Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet

betcool

avrupabet

vipslot

betcool

realbahis

betmarino

casibom

Hacklink panel

holiganbet

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

coinbar

grandpashabet

grandpashabet

betpark giriş

betpark

betpark

uyuşturucu satın al

betpark giriş

runtobet

runtobet giriş

1xbet

matbet, matbet giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

vaycasino giriş

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

palacebet

pasacasino

kingroyal

https://sjconsultors.com/

artemisbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

mariobet

Madridbet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

slot siteleri

meritbet

jojobet güncel giriş

jojobet

grandpashabet

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

pusulabet

holiganbet

mavibet

coinbar giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

timebet

jojobet giriş

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

mavibet giriş

betlike giriş

coinbar

coinbar

artemisbet

mavibet

artemisbet giriş

mavibet

artemisbet giriş

betlike

mavibet giriş

coinbar giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

marsbahis, marsbahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

bets10

jojobet

dinamobet

casibom

casibom

ultrabet

casibom

casibom

casibom

grandpashabet

ultrabet

grandpashabet

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

imajbet

İmajbet

Featured Kitaifa

WAZIRI NDUMBARO ATAJA MALENGO SITA KUANZISHWA JUKWAA LA HAKI MWANAMKE 

Written by Alex Sonna

 

WAZIRI wa Katiba na Sheria,Dk.Damas Ndumbaro,akizungumza wakati akizindua Jukwaa la Kitaifa la Haki Mwanamake hafla iliyofanyika leo Juni 6,2023 jijini Dodoma.

Naibu Waziri Katiba na Sheria Mhe.Pauline Gekul,wakati wa uzinduzi wa  Jukwaa la Kitaifa la Haki Mwanamake hafla iliyofanyika leo Juni 6,2023 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bi.Mary Makondo,akizungumza wakati wa uzinduzi wa  Jukwaa la Kitaifa la Haki Mwanamake hafla iliyofanyika leo Juni 6,2023 jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi maalum, Mhe.Mwanaidi Ali Khamis,akitoa salamu za Wizara wakati wa uzinduzi wa  Jukwaa la Kitaifa la Haki Mwanamake hafla iliyofanyika leo Juni 6,2023 jijini Dodoma.

Wakili wa Serikali Bi.Ester Msambazi,akizungumza wakati wa uzinduzi wa  Jukwaa la Kitaifa la Haki Mwanamake hafla iliyofanyika leo Juni 6,2023 jijini Dodoma.

Meneja Rasiliamali na Mawasiliano kutoka Shirika la  Legal Services Facility (LSF) Bi.Jane Matinde,akitoa salamu za Shirika hilo wakati wa uzinduzi wa  Jukwaa la Kitaifa la Haki Mwanamake hafla iliyofanyika leo Juni 6,2023 jijini Dodoma.

 Mwakilishi wa UN Women Bi.Racheal Boma ,akizungumza wakati wa uzinduzi wa  Jukwaa la Kitaifa la Haki Mwanamake hafla iliyofanyika leo Juni 6,2023 jijini Dodoma.

Mwakilishi wa Ubalozi wa Sweden ,Nasieku Kisambu,akizungumza wakati wa uzinduzi wa  Jukwaa la Kitaifa la Haki Mwanamake hafla iliyofanyika leo Juni 6,2023 jijini Dodoma.

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi.Aziza Mumba,akitoa salamu za Mkoa wake wakati wa uzinduzi wa  Jukwaa la Kitaifa la Haki Mwanamake hafla iliyofanyika leo Juni 6,2023 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakifatilia hotuba ya Waziri  wa Katiba na Sheria,Dk.Damas Ndumbaro (hayupo pichani) wakati akizindua Jukwaa la Kitaifa la Haki Mwanamake hafla iliyofanyika leo Juni 6,2023 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Katiba na Sheria,Dk.Damas Ndumbaro,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuzindua Jukwaa la Kitaifa la Haki Mwanamake hafla iliyofanyika leo Juni 6,2023 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

WAZIRI wa Katiba na Sheria,Dk.Damas Ndumbaro ameyataja malengo sita  ya kuundwa kwa Jukwaa la Haki Mwanamke ikiwemo kupata ushahidi katika masuala yanayoathiri wanawake na changamoto zinazowakabili na kutambua vipaumbele vya haki ya wanawake nchini Tanzania.

