Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

pusulabet, pusulabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

Marmaris Tekne Turu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA YA MISAADA MITATU ILIYOTOLEWA NA UMOJA WA ULAYA JIJINI DODOMA.

Written by Alex Sonna

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuhudia Utiaji Saini wa Mikataba Mitatu ya msaada uliotolewa na Umoja wa Ulaya yenye thamani ya Euro Milioni 179.35 sawa na Shilingi Bilioni 455.09 za Kitanzania na kupewa Msaada wa Bajeti ya Serikali kiasi cha Euro Milioni 46.11 sawa na Shilingi Bilioni 117.036 za Kitanzania kwa waka wa Fedha 2022/2023 kutoka Umoja wa Ulaya. Mikataba hiyo imetiwa Saini na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Natu El-maamry Mwamba na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa Nchini Mhe. Manfredo Fantl katika Ukumbi wa Hazina Mkoani Dodoma 04 Julai, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali kwenye Hafla ya Utiaji Saini wa Mikataba Mitatu ya Msaada uliotolewa na Umoja wa Ulaya yenye thamani ya Euro Milioni 179.35 sawa na Shilingi Bilioni  455.09 za Kitanzania na kupewa Msaada wa Bajeti ya Serikali kiasi cha Euro Milioni 46.11 sawa na Shilingi Bilioni 117.036 za Kitanzania kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 kutoka Umoja wa Ulaya. Hafla hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Hazina Mkoani Dodoma tarehe 04 Julai, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali mara baada ya Utiaji Saini wa Mikataba Mitatu ya msaada uliotolewa na Umoja wa Ulaya yenye thamani ya Euro Milioni 179.35 sawa na Shilingi Bilioni 455.09 za Kitanzania na kupewa Msaada wa Bajeti ya Serikali kiasi cha Euro Milioni 46.11 sawa na Shilingi Bilioni 117.036 za Kitanzania kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 kutoka Umoja wa Ulaya. Hafla hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Hazina Mkoani Dodoma tarehe 04 Julai, 2023.

Na Dotto Kwilasa-DODOMA 

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan ameshuhudia hafla ya utiaji saini mikataba mitatu ya makubaliano yenye thamani ya Euro 179.35 milioni sawa na shilingi za kitanzania bilioni 455.09 msaada uliotolewa na umoja wa Ulaya(EU).
Aidha hafla hiyo imeambatana na kupokea msaada wa bajeti ya Serikali  kiasi cha Euro 46.11 milioni sawa na shilingi bilioni 117.036 za Tanzania kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kutoka Umoja huo.
Mikataba hiyo ni pamoja na uimarishaji wa uchumi wa Blue wenye thamani ya Euro 110 ambao utaelekezwa kwenye maeneo ya pwani na Zanzibar, mkataba wa kuimarisha mifumo ya usimamizi wa fedha Serikalini na sekta binafsi wenye thamani ya Euro 50 milioni na mkataba wa mradi wa kuimarisha mikopo ya masomo wenye thamani ya Euro 6 milioni.
Akizungumza kwenye hafla hiyo leo Julai 4,2023 Jijini Dodoma,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameihakikishia jumuiya hiyo (EU) kuwa fedha hizo zitaelekezwa kwa usahihi kwenye matumizi yaliyokusudiwa.
Amesema hatua hiyo itaendeleza mahusiano mazuri kwa nchi ya Tanzania na umoja huo na kuiwezesha Tanzania kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu.
Rais Samia pia ametumia nafasi hiyo kuiomba EU kuona namna ya kuwasaidia wakulima kupitia benki ya kilimo na mpango wa BBT kwa kutoa mikopo yenye unafuu hali itakayosaidia kuchochea maendeleo ya kilimo nchini.
Naye Balozi wa EU Manfredo Fanti ameeleza kuwa umoja huo utaendelea kuisaidia Tanzania na kwamba jambo hilo linawapa fahari kwa kuwa wanaamini Fedha walizotoa zitaenda kuwasaidia watanzania na kuwapa unafuu.
Amesema kupitia mikataba hiyo mitatu  uchumi wa wananchi utaimarika na kuimarisha usimamizi wa fedha.
 
Kwa upande wa Waziri wa fedha na mipango Dk.Mwigulu Nchemba aleeza kuwa kupitia mikaba hiyo ni wazi kuwa utekelezaji wa mifumo ya fedha za umma utaenda kuboreshwa na kuondokana na upotevu wa fedha usio na tija.
Akizungumzia Bajeti ya Serikali  amesema kiasi cha Euro 46.11 milioni ambazo ni sawa na shilingi bilioni 117.036 za Tanzania kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kutoka zitaelekezwa kuweka unafuu kwenye masuala mbalimbali ikiwemo umeme vijiji,maji naendeleo ya jamii.

About the author

Alex Sonna