marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

cratosroyalbet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

marsbahis

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

herabet

Featured Kitaifa

RC MNDEME AZINDUA RASMI UZALISHAJI KATIKA MGODI WA ALMASI MWADUI

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akiwasha mitambo wakati akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga leo Jumatatu Julai 17,2023.

 

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akifungua mtambo wa kufungua na kufunga njia ya kumwaga maji tope katika bwawa jipya la tope laini ya mgodini wakati akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited.

 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog 
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amezindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa uchimbaji madini ya Almasi (Williamson Diamond Limited) uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga ikiwa ni takribani miezi nane tangu mgodi huo usitishe uzalishaji baada ya kingo za Bwawa la Maji Tope kubomoka.

 
 
Novemba 7,2022 Bwawa la tope la mgodini katika mgodi wa Mwadui lilipasuka na kuharibu makazi na mashamba ya wananchi wa vijiji vya Ng’wanholo na Nyenze vilivyopo katika Kata ya Mwadui Luhumbo wilayani Kishapu kwa kufunikwa na tope.
 
 
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo leo Jumatatu Julai 17,2023 Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme ameupongeza Mgodi huo kwa kuchukua hatua mbalimbali baada ya kingo za Bwawa la Maji Tope kubomoka na kusababisha athari kwenye vijiji vinavyozunguka mgodi.
 
 
Uzinduzi huo umefanyika siku chache baada ya Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko kuagiza mgodi wa Williamson Diamond Limited uanze shughuli za Uzalishaji kuanzia Julai 15 baada ya kuridhishwa na hatua mbalimbali zilizochukuliwa.
 
 
“Nimezindua rasmi uzalishaji katika mgodi huu. Hongereni kwa hatua hii na kazi iendelee. Naomba shughuli za uzalishaji zifanyike kwa kasi(spidi nzuri) kwa viwango vinavyotakiwa ili tuweze kufidia muda tuliokuwa tumesimama, serikali ipate mapato, ajira ziendelee, halmashauri zipate mapato, miradi ya CSR iendelee na watu wote waliokuwa wanatoa huduma hapa mgodini waendelee na kazi”,amesema Mhe. Mndeme.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme.
 
“Tumejenga bwawa hili lakini tunatakiwa tuanze kujenga bwawa la akiba ili kuepuka kusimamisha shughuli za uzalishaji endapo patatokea tatizo. Lakini pia hakikisheni mnafuatilia bwawa hili jipya mkibaini kuna changamoto hatua za haraka zichukuliwe kuepuka athari zinazoweza kujitokeza”,ameongeza Mndeme.
 
Aidha amesema serikali itaendelea kushirikiana na mgodi huo katika masuala mbalimbali na kama kuna changamoto inajitokeza wasisite kuwasiliana na serikali huku akihamasisha mgodi huo kutunza mazingira.
 
 
Kwa upande wake, Meneja Mkuu wa Mgodi wa Williamson Diamond Ltd, Mhandisi Ayoub Abel Mwenda ameishukuru serikali kwa ushirikiano na msaada mkubwa iliotoa mpaka kufikia mgodi huo unaanza shughuli za uzalishaji.
 
“Tumekamilisha matengenezo ya bwawa la tope laini la mgodini kwa muda mfupi. Tulisimamisha uzalishaji kwa muda wa miezi nane, sasa tumerejesha mitambo yetu”,amesema Mhandisi Mwenda.
 
 
“Kwa muda tuliosimamisha shughuli za uzalishaji sisi mgodi tumepata hasara, serikali imepata hasara na wananchi wamepata hasara. Tutahakikisha uzalishaji unarudi kwenye viwango vile tulivyokuwa navyo kabla ya bwawa kupasuka”,ameongeza Mhandisi Mwenda.
Muonekano wa sehemu ya bwawa jipya la tope laini kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited
 
Naye Mhandisi Mwelekezi wa Mradi wa Ujenzi wa bwawa la tope katika mgodi wa Williamson Diamond Limited, Mhandisi Anael Macha ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kizalendo inayomilikiwa Watanzania ya City Engineering amesema bwawa hilo jipya walilolijenga ni imara na wamefuata taratibu zote zinazotakiwa na tayari wametoa mafunzo kwa wafanyakazi mgodini namna ya kutunza bwawa hilo.
 