Akizunguza leo  Juni 6,2023 Jijini  Dodoma wakati wa uzinduzi wa jukwaa hilo,Waziri Ndumbaro amesema maandalizi ya upatikanaji  wa jukwaa hilo  umepitia michakato mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kunakuwa na malengo ambayo yatamnufaisha mwanamke moja kwa moja.

Ameyataja malengo hayo ni kupata ushahidi katika masuala yanayoathiri wanawake na changamoto zinazowakabili na kutambua vipaumbele vya haki ya wanawake nchini Tanzania.

Pia,kuwezesha ushiriki mzuri na wa kimkakati juu ya mahitaji ya kimkakati, maslahi na vipaumbele vya wanawake kupata Haki nchini Tanzania.

“Kukuza ubunifu, ujumuishaji na uimarishaji wa uwezo wa pande zote kwa ajili ya kuendeleza majukumu ya mamlaka ya kitaasisi na uendelevu wa Jukwaa,”alisema Waziri Ndumbaro.

Ameyataja malengo mengine ni kukuza mashirikiano yenye maana na msingi na kimkakati kwa Taasisi zenye mlengo sawa na Wizara nchini Tanzania na kwingineko kwa ajili kudumisha upatikanaji wa haki kwa wanawake nchini.

Pia,kuboresha mashirikiano ili kupata, mifano bora na kujifunza miongoni mwa wajumbe wa jukwaa; vi. Kuboresha mifumo ya kisheria, kimazingira, kijamii, kiuchumi ili kuwawezesha wanawake katika Sekta, Taasisi na Mashirika.

“Kukuza na kuimarisha usawa wa usawa kwa wanawake katika ngazi ya Kitaifa, Kikanda na Kimataifa; na viii. Kuhakikisha uzingatiaji wa Hati za Kimataifa na Kikanda kuhusu haki za wanawake,”alisema Waziri Ndumbaro.

Dk Ndumbaro amesema jukwaa la Haki Mwanamke ni jukwaa endelevu ambalo limetengenezewa mifumo imara ya kiutendaji na litajishughulisha na maeneo mbalimbali ya utoaji haki nchini.

Amesema  maeneo hayo ni pamoja na eneo la haki kwa mujibu wa sheria, haki za kiuchumi, haki za kijamii, haki za kimazingira na haki za kisiasa.

“ Jukwaa hili litaendeshwa kwa mfumo rasmi ikiwa ni pamoja na kuwa na kamati mbalimbali za kiutendaji, Mkutano Mkuu wa Jukwaa la Haki Mwanamke, Kamati ya Sekretariati, Kamati ya Uratibu Serikalini na Taasisi zisizokuwa za Kiserikali,”alisema Dk Ndumbaro.

Amesema Serikali  katika kulinda haki za Mwanamke itazingatia  matakwa ya Katiba, Mikataba ya Kimataifa na Kikanda, Sheria mbalimbali za nchi Kanuni zilizopo, taratibu walizojiwekea  na maelekezo mbalimbali ya Viongozi wa Serikali.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi maalum, Mhe.Mwanaidi Ali Khamis amesema wanawake wamekuwa kimya pindi wanapokumbana na changamoto za maisha hivyo jukwaa hilo litahakikisha wanapata haki zao.

Naye Wakili wa Serikali Ester Msambazi ameeleza kuwa ukatili bado upo kwa wanawake kwakuwa mfumo wa haki haujamwezesha kupata haki kwa wakati hivyo kupitia jukwaa hilo watahakikisha suala hilo linawafikia kwa wakati.

Awali Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mary Makondo amesema wanawake hukosa haki kwa sababu ya ukosefu wa uelewa hivyo kupitia jukwaa hilo kila mdau atatimiza wajibu wake ili kuhakikisha malengo tarajiwa yanafikiwa na wanapata haki zao.

About the author

Alex Sonna