Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

ramadabet

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

TAMISEMI KUWACHUKULIA HATUA WATAKAOKWAMISHA JITIHADA ZA RAIS SAMIA KWENYE UJENZI WA SHULE ZA MSINGI

Written by Alex Sonna

 

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Deogratius Ndejembi akitoa maelekezo kwa viongozi na watendaji Manispaa ya Singida wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua utekelezaji wa ujenzi wa shule za msingi na ukarabati wa madarasa kupitia mradi wa boost unaosimamiwa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI.

Baadhi ya wananchi Wilayani Singida wakisikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Deogratius Ndejembi (hayupo pichani) wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua utekelezaji wa ujenzi wa shule za msingi na ukarabati wa madarasa kupitia mradi wa boost unaosimamiwa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Deogratius Ndejembi akielekea kukagua utekelezaji wa ujenzi wa moja ya shule za msingi katika Manispaa ya Singida. Aliombatana nao ni Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi na watendaji wa wilaya hiyo.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Deogratius Ndejembi akiwa kwenye ukaguzi wa utekelezaji wa ujenzi wa moja ya shule za msingi katika Manispaa ya Singida. Aliombatana nao ni Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi na watendaji wa Serikali.

Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi Muragili akitoa taarifa utekelezaji wa ujenzi wa moja ya shule za msingi katika Manispaa ya Singida kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Deogratius Ndejembi wakati wa ziara ya Naibu Waziri huyo iliyolenga kukagua utekelezaji wa ujenzi wa shule za msingi na ukarabati wa madarasa katika Manispaa hiyo.

Mwonekano wa moja ya darasa katika Manispaa ya Singida lililo katika hatua za mwisho za ujenzi wake.

Mafundi wakiendelea kujenga madarasa katika moja ya shule iliyopo Manispaa ya Singida.

Na. James K. Mwanamyoto-Ofisi ya Rais TAMISEMI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Deogratius Ndejembi amesema ofisi yake haitosita kumchukulia hatua atakayebainika kukwamisha ujenzi wa shule za msingi na ukarabati wa madarasa kwani fedha za ujenzi na ukarabati huo zimetolewa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kuboresha miundombinu ya elimu msingi.

Mhe. Ndejembi ametoa rai hiyo mkoani Singida wakati wa ziara yake ya kikazi katika Manispaa ya Singida na Halmashauri ya Wilaya ya Singida iliyolenga kukagua utekelezaji wa ujenzi wa shule za msingi na ukarabati wa madarasa kupitia mradi wa boost unaosimamiwa na Ofisi ya Rais-TAMISEMI.

Mhe. Ndejembi amesema kuwa, watakaobainika kukwamisha mradi huo watachukuliwa hatua kali ili iwe ni fundisho kwa wengine wenye nia ovu ya kukwamisha miradi yenye tija kwa wananchi na maendeleo ya taifa. 

Aidha, Mhe. Ndejembi amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanakamilisha kwa wakati miradi yote ya ujenzi wa shule na na ukarabati wa madarasa ili thamani ya fedha ionekane. 

“Ninawaomba msimuangushe Mhe. Rais, hakikisheni mnakamilisha ujenzi ifikapo tarehe 30 Juni, 2023 kama ilivyopangwa ili kumpa nguvu Mhe Rais ya kuleta fedha nyingine,” Mhe. Ndejembi amesisitiza.

Mhe. Ndejembi amefafanua kuwa, Mhe. Rais ametoa bilioni 230 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya shule za msingi pamoja na ujenzi wa shule mpya kwenye maeneo yenye uhitaji mkubwa nchini, kitendo ambacho kinaonesha dhamira yake njema ya kuhakikisha watoto wanapata elimu katika mazingira bora.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Singida Mhandisi Paskasi Muragili amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia Wilaya yake shilingi bilioni 1.3 kwa ajili ya ujenzi wa shule za msingi wilayani kwake.

Mheshimiwa Ndejembi amehitimisha ziara yake ya kikazi katika Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida kwa kuwasisitiza Wakurugenzi Wote nchini na Wakuu wa Idara za Elimu Msingi na Sekondari kuhakikisha wananunua vifaa vyote vya ujenzi vinavyohitajika kabla ya mwaka wa fedha kuisha ili miradi inayoendelea kutekelezwa iweze kukamilika kwa wakati.

About the author

Alex Sonna