Mbunge wa Jimbo la Kishapu Mhe. Boniphace Butondo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, Mhe. William Jijimya wameeleza kufurahishwa na habari njema ya kuanza shughuli za uzalishaji kwenye mgodi huo wakisema sasa miradi ya maendeleo kupitia fedha za CSR itaendelea, wananchi wapata ajira na serikali itapata mapato.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akiwasha mitambo wakati akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga leo Jumatatu Julai 17,2023.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akiwasha mitambo wakati akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga leo Jumatatu Julai 17,2023.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akifungua mtambo wa kufungua na kufunga njia ya kumwaga maji tope katika bwawa jipya la tope laini ya mgodini wakati akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga leo Jumatatu Julai 17,2023.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akifungua mtambo wa kufungua na kufunga njia ya kumwaga maji tope katika bwawa jipya la tope laini ya mgodini wakati akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga leo Jumatatu Julai 17,2023. Kushoto ni Meneja Mkuu wa Mgodi wa Williamson Diamond Ltd, Mhandisi Ayoub Abel Mwenda
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akifungua mtambo wa kufungua na kufunga njia ya kumwaga maji tope katika bwawa jipya la tope laini ya mgodini wakati akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akifungua mtambo wa kufungua na kufunga njia ya kumwaga maji tope katika bwawa jipya la tope laini ya mgodini wakati akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akifungua mtambo wa kufungua na kufunga njia ya kumwaga maji tope katika bwawa jipya la tope laini ya mgodini wakati akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Williamson Diamond Ltd, Mhandisi Ayoub Abel Mwenda akimwelezea Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (wa kwanza kulia) kuhusu bwawa jipya la tope laini ya mgodini kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (katikati) akiangalia bwawa jipya la tope laini ya mgodini kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga, kulia kwake ni Meneja Mkuu wa Mgodi wa Williamson Diamond Ltd, Mhandisi Ayoub Abel Mwenda, wa kwanza kulia ni Mbunge wa Kishapu, Mhe. Boniphace Butondo.
Mhandisi Mwelekezi wa Mradi wa Ujenzi wa bwawa la tope katika mgodi wa Williamson Diamond Limited, Mhandisi Anael Macha ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kizalendo inayomilikiwa Watanzania ya City Engineering akielezea uimara wa bwawa jipya la tope laini katika Mgodi wa Williamson Diamond Limited.
Muonekano wa sehemu ya bwawa jipya la tope laini kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Williamson Diamond Ltd, Mhandisi Ayoub Abel Mwenda akimwelezea na kumuonesha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (kushoto) eneo la Uchimbaji Madini ya Almasi katika mgodi wa Williamson Diamond Limited
Muonekano sehemu ya eneo la Uchimbaji Madini ya Almasi katika mgodi wa Williamson Diamond Limited
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Williamson Diamond Ltd, Mhandisi Ayoub Abel Mwenda akimwelezea na kumuonesha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (kushoto) eneo la Uchimbaji Madini ya Almasi katika mgodi wa Williamson Diamond Limited
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Williamson Diamond Ltd, Mhandisi Ayoub Abel Mwenda akimwelezea na kumuonesha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (kushoto) eneo la Uchimbaji Madini ya Almasi katika mgodi wa Williamson Diamond Limited
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Williamson Diamond Ltd, Mhandisi Ayoub Abel Mwenda akimwelezea na kumuonesha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (kushoto) eneo la Uchimbaji Madini ya Almasi katika mgodi wa Williamson Diamond Limited
Mbunge wa Kishapu Mhe. Boniphace Butondo akizungumza wakati Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Williamson Diamond Ltd, Mhandisi Ayoub Abel Mwenda akizungumza wakati Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Kishapu Mhe. William Jijimya akizungumza wakati Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizindua rasmi shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Williamson Diamond Ltd, Mhandisi Ayoub Abel Mwenda (kushoto) akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme baada uzinduzi rasmi wa shughuli za uzalishaji kwenye Mgodi wa Williamson Diamond Limited uliopo Kishapu Mkoani Shinyanga
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

About the author

Alex Sonna