Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

RC SENYAMULE AKEMEA UTORO MASHULENI

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Amani Abeid Karume (hawapo pichani) iliyopo Pahi Wilayani Kondoa, akiwa katika ziara ya kikazi ya kukagua miundombinu ya elimu ikiwa ni pamoja madarasa yaliyokamilika kupitia mradi wa boost.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akiwasili katika Kijiji cha Potea wilayani Kondoa kwa ajili ya kukagua na kukabidhiwa madarasa yaliyokamilika kupitia mradi wa boost. Wengine katika picha (kulia) ni Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Dkt. Khamis Mkananchi, Mwenyekiti wa Kijiji cha Potea Bw. Iddi Issa Mugubali na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Kondoa Bw. Shaban Millao.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akiteta na Mwenyekiti wa Kijiji cha Potea wilayani Kondoa kwa ajili ya kukagua na kukabidhiwa madarasa yaliyokamilika kupitia mradi wa boost na kuzungumza na wananchi wa Kijiji hicho.

Sehemu ya wananchi wa Kijiji cha Potea Wilayani Kondoa wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule aliyefika kijijini hapo kwa lengo la kuzungumza na kutatua changamoto zinazowakabili.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akizungumza na wajumbe wa Baraza la Madiwani (hawapo pichani) katika Wilaya ya Kondoa kupitia na hoja za Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali.

Sehemu ya madiwani wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule katika kikao maalumu cha baraza kilichojadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali kwa Wilaya ya Kondoa.

Na.Mwandishi Wetu

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema Serikali inatumia fedha nyingi katika kuimarisha miundombinu ya wanafunzi kusoma ikiwa ni pamoja na ujenzi wa shule za Msingi na Sekondari hivyo wazazi wana wajibu wa kuhakikisha wanafunzi wanakwenda shule na kudhibiti utoro.

Senyamule ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Potea Wilayani Kondoa wakati wa ziara kukagua miundombinu ya madarasa ambayo yamekamilika kupitia mradi wa boost.

“Sote ni mashahidi wa mabadiliko haya katika sekta ya elimu, madarasa mazuri yamekamilika na nyinyi mmechangia hapa nguvu kazi yenu, wazazi tutimize wajibu wetu wa kuwapeleka watoto shule, maana ya madarasa haya ni kuchochea maendeleo na ufaulu” Senyamule amesema.

Aidha, akizungumza pia na jamii ya Kijiji cha Potea Senyamule amewataka kutunza miundombinu hiyo inayogharimu Serikali fedha nyingi na kuwatumia mkutano huo wa hadhara kuwahimiza jamii kutowaficha majumbani watoto wenye changamoto ya ulemavu.

“Mtoto yoyote yule ana haki ya kupatiwa elimu, watoto walemavu pia wana haki sawa na wengine, kuwaweka nyumbani ni kuwa nyanyapaa na kuwanyima haki za msingi

msifiche watoto majumbani, watoeni wapate haki yao ya msingi ya kupata elimu bure inayotolewa na Serikali na madarasa haya yaliyokamilika yana miundombinu rafiki kwa wenzetu wenye changamoto za ulemavu”

Senyamule ametoa rai pia kwa wananchi wa Potea kujikita katika kilimo na kutunza chakula  kitakachotosheleza mahitaji ya familia kabla ya kuuza na kusisitiza agenda endelevu ya utunzaji na uhifadhi wa mazingira.

Pia ametembelea Shule ya Sekondari ya Amani Abeid Karume na kuhimiza wanafunzi hao kusoma kwa bidii na kuwapa motisha ya kuandaa ziara ya mafunzo kutembelea miradi ya kimkakati iliyopo katika Mkoa wa Dodoma ikiwa ni pamoja na Mji wa Serikali, Ujenzi wa Mahakama, Barabara za Mzunguko na Reli ya kisasa ya mwendo kasi. 

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Ali Gugu amezitaka Kamati za ujenzi kuweka kumbukumbu sahihi za miradi wanayoisimamia baada ya kukamilika kwa ajili ya ukaguzi, kwakuwa  ni fursa ya kuongezewa fedha katika sekta nyingine.

Katika Mkutano wa hadhara wananchi wa Potea waiomba Serikali kujenga shule nyingine ya Sekondari katika eneo hilo pamoja na kuimarisha miundombinu ya barabara. Akitoa ufafanuzi wa hoja hizo Mhe. Senyamule amemwelekeza Afisa Elimu Mkoa na Meneja wa TARURA kufika mapema eneo hilo kufanya tathmini ya hali halisi.

About the author

Alex Sonna