Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

betsat

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

betsat güncel giriş

girne escort

magusa escort

ramadabet

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured

PROF. MKENDA AITAKA TET KUWEKA MAZINGIRA ENDELEVU YA WALIMU WANAOMUDU VIZURI STADI ZA UFUNDISHAJI SHULE ZA UMMA NA BINAFSI

Written by Alex Sonna

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akikabidhi zawadi mbalimbali kwa washindi wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Elimu ya Awali na Msingi iliyofanyika jijini Dar es salaam.

Na.Mwandishi Wetu-Dar es Salaam

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameitaka Taasisi ya Elimu Tanzania kuweka mazingira endelevu ya kutambua walimu wanaomudu vizuri stadi za ufundishaji kwenye shule za umma na Binafsi.

Waziri Mkenda ametoa rai hiyo jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Elimu ya Awali na Msingi ambapo amesema Walimu wanahitaji motisha mbalimbali ikiwemo katika kutambua katika kazi wanayofanya

Amesema ubora wa elimu hapa nchini pamoja na mageuzi ya elimu bila kuwa na walimu wenye hamasa itakuwa ni kazi bure.

“Ningependa kwenye hili la kutambua stadi za ufundishaji TET muweke mazingira endelevu, najua kwa sasa Mradi wa BOOST umewezesha na mmefika katika halmashauri 26 nataka muende kwenye halmashauri zote na Tuzo hizi ziwe endelevu na kazi hii mfanye pamoja na Wizara ili hata baada ya Mradi iweze kuendelea ”amesema Prof. Mkenda

Prof. Mkenda amewaeleza walimu kuwa Serikali itaendelea kuweka mazingira mazuri kwa walimu na kwamba Sera mpya ya elimu itaendeleza mafunzo kazini kwa walimu na itasisitiza fursa za walimu kusoma.

Waziri Mkenda ametumia fursa hiyo kuishukuri Benki ya dunia kwa namna inavyofadhili miradi mbalimbali ya elimu hapa nchini na pia kwa kuwezesha hafla ya utoaji wa Tuzo kwa washindi wa Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Elimu ya Awali na Msingi kupitia Mradi wa BOOST.

Nae Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania Preeti Arora amesema Ushindani wa ujuzi wa kufundisha ni moja ya njia bora za maendeleo ya kitaaluma ya mwalimu na kwamba inaweza kuwa sehemu na sehemu ya mpango wa MEWAKA kwani Ushindani huwapa walimu fursa ya kuonyesha ujuzi wao na kujifunza kutoka kwa wenzao.

“Kwa kushiriki katika ushindani, waalimu wanahamasishwa kuendelea kuboresha mbinu zao za kufundisha, kupanua maarifa yao, na kuendeleza mikakati mpya ya kushiriki na kuhamasisha wanafunzi wao kujifunza. Hii inasababisha ukuaji wao wa kitaaluma na huongeza ubora wa jumla wa elimu, hongera walimu wote mlioshinda,” amesema mkurugenzi huyo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu Tanzania Dkt. Aneth komba amesema utoaji wa tuzo hii ni ni sehemu ya utekelezaji wa Mradi wa BOOST ambao unafadhiliwa na Benki ya Dunia na unalenga kuboresha uwezo wa walimu katika ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunzi kupitia Mafunzo Endelelevu ya Walimu Kazini (MEWAKA).

“Shindano la Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Elimu ya Awali na Msingi lilianza mwezi wa nne kwa kukusanya na kutathmini video za walimu zenye maudhui ya ufundishaji na ujifunzaji wa kuhesabu pamoja na Somo la Hisabati katika Halmashauri 26 zinazotekeleza Mradi wa BOOST,” amesema Dkt. Komba.

Amesema pamoja na washindi kupata fedha, cheti na wengine ngao video zao zitarekodiwa upya katika studio za TET na kupakiwa katika mfumo wa ujifunzaji na ufundishaji wa LMS na hivyo kuzidi kuleta chachu ya ufundishaji unaozingatia ujenzi wa umahiri.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Elimu ya Awali na Msingi iliyofanyika jijini Dar es salaam.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu Tanzania Dkt. Aneth komba ,akizungumza wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Elimu ya Awali na Msingi iliyofanyika jijini Dar es salaam.

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda (hayupo pichani),akizungumza wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Elimu ya Awali na Msingi iliyofanyika jijini Dar es salaam.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akikabidhi zawadi mbalimbali kwa washindi wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Elimu ya Awali na Msingi iliyofanyika jijini Dar es salaam.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa  hafla ya utoaji Tuzo za Stadi za Ufundishaji kwa Walimu wa Elimu ya Awali na Msingi iliyofanyika jijini Dar es salaam.

About the author

Alex Sonna