slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

madridbet giriş

NervEase

sapanca escort

hardcore porn

escort sapanca

holiganbet

jojobet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

galabet

betasus

holiganbet

jojobet

film izle

1xbet giriş

1xbet

jojobet

Kingroyal

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet

goldenbahis

goldenbahis giriş

perabet giriş

klasbahis

goldenbahis

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

matbet, matbet giriş

perabet, perabet giriş

betparibu, betparibu giriş

holiganbet

restbet

marsbahis

meritking

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

piabellacasino

trimology review

jojobet

jojobet

jojobet güncel

jojobet

holiganbet

jojobet adres

jojobet

jojobet giriş

Nitric Boost

tarafbet

betebet

truvabet, truvabet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

flower disease

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

supertotobet

tümbet giriş

norabahis

madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

parobet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10 giriş

bets10

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

mislibet giriş

artemisbet

kavbet

kavbet

artemisbet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

elexbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

mislibet

goldenbahis giriş

kavbet

mislibet giriş

kavbet giriş

imajbet

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

piabellacasino giriş

jojobet

celtabet

bets10

trust score weak 3

jojobet

ikimisli giriş

kumar siteleri

mislibet

kavbet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

otobet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

betcio, betcio giriş

pokerklas, pokerklas giriş

betsat

superbetin

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

piabellacasino

tarafbet

güvenilir kumar siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

interbahis

winxbet, winxbet giriş

grandpashabet

millibahis

piabet

palacebet

dental implants turkey

where to buy fentanyl canada

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

casibom

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

holiganbet giriş

holiganbet

deneme bonusu

nesinecasino

ibizabet

grandpashabet

1win

nesinecasino

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

meritking

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis

marsbahis giriş

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

betexper

Hacklink panel

jojobet yeni adres

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

herabet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

tipobet

meritking

meritking giriş

truvabet

betgaranti

betoffice

perabet

Bet365 Giriş

galabet

galabet

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

Featured Kitaifa

DUWASA YATAJA MIKAKATI YA KUMALIZA MGAO WA MAJI JIJI LA DODOMA

Written by Alex Sonna

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) Mhandisi Aron Joseph, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Julai 28,2023 jijini Dodoma  kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka hiyo na mwelekeo wa mwaka wa fedha 2023/2024. 

Na.Alex Sonna-DODOMA

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imesema muda wa wananchi wa jiji hilo kupata huduma ya maji utaongezeka kutoka saa 13 hadi 19 mwishoni mwa mwaka 2024.

Hayo ameyasema leo Julai 28.2023 jijini Dodoma  na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) Mhandisi Aron Joseph,wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka hiyo na mwelekeo wa mwaka wa fedha 2023/2024. 

Amesema kuwa hatua  hiyo itakuja baada ya kukamilika kwa utekelezaji wa miradi ya muda mfupi ya uchimbaji wa visima pembezoni mwa mji.

“Water Service coverage ni asilimia 91, na muda wa utoaji huduma za maji ni saa 13 kwa siku , lengo ni kufikia coverage ya asilimia 93 ifikapo mwaka 2024, hata hihovyo tunaenda kuongeza muda wa utoaji huduma kutoka saa 13 hadi 19 hiyo italeta unafuu kaisi fulani kwa wananchi,”amesema Mhandisi Joseph.

Hata hivyo ameeleza  kuwa katika mpango wa muda mfupi,DUWASA inaendelea na utafiti, kuchimba na kuendeleza visima maeneo ya pembezoni mwa mji.

Mhandisi Joseph amesema kuwa  lengo la mpango huu ni kupunguza adha kwa wakazi katika maeneo hayo, na kupunguza utegemezi wa chanzo kikubwa cha Mzakwe, wakati tunasubiri uwekezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati jijini Dodoma.

Aidha ameitaja miradi hiyo ni pamoja na wa uboreshaji huduma za majisafi Nzuguni, miradi wa maji Bihawana, mradi wa maji Zuzu-Nala na uchimbaji visima pembezoni mwa mji ili kupata vyanzo vingine vya maji kwa wakazi wa jiji.

