Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

casinomaxi

casinomaxi giriş

betturkey giriş

betturkey

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

korsan taksi istanbul, istanbul korsan taksi

bets10

tipobet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

superbetin

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis giriş

casibom

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

casibom giriş

jojobet giriş

sweet bonanza giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

radissonbet

betbey

tambet

cashwin

gameofbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet

pusulabet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giris

jojobet

jojobet

mavibet giriş

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking

meritking

marsbahis güncel giriş

meritking

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

grandpashabet

Hacklink panel

betpas

holiganbet

Google

jojobet

holiganbet

jojobet telegram

jojobet giris

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis giriş

marsbahis

primebahis

tümbet

tümbet giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

pokerklas

pokerklas

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

betsmove

holiganbet

ikimisli

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

betkolik

ikimisli giriş

marsbahis giriş

marsbahis giriş

ikimisli giriş

ikimisli

betkolik

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

betkolik giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli

ikimisli giriş

marsbahis

betkolik

betkolik giriş

betkolik giriş

jojobet giriş

betkolik

ikimisli

marsbahis giriş

jojobet giriş

betkolik

marsbahis giriş

betkolik giriş

jojobet mobil

ikimisli giriş

betkolik giriş

nerobet

nerobet

aresbet, aresbet giriş

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

Deneme Bonusu

queenbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

lunabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

jojobet

jojobet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

betsat

extrabet giriş

gameofbet

turkey dental implants

mavibet

artemisbet

setrabet

jojobet

pulibet

süratbet

perabet

nerobet

mavibet

lunabet

lunabet giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

Featured Kitaifa

WAZIRI BASHE AIPA KONGOLE KAMISHENI NA TUME YA USHIRIKA KWA KUTEKELEZA MAELEKEZO YA SERIKALI

Written by Alex Sonna
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe,akizungumza wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Na.Alex Sonna-TABORA
Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe amepongeza Kamisheni na Tume ya Maendeleo ya Ushirika kwa kutekeleza maelekezo ya serikali na kuja na Mfumo wa kidigitali wa Usimamizi wa Ushirika na kusisitiza Mfumo huo usomane na ule wa kusajili wakulima.
Akizungumza Julai mosi, 2023 mkoani Tabora kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia, Bashe amesema “Tuwe na mfumo mmoja ambao utamsajili mkulima na kuonesha miamala ya mkulima ya kila siku.”
Aidha, amesema serikali imejipanga kuviwezesha viwanda hapa nchini vinavyozalisha mbolea kwa kununua mbolea yote itakayotolewa kwa ruzuku kwa wakulima.
Amesema dhamira ya Serikali ni kuhakikisha mbolea inapatikana kwa wakati kwenye msimu wa kilimo na kuondokana na ucheleweshaji uliojitokeza msimu uliopita.
Naye, Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini ambaye pia ni Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, amesema Kamisheni itahakikisha inasimamia Ushirika ili kuwa na mabadiliko chanya.
Nsekela amesema wadau wa Ushirika nchini walikutana na kuangalia maeneo saba ambayo ni ukamilishaji wa Mfumo wa Usimamizi wa vyama hivyo utakaofanya shughuli za ushirika zinakuwa kidigitali.
“Kuendelea kusimamia uanzishaji wa Benki ya Ushirika, maamuzi yaliyofikiwa itakapoanzishwa asilimia 51 ya hisa imilikiwe na wanaushirika na asilimia 49 imilikiwe na watu binafsi na mashirika mbalimbali na hadi sasa Shilingi Bilioni sita zimekusanywa na jitihada zinaendelea kuhakikisha zinakamilika kabla ya mwaka huu kuisha,” amesema.
Mwenyekiti huyo amesema wanatilia mkazo vyama hivyo kujiendesha kibiashara na kuwekeza mali zao kwenye uzalishaji.
Kwa upande wake, Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini, Dkt. Benson Ndiege, amesema hadi sasa kuna vyama vya ushirika 7,300 vimeandikishwa na kati yake asilimia 72 ni vyama vya ushirika visivyokuwa vya kifedha.
Amesema asilimia 28 ni vyama vya ushirika vya kifedha na kwenye vyama hvyo kuna wanachama 8,358,326 ikiwa ni ongezeko la wanachama 1, 393, 000 kwa idadi ya waliokuwepo mwaka jana na vimetoa ajira rasmi kwa Watanzania 146,545.
Kuhusu ukaguzi wa vyama hivyo, Mrajis amesema ukaguzi ulibaini changamoto mbalimbali na wameendelea kuchukua hatua na mwaka huu imevunja bodi za vyama 55 ambavyo vilibainika kuwa na tatizo la usimamizi.
Aidha, amesema kuna mashauri 30 yapo chini ya polisi kwa ajili ya uchunguzi na 47 chini ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).
“Pia hadi Machi 2023 vyama vya kifedha 780 vimepatiwa Leseni kwa mujibu wa sheria na vina mtaji wa Shilingi Trilioni 1.6 na akiba zenye thamani ya Shilingi Bilioni 803 na Amana zilizofikia Shilingi Bilioni 713.6 huku mali za vyama hivyo zikifikia thamani ya Shilingi Bilioni 945.3,”amesema.
Awali, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kaliua, Dkt. Rashid Chuachua, amesema serikali ya Mkoa wa Tabora imehimizwa uwepo wa ushirika wa kisasa unaowajibika kwa wadau kwenye makundi ya uzalishaji mali ya uongezaji thamani mazao na huduma za kilimo.
“Tunashukuru Wizara kwa kuleta wanunuzi wapya wa tumbaku ambao wamechangia uzalishaji kuongezeka,” amesema.
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe,akizungumza wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kaliua, Dkt. Rashid Chuachua,akielezea mkoa wake unavyoshirikiana na wanaushirika wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika  Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme,akizungumza wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo Mhe.Mariam Ditopile,akizungumza wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
 Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini, Dkt. Benson Ndiege,akitoa taarifa ya ushirika nchini wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika nchini ambaye pia ni Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela,akielezea mikakati ya Kamisheni ya TCDC katika kuimarisha ushirika wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika  Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Moshi (MoCU) Prof.Alfred Sife,akizungumza wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Mhe.Onesmo Buswelu,akizungumza wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mhe.Kemirembe Lwota,akizungumza wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Katibu Mtendaji wa Shirika la Vyama vya Ushirika (TFC) Bw.Alex Ndikilo,akizungumza wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora na Mjumbe wa Kamati Kuu Ndg Hassan Makasuvi,akizungumza wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
        
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania, (TFC) Charles Jishuli,akizungumza wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
  
Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (hayupo pichani) ,akizungumza wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika  Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe,akizindua mfumo wa MUVU wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe,akikabidhi Tuzo kwa washindi mbalimbali wakati wa  kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya   kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Dunia,yaliyofanyika Julai Mosi,2023 Mkoani Tabora.

About the author

Alex Sonna