marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

matbet

palacebet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

teosbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

ngsbahis

mavibet

parmabet

mislibet

norabahis

artemisbet

nitrobahis

parmabet giriş

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet güncel giriş

holiganbet giriş

Nitric Boost

bahiscasino giriş

Featured Kitaifa

WAZIRI DKT. GWAJIMA ATAKA WATAALAMU WA GEF KUSIMAMIA UTEKELEZAJI KIKAMILIFU

Written by Alex Sonna

 

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na washiriki wa mafunzo ya kujengewa uwezo kuhusu Programu ya Kizazi chenye usawa wakati akifungua mafunzo hayo Juni 22, 2023 mjini Morogoro.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ta Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu ya kuwajengea uwezo wataalamu kutoka Wizara mbalimbali za kisekta, zinazotekeleza Programu ya Taifa ya Usawa wa kijinsia (GEF), Juni 22, 2023 mkoani Morogoro.

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la CARE International Prudence Masako akieleza lengo la mafunzo ya kuwajengea uwezo wataalamu wa Wizara za kisekta katika utekelezaji wa Programu ya Kizazi chenye usawa(GEF) Juni 22, 2023 mkoani Morogoro.

Washiriki wa mafunzo ya utekelezaji wa Programu ya Usawa wa Kijinsia yanayofanyika mkoani Morogoro, wakifuatilia matukio wakati wa uzinduzi wa mafunzo hayo Juni 22, 2023

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima katika picha ya pamoja na washiriki wa mafynzo ya utekelezaji wa ahadi za nchi kwenye Jukwaa la Kizazi chenye usawa baada ya ufunguzi uliofanyika Juni 22, 2023 mkoani Morogoro. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Wakili Amon Mpanju na Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Jinsia Rennie Gondwe. Kulia kwake ni Mkurugenzi mkazi wa Shirika la Care International Prudence Masako na Mkurugenzi wa huduma za Sheria Evelyne Makala.

Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WMJJWM

Na WMJJWM, MOROGORO

Wataalamu wabobezi wa masuala ya jinsia wameagizwa kutambua masuala yaliyowekewa Ahadi za nchi katika Jukwaa la kizazi chenye Usawa (GEF) ili kutekeleza Programu ya Kizazi chenye Usawa kwa Ufanisi.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametoa maelekezo hayo mkoani Morogoro Juni 22, 2023, wakati akifungua mafunzo kwa wataalamu hao walioteuliwa kusimamia utekelezaji wa ahadi hizo, zilizotolewa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kutekeleza maazimio ya Mkutano wa Beijing kuelekea Kizazi chenye usawa.

Waziri Dkt. Gwajima amewataka Wataalamu hao
kuratibu Afua zinazotekelezwa na sekta zao na kuzitolea taarifa kwa wakati ikiwa ni pamoja na
kuwa na taarifa zenye athari chanya kwa sekta zao zitakazoonesha mazuri yaliyotekelezwa na
kuimarisha mawasiliano miongoni mwao.

“Katika utekelezaji wa Programu ya Nchi, majukumu yenu yatakuwa ni kuhakikisha masuala ya Kizazi chenye usawa yanaingizwa katika Mipango na bajeti zenu, kuandaa taarifa za utekelezaji wa maeneo husika, kutoa elimu ya masuala ya GEF kwa Wadau, kuhakikisha kuna miongozo yenye kuzingatia masuala ya jinsia katika bajeti za Wizara na Taasisi zenu”. Amesema Dkt. Gwajima.

Amesema lengo ni kufikia Usawa wa Jinsia na Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi. Hivyo mafunzo hayo yanawajengea uwezo kuhusu Programu, Uratibu na utekelezaji ili kutekeleza malengo na ahadi zilizotolewa na Rais Mhe. Dkt. Samia.

Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju amewataka wataalamu hao kuhakikisha wakitoka kwenye mafunzo hayo wanakwenda kuwa chachu ya utekelezaji wa Programu hiyo.

Naye Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Care International lililowezesha mafunzo hayo, Prudence Masako amesema shirika hilo linaunga mkono jitihada za utekelezaji wa ahadi za nchi Rais Samia alipotoa ahadi hizo za kuhakikisha usawa wa kijinsia unafikiwa katika eneo la haki ya usawa wa kiuchumi.

Programu hiyo ya kizazi chenye usawa itakayotekelezwa kwa miaka mitano (2021/22 – 2025/26), inatokana na ahadi ya Rais Mhe. Dkt. Samia katika utekelezaji wa maazimio ya Mkutano wa Beijing, kwenye Jukwaa la Kizazi chenye usawa kwamba atahakikisha usawa wa kijinsia unafikiwa hasa katika eneo la Haki ya kiuchumi.

About the author

Alex Sonna