slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

casibom giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

marsbahis

pusulabet giriş

jojobet giriş

grandpashabet

film izle

1xbet giriş

1xbet

gameofbet

holiganbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

noktabet, noktabet giriş

holiganbet

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

jojobet

jojobet

deneme bonusu

casibom

holiganbet

jojobet

casinolevant

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

celtabet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

betixir

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

safirbet

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

meritking

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

tipobet giriş

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

meritbet giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

casibom

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betingo, betingo giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

meritking

timebet

matbet

tipobet

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

sweet bonanza

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

radissonbet

sekabet

grandpashabet

matbet

jetbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

betist

Featured Kitaifa

SERIKALI YATENGA ZAIDI YA BILIONI TISA KUONGEZA IDADI YA MAKAMBI JKT

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele, akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 27,2023 jijini Dodoma kuhusu utekelezaji wa majukumu ya JKT na mwelekeo wake katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari -MAELEZO  na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa,akitoa pongezi kwa JKT mara baada ya Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele,kuzungumza na  waandishi wa habari leo Julai 27,2023 jijini Dodoma kuhusu utekelezaji wa majukumu ya JKT na mwelekeo wake katika mwaka wa fedha 2023/2024.

Na.Alex Sonna-DODOMA

JESHI  la Kujenga Taifa (JKT) katika Mwaka wa fedha wa 2023/2024, limetengewa kiasi cha Sh. biloni 9.96 kwa ajili ya kujenga miundombinu na kuongeza kambi zingine kwa ajili ya kuongeza idadi ya vijana wanaopatiwa mafunzo kwa mujibu wa sheria, wale wa mkataba pamoja na wale wa mafunzo ya hiyali.

Hayo yamebainishwa leo Julai 27,2023 Jijini Dodoma na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa majukumu ya JKT na mwelekeo wake katika mwaka wa fedha 2023/2024.

“Tunaishukuru sana serika yetu kwa kututengea kiasi hicho cha bilioni 9.96 kwa ajili ya kuboresha miundombinu yetu ya makambi ili kusaidia kuongeza idadi ya vijana ambao wanapata mafunzo kila mwaka hasa hawa wa mujibu wa sheria wanaohitimu kidato cha sita kila mwaka”amesema Jenerali Mabele

Jenerali Mabele amesema kuwa katika kipindi cha mwaka jana JKT, ilipokea vijana waliohitimu kidato cha sita 26,000 na mwaka huu imepokea vijana 52,119 ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 54.

Amesema kuwa wanaipongeza serikali kwa jitihada zake za kuongeza fedha kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya makambi kila mwaka tangu mwaka 2021/22 ambapo ilianza kutenga kiasi cha Sh. bilioni 3.27.

“Mwaka 2022/23 serikali ilitupatia kiasi cha Sh. bilioni 7.5 kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu na kiasi hichi kilikuwa ni mara mbili ya kile kilichopita na hii inaonyesha azma ya serikali kuwezesha vijana wengi kupata mafunzo”amesema 

Jenerali Mabele,amesema kuwa katika kutekeleza azma ya Rais Samia Suluhu Hassan ya Tanzania kuwa kapu la chakula katika bara la Afrika wameweka mikakati mbalimbali ya kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula.

Amesema katika mwaka huu wa fedha kiasi cha Sh. biloni nne kimetengwa kwa ajili ya kujenga miundombinu ya umwagiliaji ili kuongeza maeneo ya kilimo na uzalishaji ili kukidhi hitajhio la chakula kwa vijana na usalama wa chakula kwa taifa.

Hata hivyo ametoa  wito kwa vijana nchini kuchangamkia fursa za mafunzo zinazotolewa na jeshi hilo ili kujipatia ujuzi wanaoweza kuutumia mra watakapo maliza mkataba wao wa miaka miwili ya kulitumikia Jeshi hilo.

“Hivi sasa tunazungumza na wizara ya Kilimo kuona ni kwa jinsi gani ule mradi wa Jenga kesho iliyo bora (BBT), kuunganishwa na vijana wanaohitimu mafunzo ya JKT ili kuwasaidia kupata shughuli za kufanya pindi wanapomaliza mikata yao ya miaka miwili na kukosa nafasi ya kuajiliwa na vyombo vya ulinzi na usalama nchini”amesema 

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Idara ya Habari -MAELEZO  na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, amelipongeza jeshi hilo kwa namna linavyotoa mafunzo ya uzalendo kwa vijana na makundi mengine nchini.

“Meja Jenerali Mabele, niwapongeze kwa kazi nzuri manayoifannya na mimi nitazungumza na vyama vya waandishi wa habari nchini kuona ni kwa namna gani tunaweza kuwapeleka JKT waandishi wetu waje wajifunze ili kuwa wazalendo watakapotoka huko hata karimu zao zitakuwa na uzalendo mwingi na taifa lao”amesema Msigwa

About the author

Alex Sonna