Unyonyeshaji inayoadhimishwa Duniani kote kila mwaka kuanzia tarehe 01 hadi 07 Agosti ambayo imekuwa ikifanyika tangu mwaka 1992 ikilenga kusisitiza umuhimu wa kulinda, kuendeleza na kusaidia unyonyeshaji na ulishaji bora wa watoto”,amesema Dkt. Ndungile.
 
 
Amesema Wiki ya unyonyeshaji Duniani hutoa fursa maalum kwa watu wote kuungana pamoja katika kukumbushana umuhimu wa kuendeleza na kuimarisha unyonyeshaji maziwa ya mama kama njia bora zaidi ya kujenga afya ya mama na mtoto kimwili na kiakili
 
 ANGALIA PICHA HAPA CHINI

 Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji yaliyofanyika leo Jumamosi Agosti 5,2023 katika Soko la Ndala Manispaa ya Shinyanga – Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji yaliyofanyika leo Jumamosi Agosti 5,2023 katika Soko la Ndala Manispaa ya Shinyanga
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungule akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji yaliyofanyika leo Jumamosi Agosti 5,2023 katika Soko la Ndala Manispaa ya Shinyanga
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji yaliyofanyika leo Jumamosi Agosti 5,2023 katika Soko la Ndala Manispaa ya Shinyanga
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji yaliyofanyika leo Jumamosi Agosti 5,2023 katika Soko la Ndala Manispaa ya Shinyanga
Afisa Lishe Mkoa wa Shinyanga Yusuph Hamis akielezea kuhusu masuala ya lishe na unyonyeshaji wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Afisa Lishe Manispaa ya Shinyanga Amani Mwakipesile akielezea kuhusu makundi ya vyakula wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akiwa kwenye maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Wananchi wakiwa kwenye maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Wananchi wakiwa kwenye maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Burudani ya ngoma za asili za kucheza na nyoka ikiendelea kwenye maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Diwani wa kata ya Ndala Zamda Shaban akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (aliyevaa nguo nyeusi) akicheza muziki (Kwaito) na Wanafunzi wa Chuo cha Ualimu Shinyanga (Shy COM) wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji. Katikati aliyevaa suruali ni Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akimpa zawadi mtoto aliyenyonyeshwa miezi sita bila kupewa chakula kingine na mama yake (aliyeshikilia kipaza sauti) wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akimpa zawadi mtoto aliyenyonyeshwa miezi sita bila kupewa chakula kingine na mama yake wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Loveness Jameson akionesha namna ya kumuweka mtoto wakati wa kunyonyesha . Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme
Lydia Bryson akielezea faida za kunyonyesha mtoto miezi sita bila kumpa chakula kingine wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akipima Shinikizo la damu wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akipima uzito wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akipima urefu wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akipima Shinikizo la damu wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akipima Shinikizo la damu wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Watalaamu wa afya wakimuelezea Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme kuhusu vipimo vya urefu na uzito
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akigawa uji wenye lishe kwa watoto wakati wa maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akigawa uji wenye lishe kwa watoto.
Wanafunzi wa Chuo cha Ualimu Shinyanga (Shy com) wakiwa kwenye kwenye maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Wananchi wakiwa kwenye maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Wananchi na wanafunzi wa chuo cha ualimu Shinyanga (Shy Com) wakiwa kwenye maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji
Wananchi wakiwa kwenye maadhimisho ya siku ya Lishe Mkoa wa Shinyanga na Wiki ya Unyonyeshaji.
 
Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 
 

About the author

Alex Sonna