Amesema kuwa  katika mpango wa muda wa kati, DUWASA kwa kushirikiana na Wizara ya Maji inaendelea kufuatilia hatua mbalimbali za utekelezaji mradi wa Bwawa la Farkwa lililopo wilaya ya Chemba-Dodoma.

Pia amesema kuwa katika mpango wa muda mrefu, DUWASA kwa kushirikiana na wizara inaendelea kufuatilia hatua hatua mbalimbali za utekelezaji wa mradi wa kutoa maji Ziwa Victoria kuja Dodoma.

Mhandisi Joseph amesema  kutokana na kuongezeka kwa kasi ya mahitaji ya maji jijini hapa, Mamlaka hiyo inautazama mradi huu kama suluhisho kwa adha ya upatikanaji wa maji.

“Mpango huu unaitwa wa dharura/haraka kwakuwa unawezekana kutekelezwa katika muda mfupi chini ya miaka mitatu na kuweza kuongeza kiasi cha majiji ni Dodoma kwa lita milioni 130 kwa siku,”amesema Mhandisi Joseph.

Hata hivyo amesema kuwa DUWASA inaendelea kuhudumia wakazi wa mjini kwa wastani wa asilimia 20 huku sehemu kubwa inayohudumiwa ni mjini kati na maeneo machache ya pembezoni kama Kikuyu, Area A, Iringa Road na Kizota.

Amesema kwa sasa mji wa Dodoma una wakazi 765,179 kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 ambapo takribani asilimia 91 wanapata huduma ya majisafi na salama kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na migao.

Pia amebainisha kuwa tathimini iliyofanyika hivi karibuni ineonesha kuwa mahitaji ya maji mjini ni lita 133,400,000 kwa siku mwaka 2022, lita 146,317,000 kwa siku ifikapo mwaka 2026,lita 204,315,000 kwa siku mwaka 2036 na lita 417,308,000 kwa siku ifikapo mwaka 2051.

Amesema chanzo kuku cha maji kwa matumizi ya wakazi wa mji wa Dodoma ni visima virefu vilivyochimbwa katika bonde la Makutupora eneo la Mzakwe, miundombinu ya uzalishaji maji pamoja na uwezo wa usafirishaji maji ni lita milioni 61.5 kwa siku.

Aidha, kuna vyanzo vingine vidogo kwa maeneo mahsusi ambavyo ni Ihumwa kwa ajili ya Mji wa Serikali, Iyumbu kwa ajili ya Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM), Kata ya Iyumbu, Hospitali ya Benjamini Mkapa na kata ya Nghong’onha ambavyo kwa pamoja vinzalisha lita milioni 5.6 kwa siku.

“Vyanzo vyote hivyo ba vingine vidogo vinafanya uzalishaji wa jumla ya lita milioni 68.6 kwa siku wakati mahitaji ya sasa ni lita milioni 133.4 kwa siku hivyo upungufu huu unaongezeka mwaka hadi mwaka kutokana na ongezeko la watu na shughuli a kiuchumi na kijamii jijini hapa,”alisema Mhandisi Joseph.

Hata hivyo amesema  kuwa Serikali inaendeleza azma yake ya kutoa maji kutoka ziwa Victoria mkoani Mwanza na kuyapeleka Dodoma ili kukabili upungufu uliopo sasa na kukomesha mgao unaoendelea.

“Mipango ya muda mrefu ya kukabiliaana na hali hii ya shida ya maji katika mkoa wa Dodoma ni pamoja na kuleta maji ya ziwa Victoria mkoani Mwanza kuja kutatua kero hii ya ongezeko la mahitaji ya maji ambapo kiasi cha Sh. trioni 1.2 zinahitajika kwa ajili ya mifumo ya kusafirisha maji “alisema Mhandisi Joseph

About the author

Alex Sonna