Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

gameofbet

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

marsbahis

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark güncel giriş

porno izle

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

marsbahis güncel giriş 2026

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

pashagamingg

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

betasus

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

betsat güncel giriş

jojobet

holiganbet

sweet bonanza

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

bets10 sorunsuz giriş

dinamobet

casibom

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

ikimisli

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

imajbet

holiganbet

Featured Kitaifa

WAZIRI MKUU:TUTAENDELEA KUIMARISHA AFYA YA MAMA NA MTOTO

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza, kwenye Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutekeleza mipango mbalimbali ya kuhakikisha kunakuwa na ustawi wa afya ya mama na mtoto ikiwemo mpango wa Mama Samia Mentorship Program.

Amesema kuwa mpango huo ni mahsusi kwa mafunzo ya muda mfupi kazini kwa madaktari bingwa na wakunga ili waweze kuimarisha utoaji huduma kwenye Vituo vya Afya na Hospitali za Wilaya.

Amesema hayo leo (Jumapili, Julai 23, 2023) aliposhiriki katika mbio za NBC ‘NBC Marathon’ zilizofanyika jijini Dodoma.

Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa mpango mwingine wa Serikali ni kuongeza wigo wa kutoa huduma za kupima dalili za awali za saratani ya uzazi kutoka Vituo vya Afya 925 vilivyopo hadi kufikia vituo vya Afya 1,025 hapa nchini.

“Mwingine ni kuimarisha wigo wa kutoa huduma za watoto wachanga kwa ujenzi wa wodi maalum, kununua vifaa tiba na mafunzo kwa watumishi kutoka hospitali 175 hadi kufikia hospitali 275 katika mwaka 2023/2024”.

Katika hatua nyingine Mheshimiwa Majaliwa ameitaka Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo  kushirikiana  na sekta binafsi zenye lengo la kuinua michezo kama wanavyofanya NBC. 

“Suala hili lipewe kipaumbele kwani sote tunatambua kuwa michezo ni zaidi ya burudani na inachangia ajira na huduma za afya nchini”

Mbio za NBC kwa mwaka 2023 zinatarajia kukusanya Sh. milioni 300 ambazo zitatumika kuboresha afya ya mama na mtoto, kusaidia mapambano dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi kwa wanawake na kutoa ufadhili kwa wanafunzi wa taaluma ya ukunga nchini ili kupunguza vifo vya mama na mtoto wakati wa uzazi.

Naye, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo  Balozi Dkt. Pindi Chana amesema kuwa michezo ni nyenzo ya mabadiliko kwa jamii katika kuelimisha, kuimarisha afya na mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya

“Tutaendelea kushirikiana na wadau wa sekta binafsi na milango ya wizara ipo wazi. Lengo ni kupunguza wagonjwa wanaolazwa hospitali kwa kuhamasisha Watanzania kushiriki kwenye michezo ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza”

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishirki katika mazoezi ya viungo baada ya kuongoza Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma, Julai 23, 2023. Kushoto ni Waziri wa Utamaduni , Sanaa na Michezo, Balozi Dkt. Pindi Chana, kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi na wa tano kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishirki katika mazoezi ya viungo baada ya kuongoza Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma, Julai 23, 2023. Kushoto ni Waziri wa Utamaduni , Sanaa na Michezo, Balozi Dkt. Pindi Chana, kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma, Julai 23, 2023. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamulwa, Kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweli na kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma, Julai 23, 2023. Kulia kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweli na kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

– Advertisement –

Ad image

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akivishwa medali na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NBC, Dkt. Elirehema Doriye, kwenye Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma, Julai 23, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimvika medali Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NBC, Dkt. Elirehema Doriye, kwenye Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma, Julai 23, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki mazoezi, kwenye Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma, Julai 23, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi hundi ya Shilingi Milioni Mia Moja, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dkt. Julius Mwaisalage, kwenye Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma, Julai 23, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi hundi ya Shilingi Milioni Tano, Mshindi wa kwanza wa mbio za kilomita 21 (wanaume) Joseph Panga, kwenye Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma, Julai 23, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi hundi ya Shilingi Milioni Tano, Mshindi wa kwanza wa mbio za kilomita 21 (wanawake), Magdalena Shauri, kwenye Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma, Julai 23, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi, kwenye Mbio za Hisani za Benki ya NBC kuchangia ufadhili  kwa wanafunzi  wa masomo ya fani ya ukunga zilizofanyika jijini Dodoma, Julai 23, 2023. Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NBC, Dkt. Elirehema Doriye. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

About the author

Alex Sonna