marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

imajbet

holiganbet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

interbahis

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

jojobet

jojobet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

grandpashabet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

marsbahis

matbet

sekabet giriş

imajbet

pusulabet

herabet

herabet

Featured Kitaifa

WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA WELEDI

Written by Alex Sonna

Makamu
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa (Mstaafu),
Mbarouk Salim Mbarouk akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa
wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo na Kata
yaliyoanza leo Juni 19,2023 jinini Tanga. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni
maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Kata 14 za Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika
tarehe 13 Julai, 2023 kujaza nafasi wazi za madiwani.  

Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo na Kata yaliyoanza leo Juni 19,2023 jinini Tanga. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Kata 14 za Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika tarehe 13 Julai, 2023 kujaza nafasi wazi za madiwani.  

Washiriki wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk alipokuwa akizungumza wakati wa ufunguzi  wa mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo na Kata yaliyoanza leo Juni 19,2023 jinini Tanga. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Kata 14 za Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika tarehe 13 Julai, 2023 kujaza nafasi wazi za madiwani.  

Washiriki wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk alipokuwa akizungumza wakati wa ufunguzi  wa mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo na Kata yaliyoanza leo Juni 19,2023 jinini Tanga. Mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Kata 14 za Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika tarehe 13 Julai, 2023 kujaza nafasi wazi za madiwani.

Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Balozi Omar Ramadhan Mapuri akisalimia wakati wa mkutano huo wa mafunzo. 

Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Uchaguzi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Emmanuel Kawishe akizungumza. 

Hakimu Mkuu Mkazi wa Mahakama ya
Wilaya ya Tanga, Mh. Ruth Mkisi akiwaongoza wasimamizi wa Uchaguzi na
Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata kula kiapo cha kujitoa
uanachama wa vyama vya siasa na kiapo cha kutunza siri. 

 

Baadhi
ya wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo na
Kata wakila kiapo cha kujitoa unachama wa vyama vya siasa na kiapo cha kutunza
siri kabla ya kuanza kwa mafunzo ya siku tatu yaliyoanza jana jijini Tanga. Mafunzo
hayo yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Kata 14 za Tanzania
Bara unaotarajiwa kufanyika tarehe 13 Julai, 2023 kujaza nafasi wazi za
madiwani.  

Baadhi
ya wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo na
Kata wakila kiapo cha kujitoa unachama wa vyama vya siasa na kiapo cha kutunza
siri kabla ya kuanza kwa mafunzo ya siku tatu yaliyoanza jana jijini Tanga. Mafunzo
hayo yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Kata 14 za Tanzania
Bara unaotarajiwa kufanyika tarehe 13 Julai, 2023 kujaza nafasi wazi za
madiwani.  

Na Mwandishi Maalum, Tanga.

Wasimamizi wa
Uchaguzi wametakiwa kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia Katiba, Sheria,
Kanuni na maelekezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakati wote wanapotekeleza
majukumu yao.

Hayo yamesemwa
na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya
Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa Wasimamizi na
Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata leo tarehe 19 Juni, 2023
jijini Tanga.

Mafunzo hayo
yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mdogo wa kata 14 za Tanzania Bara
unaotarajiwa kufanyika tarehe 13 Julai, 2023 kujaza nafasi wazi za madiwani. 
 
“Jambo muhimu
mnalotakiwa kuzingatia ni kujiamini na kufanya kazi kwa weledi, mnapaswa kuzingatia
Katiba ya Nchi, Sheria za Uchaguzi na Kanuni zake, Maadili ya Uchaguzi na
Maelekezo mbalimbali yanayotolewa na yatakayotolewa na Tume katika kipindi hiki
cha uchaguzi mdogo,” amesema Jaji Mbarouk.

Amewaasa
washiriki hao wa mafunzo kuhakikisha kuwa pamoja na uzoefu ambao baadhi yao
wanao katika uendeshaji wa uchaguzi, wahakikishe wanazingatia maelekezo watakayopewa
na Tume badala ya kufanya kazi kwa mazoea.

“Uchaguzi ni
mchakato unaojumuisha hatua na taratibu mbalimbali za kisheria ambazo hupaswa
kufuatwa na kuzingatiwa, hatua na taratibu hizo ndiyo msingi wa uchaguzi kuwa
mzuri, wenye ufanisi na kupunguza kama siyo kuondoa kabisa malalamiko au vurugu
wakati wote wa mchakato wa uchaguzi,” amesema Jaji Mbarouk.

Amewataka
watendaji hao wa uchaguzi kuvishirikisha vyama vya siasa na wadau wengine wa
uchaguzi katika maeneo yao kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchaguzi ambayo
wanastahili kushirikishwa ili kurahisisha utendaji wa kazi.

Jaji Mbarouk
amewaelekeza wasimamizi hao wa uchaguzi kuhakikisha kuwa watendaji wa vituo vya
kupigia kura ni watu wenye weledi na uwezo mkubwa na kuweka utaratibu mzuri
utakaowezesha vituo kufunguliwa saa 1:00 asubuhi siku ya kupiga kura.

Kata
zilizotarajiwa kufanya uchaguzi mdogo ni pamoja na Ngoywa iliyopo Halmashauri
ya Wilaya ya Sikonge, Kalola iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Uyui, Sindeni
iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Potwe iliyopo Halmashauri Manispaa ya
Muheza, Kwashemshi iliyopo Halamshauri ya Wilaya ya Korogwe, Bosha iliyopo
Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga, Mahege iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kibiti na Bunamhala iliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi.

Nyingine ni,
Njoro na Kalemawe zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Same, Mnavira
iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kinyika iliyopo katika
Halmashauri ya Wilaya ya Makete, Magubike iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya
ya Kilosa na Mbede iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe.

About the author

Alex Sonna