Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

jojobet

matbet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

starzbet

jojobet

Featured Kitaifa

SHAMBA KUBWA LA KISASA KILIMO CHA VANILLA KANDA YA ZIWA LAZINDULIWA

Written by Alex Sonna
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya akionesha zao la Vanilla katika Shamba kubwa la Kilimo cha Vanilla kwa njia za kisasa katika Kijiji cha Nyamikoma kata ya Mwamashimba wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza.
 
Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog
 
Kampuni ya Vanilla International Limited imezindua Shamba kubwa la Kilimo cha Vanilla kwa njia za kisasa Kanda ya Ziwa katika Kijiji cha Nyamikoma kata ya Mwamashimba wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza.
 
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo leo Jumanne Julai 4,2023 Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya amesema katika shamba hilo la Vanilla lenye ukubwa wa hekari tatu wanategemea kupata Kilo 6000 za Vanilla kila mwaka zenye thamani ya zaidi ya Dola Milioni 2.5 kwa soko la kimataifa sawa na takribani Shilingi Bilioni 6 za Kitanzania.
 
 
“Mazao ya Vanilla katika shamba hili yamestawi kwa ustawi kwa ubora kwa sababu ya upatikanaji wa unyevu hewa wa asilimia 85% ( Humidity 85%) ambayo ni (hali ya hewa wezeshi) mazingira wezeshi ya kilimo cha Vanilla ambayo tumeitengeneza kwa kutumia umwagiliaji wa njia ya bunduki”,ameeleza Mnkondya ambaye pia Mwanzilishi wa mashamba makubwa ya kilimo cha Vanilla (Vanilla Village) yaliyopo Zanzibar, Arusha, Dodoma na Mwanza.
 
 
“Katika huu mradi ambalo ndiyo shamba kubwa Kanda ya Ziwa ambalo limelimwa kwa njia ya Mashamba kitalu/mashamba ya mahema (Green Houses). Shamba hili limetoa vanilla ambayo ni ndefu kuliko vanilla zote duniani na kuvunja rekodi ya kuwa na mita 10 kwa urefu”,ameongeza Mnkondya.
 
 
Amesema Vanilla zilizolimwa kwenye shamba hilo ni vanilla ambazo zimewahi kuzaa kuliko vanilla zote za Kanda ya Ziwa kwani zimezaa ndani ya miezi saba.
 
Akifafanua Zaidi amesema shamba hilo la Vanilla lilikuwa ni nusu jangwa ambapo kwa kutumia mifumo ya maji ya kisasa za Umwagiliaji wa matone na Umwagiliaji wa bunduki (Rain gun)’ umefanya hilo eneo la jangwa kutoka kuwa kavu mpaka eneo la kijani.
 
“Hii imetokana na kwamba tumefunika shamba kwa kutumia vifaa vinavyokata mionzi ya jua kwa asilimia 55% na hivyo kutengeneza kivuli cha 55% hali iliyosababisha mimea isiathiriwe na jua.
Katika eneo hili kulikuwa na upepo mkali ambapo tumekata upepo huo kwa kutumia vyandarua kivuli (shade net)”,amesema Mnkondya.
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya akiwa kwenye Shamba la Vanilla.
 
“Eneo hili lilikuwa na vumbi jingi linalotoka kwenye machimbo ya dhahabu, hilo vumbi limekatishwa kwa kutumia vyandarua vivuli. Vumbi hili lingeathiri mimea kwa kuziba matundu hewa (stomatas) ambayo inatumika kwa ajili ya kutoa hewa ukaa na Oksijeni”,ameeleza.
 
 
Amebainisha kuwa kutokana na ukubwa wa bei ya Vanilla ambalo ni zao la pili kwa bei duniani inayofikia dola 430 kwa kilo moja sawa na shilingi Milioni ya Tanzania, wananchi wengi wa Kanda ya Ziwa na nchi kwa ujumla wamefika hilo kutembelea shamba hilo na kuhamasika kulima zao la Vanilla.
 
 
“Kampuni yetu ya Vanilla International imeweza kujitwalia wawekezaji (wakulima) wa zao la Vanilla kufikia 1350 nchi nzima ambapo kabla ya uhamasishaji huo wawekezaji wa zao la Vanilla walikuwa hawafiki 50.Mwanza hapakuwa na hata mkulima mmoja sasa hivi wanazidi 12 ambao wote wamejifunza kwenye shamba letu la Kwimba”,amesema.
 
 
Ameongeza kuwa zao la Vanilla ni zao lenye bei kubwa kuliko Silver (fedha) na linachuana na dhahabu na hivyo kufanya wachimbaji wa dhahabu Kanda ya Ziwa kuanza kujikita kwenye zao la Vanilla kama ilivyo kwa Dkt. Daniel Mrema wa Nyamikoma Mwanza ambaye ameanza kilimo hicho.
 

 

Kampuni hiyo pia imezindua Namba za Simu  0624300200 na 0769300200 kwa ajili ya kufundishia wananchi bure Kanda ya Ziwa kuhusu Kilimo cha Vanilla. Kupitia namba hizo mwananchi anaweza kutumia lugha yoyote ikiwemo Kisukuma, Kihaya. nk kupata huduma juu ya kilimo cha Vanilla.
“Kampuni yetu ya Vanilla International Limited inakukaribisha kuwekeza katika kilimo cha vanilla chenye uwezo mkubwa wa kukuinua kiuchumi. Zao la vanilla linaanza kuvunwa baada ya miezi 7(vikonyo) na mwaka 1 (matunda) lakini unavuna kwa miaka 60. Ukilima vanilla nasi utanufaika wewe,watoto na wajukuu. kwa sasa bei ya kilo moja ni 1,000,000/= na baada ya miaka 6 itakuwa 3,000,000/= kwa kilo ya vanilla. Soko la vanilla liko Dubai na dunia nzima”,ameeleza.

 

Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya akionesha zao la Vanilla wakati akizindua Shamba kubwa la Kilimo cha Vanilla kwa njia za kisasa katika Kijiji cha Nyamikoma kata ya Mwamashimba wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza.
Muonekano wa sehemu ya Shamba kubwa la Kilimo cha Vanilla kwa njia za kisasa katika Kijiji cha Nyamikoma kata ya Mwamashimba wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza.
Muonekano wa sehemu ya Shamba kubwa la Kilimo cha Vanilla kwa njia za kisasa katika Kijiji cha Nyamikoma kata ya Mwamashimba wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza.
Muonekano wa sehemu ya Shamba kubwa la Kilimo cha Vanilla kwa njia za kisasa katika Kijiji cha Nyamikoma kata ya Mwamashimba wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza.
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya akionesha zao la Vanilla wakati akizindua Shamba kubwa la Kilimo cha Vanilla kwa njia za kisasa katika Kijiji cha Nyamikoma kata ya Mwamashimba wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza.
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Makampuni ya Vanilla International Limited, Simon Mnkondya akiwa kwenye Shamba kubwa la Kilimo cha Vanilla kwa njia za kisasa katika Kijiji cha Nyamikoma kata ya Mwamashimba wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza.
 

About the author

Alex Sonna