Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Maadhmisho ya Miaka 40 ya Chuo cha Biblia Sakila kilichopo Arumeru mkoani Arusha, Juni 20, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia  maelefu ya washiriki wa Maadhimisho ya Miaka 40 ya Chuo cha  Biblia Sakila kilichopo Arumeru mkoani Arusha, Juni 20, 2023. Kushoto kwake ni Muasisi wa Chuo hicho, Askofu Dkt. Eliud Issangya na kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella. 

Baadhi ya Washiriki wa Maadhimisho ya Miaka 40 ya Chuo cha  Biblia Sakila kilichopo Arumeru mkoani Arusha wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza Juni 20, 2023. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini kitabu cha wageni wakati alipowasili kwenye  Ofisi  Kuu ya Chuo cha Biblia Sakila kuongoza  Maadhimisho ya Miaka 40 ya Chuo hicho kilichopo Arumeru mkoani Arusha, Juni 20, 2023. Katikati ni Muasisi  wa Chuo hicho, Askofu Dkt. Eliud Issangya na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella. 

Previous articleKAMATI YA BUNGE YAPONGEZA KIWANDA CHA A TO Z KWA KUZINGATIA USALAMA NA AFYA MAHALI PA KAZI
Next articleSERIKALI YAAGIZA MAENEO YOTE YENYE CHANGAMOTO YA KUWEKA NAMBA ZA NYUMBA NA MAJINA YA MITAA ZIKAMILISHWE

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here