marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

matbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

imajbet

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betparibu, betparibu giriş

zirvebet, zirvebet giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

starzbet

Starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

betwoon

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

pokerklas

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

Grandpashabet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

imajbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

Featured Kitaifa

TFRA,TANGA KUSHIRIKIANA UHAMASISHAJI MATUMIZI YA MBOLEA

Written by Alex Sonna
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Wakili Mnyema (katikati) akizungumza na wajumbe wa Bodi na Menejimenti ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) waliofika ofisini kwake kueleza nia ya uwepo wao mkoani humo tarehe 18 Julai, 2023
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Wakili Mnyema (kulia) akimsikiliza Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Thobias Richard Mwesigwa wakati wa kikao kifupi ofisini kwa katibu tawala tarehe 18 Julai, 2023
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania Dkt. SHIMO Peter SHIMO (wa kwanza kulia) akizungumza jambo wakati wa kikao kifupi na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Wakili Mnyema tarehe 18 Julai, 2023
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), baadhi ya menejimenti ya TFRA na watumishi wa kiwanda cha ABM cha Tanga walipotembelea eneo la machimbo ya madini yanayotumika kutengeneza visaidizi vya mbolea kiwandani hapo.

 

Na Mwandishi wetu-Tanga 
 
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Wakili Mnyema, ameeleza uwepo wa changamoto ya wakulima mkoani humo kusita kutumia mbolea za viwandani kwenye shughuli za kilimo kutokana na imani kuwa mbolea inaharibu aridhi.
 
 
Ametoa wito kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) kuendelea kushirikiana na ofisi yake katika kuhamasisha matumizi sahihi ya mbolea kwa wananchi wa mkoa huo ili waongeze tija kwenye uzalishaji.
 
 
Mnyema amesema hayo tarehe 18 Julai, 2023 ofisini kwake alipokuwa akizungumza na baadhi ya wajumbe wa Bodi ya TFRA na Menejimenti waliofika kueleza uwepo wao wenye lengo la kutembelea wazalishaji wa mbolea na visaidizi vya mbolea waliopo mkoani hapo.
 
 
‘‘Ni Bodi mpya lakini mmeanza na kasi kubwa katika kusimamia tasnia ya mbolea’’aliongeza Myema.
 
 
Kuna vitu vingi kama mkoa tumevipokea ikiwemo Wakuu wa Wilaya, makatibu Tawala ndani ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan mengi yamefanyika nasi tunaendelea kuvasemea kwa wananchi na hata suala hili la kutoa ruzuku kwenye mbolea tutalisemea ili wananchi wajue jinsi Mama alivyowekeza kwenye kilimo, alimaliza.
 
 
Akikazia maneno ya Katibu Tawala Mnyema Mkurugenzi wa Bodi ya TFRA Thobias Mwesigwa amesema, elimu ya umuhimu wa matumizi ya mbolea unaeleweka zaidi kwa wamiliki wa viwanda vinavyozalisha bidhaa hiyo lakini watumiaji hawana elimu hiyo na hivyo kupelekea mwitikio mdogo wa kutumia mbolea kwenye kilimo.
 
 
Aliahidi kuifanyia kazi changamoto hiyo kwa kuweka mikakati ya kuhakikisha wazalishaji, Menejimenti na Ofisi za mikoa zinashirikiana katika kuhamasisha matumizi sahihi ya mbolea.
 
 
“Tumelichukua na tutalifanyia kazi kwenye vikao vyetu vya kiutendaji” Mwesigwa alisisitiza.
 
 
Kwa upande wake Mkurugenzi Dkt. Shimo Peter Shimo amesema agenda ya mbolea ni agenda iliyopewa kipaumbele kikubwa sana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na kutoa wito kwa viongozi wa mikoa, wilaya mpaka ngazi za chini za serikali kuzungumzia kila wanapokuwa na vikao na wananchi.
 
 
Amesema kuzungumzia jambo hilo kutawafanya wananchi kuhamasika na kuiona kwa mapana thamani wanayopewa na viongozi wa nchi katika kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi.
 
 
Naye Mkurugenzi Hadija Jabiri ameiomba serikali kuendelea kuhamasisha uwekezaji wa viwanda vya mbolea katika Mkoa wa Tanga na kueleza uzalishaji ukiwa ni mkubwa utasaidia kupunguza changamoto ya upatikanaji wa mbolea nchini na kupunguza utegemezi wa kuagiza mbolea nje ya nchi.
 
 
Akizungumza katika kikao hicho Gothard Liampawe Meneja wa TFRA Kanda ya Kaskazini amesema pamoja na Mkoa wa Tanga kuongoza kwa kuwa na viwanda vingi vya uzalishaji wa mbolea na visaidizi vya mbolea, bado mkoa huo umekuwa changamoto kwenye matumizi ya mbolea pamoja na elimu inayoendelea kutolewa.
 
 
Amesema TFRA imejitahidi kuondoa changamoto ya usambazaji wa mbolea iliyojitokeza msimu wa kilimo wa 2022/2023 KWA kuvitumia vyama vya ushirika vilivyotayari kushiriki katika kusambaza mbolea na tayari vyama hivyo vimepewa mafunzo ya uuzaji wa mbolea kwa kwa kutumia mfumo wa kidigitali ulioboreshwa.
 
 
Wajumbe haowalitembelea viwanda viwili vya uzalishaji wa mbolea na visaidizi vya mbolea ikiwa ni Neelkanth Chemmicals LTD na ABM na kushauriana namna bora ya kuhamasisha matumizi ya bidhaa wanazozizalisha Pamoja na kuheshimu Kanuni, Sheria na miongozo inayosimamia tasnia ya mbolea nchini.

About the author

Alex Sonna