marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

lordbahis

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

pusulabet

imajbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

pashagaming

şğp

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

sonbahis

jojobet

marsbahis

imajbet giriş

imajbet

parmabet

piabellacasino

mislibet

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betcio, betcio giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

madridbet

casibom giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

alobet

alobet giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

istanbulbahis

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

imajbet

imajbet giriş

imajbet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

grandpashabet

vdcasino

bets10 giriş

imajbet giriş

goldenbahis

imajbet

perabet giriş

perabet

ngsbahis

kralbet giriş

bahiscasino

สล็อตเว็บตรง

bets10

casibom giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

casino siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

deneme bonusu veren siteler

Deneme Bonusu Veren Siteler 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey giriş

betturkey

betsat

betsat giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

gonebet, gonebet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bets10

superbetin

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

romabet

meritking

güvenli casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

jetbahis

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

deneme bonusu

holiganbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

kalitebet

norabahis

radissonbet

gameofbet

betgit

romabet

tambet

cashwin

wbahis

Featured Kitaifa

TANAPA KUKUSANYA BILIONI 343.8 KUPITIA UTALII NCHINI

Written by Alex Sonna

Kamishna wa Uhifadhi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) William Mwakilema,akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 24,2023 jijini Dodoma  kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka hiyo na Mwelekeo wa utekelezaji wa Mwaka wa Fedha 2023/2024.

Waandishi wa habari wakifatilia hotuba ya Kamishna wa Uhifadhi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) William Mwakilema (hayupo pichani), leo Julai 24,2023 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka hiyo na Mwelekeo wa utekelezaji wa Mwaka wa Fedha 2023/2024.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari -MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa, akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya Kamishna wa Uhifadhi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) William Mwakilema,kuwasilisha taarifa  kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka hiyo na Mwelekeo wa utekelezaji wa Mwaka wa Fedha 2023/2024.

Na.Alex Sonna-DODOMA

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania(TANAPA),katika Mwaka wa fedha wa 2023/2024,limepanga kukusanya mapato ya shilingi bilioni 343.8  yatokanayo na vivutio mbalimbali vya utalii nchini.

Hayo yamesemwa leo Julai 24,2023 Jijini Dodoma na Kamishna wa Uhifadhi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) William Mwakilema wakati akitoa taarifa kwa Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Mamlaka hiyo na Mwelekeo wa utekelezaji wa Mwaka wa Fedha 2023/2024.

“Katika mwaka wa fedha ulioishia Juni 30, 2023 tulipanga kukusanya mapato kiasi cha Sh. bilioni 300 lakini kutokana na jitihada zizofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan za kuitangaza nchi ndani na nje na kupungu kwa makali ya UVIKO-19 tulikusanya bilioni 337 kiasi ambacho kilivunja rekodi ambayo hatujawahi kukusanya hapo awali”amesema Kamishna Mwakilema

Aidha amesema kuwa Shirika linaendelea kuimariha miundombinu mbalimbali katika hifadhi zote kwa msaada wa serikali pamoja na wadau wengine ikiwemo Benki ya Dunia.

“Hifadhi ambazo zinawatalii wengi hivi sasa ni zile za ukanda wa Kaskazini lakini lengo letu ni kuimarisha pia za kanda nyingine ambazo ni pamoja na ile ya Mikumi, Nyerere, Sadani, Mkomazi pamoja na Ruwaha ili kuongeza idadi ya watalii kufikia agizo la Ilani ya uchaguzi linalotaka ifikapo 2025/26 kuwa na watalii milioni tano na mapato yapatayo yatokanayo na utalii kiasai cha dola bilioni sita”amesema 

Pia  ametoa ombi kwa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS),na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA),kurekebisha miundombinu ya barabara hasa ya kutoka Nagulo Chamwino hadi Ilangali ambayo ni njia ya fupi ya kuingia hifadhi ya Taifa ya Ruaha.

Vile Vile amesema mikakati mingine ni kulinda mito minne ambayo inatoka nje ya hifadhi za taifa ili kulinda ikolojia na kuwaondoa katika hatari wanyama ya kukosa maji kama itakauka kutokana na kuathiriwa na shughuli za kibinadamu.

“Kuna mito kama mnne hivi ambayo inatoka nje ya hifadhi za taifa mito hiyo ni pamoja na mto Mara ambao ni mto muhimu sana katika hifadhi ya Serengeti kiikolojia ambao kama hautalidwa na kukauka wanyama watakosa maji kwani hivi sasa itegemewa kutokana na kutililisha maji mwaka mzima”amesema Kamishna Mwakilema

Katika hatua nyingine amesema kuwa  kwa mtu yeyote ambaye atapenda kumpa mnyama jina lake gharama zake ni Sh. milioni tano.

Amesema kuwa kumekuwepo na utaratibu wa wanyama mbalimbali walipo katika hifadhi za taifa kupatiwa majina ya watu kama vile Faru John na mengine mengi, hivyo kama kuna mtu ambaye anataka jina lake apatiwe mnyama gharama ni Sh. milioni tano.

“Kila mtu anaweza kumpatia mnyama jina lake ili alitumie kama utambulisho wake hifadhini, hivyo niwakaribishe watu wote ambao wangependa majina yao yao wapatiwe wanyama wetu katika hifadhi zetu ikiwa ni sehemu ya kuwalinda lakini gharama zake ni Sh. milioni tano,”amesema Kamishna Mwakilema

Kwa upande wake  Mkurugenzi wa Idara ya Habari -MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa, amesema serikali ina mpango wa kujenga barabara ya kutoka Jiji la Dodoma,Bahi hadi Chamwino yenye urefu wa Kilomita 99 ambayo ndani yake ipo barabara hiyo ya Nagulo hadi Ilangali.

TANAPA ilianziswa mwaka 1959 ikiwa na majukumu mbalimbali ikiwemo kusimamia na kuendeleza maeneo yaliyoteuliwa kuwa hifadhi za Taifa kwa kuchukua hatua na kutumia njia za kuhifadhi urithi wa Taifa.

About the author

Alex Sonna